Tanzania Black Friday ya nini?

Tanzania Black Friday ya nini?

Siyo suala la jina tu!

Angalia timing yake.

Angalia siku ya leo inaitwaje huko Marekani.

Angalia historia ya Thanksgiving na Black Friday.

Jana Tanzania ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving?

Na kwa nini nyinyi wala vumbi muiite siku ya punguzo la bei za bidhaa madukani ‘black Friday’?

Mmekosa rangi ingine ya kuiita ya kwenu?
Dah eti wala vumbi...una dharau sana 🤔
 
Nianzishe Boxing Day ya nini mimi?
Ili usiige mtu yeyote ,Iwe unique ya kwako mwenyewe

Mkuu hata waliotengeneza simu bado watu wanaiga na kutengeneza zenye mfanano

Kama hutaki watu washerekehe black Friday Afrika au Uingereza basi hama hii dunia

Kuondokana na karaha na kero mkuu hama hii dunia

Huna hoja umekurupuka

Mfano ,Ni National anthem au nyimbo za mataifa,Kuna mataifa yalikuwa hayana National anthem lakini sasa wametengeneza kama wengine
 
Ili usiige mtu yeyote ,Iwe unique ya kwako mwenyewe

Mkuu hata waliotengeneza simu bado watu wanaiga na kutengeneza zenye mfanano

Kama hutaki watu washerekehe black Friday Afrika au Uingereza basi hama hii dunia

Kuondokana na karaha na kero mkuu hama hii dunia

Huna hoja umekurupuka

Mfano ,Ni National anthem au nyimbo za mataifa,Kuna mataifa yalikuwa hayana National anthem lakini sasa wametengeneza kama wengine
Unbothered.
 
Siyo suala la jina tu!

Angalia timing yake.

Angalia siku ya leo inaitwaje huko Marekani.

Angalia historia ya Thanksgiving na Black Friday.

Jana Tanzania ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving?

Na kwa nini nyinyi wala vumbi muiite siku ya punguzo la bei za bidhaa madukani ‘black Friday’?

Mmekosa rangi ingine ya kuiita ya kwenu?
Ahaa

Mkuu bora uombe Moderators wa delete huu uzi maana umekurupuka sana

Kwani ile Good Friday ya Vatican ,Huko marekani inaitwaje ?

Marekani yeye Goodfriday ana timing yake anaita jina jingine au ni Ijumaa kuu tu

Tafuta jina lako la ijumaa kuu na ushawishi watu wakufuate kama unaona ni jambo rahisi

Soma hustoria ndio utajua zimepita Big powers nyingi sana

Kuna Big powers zingine zikafuta miaka yote na kuanza upya kuhesabu na sasa ni mwaka 2023

Kuna Big powers zilianzisha Christmass unayosherekea wewe na wamerekani

Kuna Big powers zilianzisha ibada za Jumapili Sunday

Wewe unashangaa Marekani na BlackFriday ambayo inaishia Dar es Salaam tu kwa Tanzania


Sasa wenzako Jumapili inaazimishwa mpaka vijijini huko duniani kote kwa nguvu za dola moja tu lenye nguvu

Hii dunia mwenye nguvu ndie anaamua

Sasa wewe umekurupuka sana mkuu

Bora msukuma mwenzako alipush na sasa kuna World kiswahili day na inatambulika kwenye calenda za UN ,kuna siku ya kiswahili duniani na hakuna wa kupinga na kutoa siku yake
 
Ahaa

Mkuu bora uombe Moderators wa delete huu uzi maana umekurupuka sana

Kwani ile Good Friday ya Vatican ,Huko marekani inaitwaje ?

Marekani yeye Goodfriday ana timing yake anaita jina jingine au ni Ijumaa kuu tu

Tafuta jina lako la ijumaa kuu na ushawishi watu wakufuate kama unaona ni jambo rahisi

Soma hustoria ndio utajua zimepita Big powers nyingi sana

Kuna Big powers zingine zikafuta miaka yote na kuanza upya kuhesabu na sasa ni mwaka 2023

Kuna Big powers zilianzisha Christmass unayosherekea wewe na wamerekani

Kuna Big powers zilianzisha ibada za Jumapili Sunday

Wewe unashangaa Marekani na BlackFriday ambayo inaishia Dar es Salaam tu kwa Tanzania


Sasa wenzako Jumapili inaazimishwa mpaka vijijini huko duniani kote kwa nguvu za dola moja tu lenye nguvu

Hii dunia mwenye nguvu ndie anaamua

Sasa wewe umekurupuka sana mkuu

Bora msukuma mwenzako alipush na sasa kuna World kiswahili day na inatambulika kwenye calenda za UN ,kuna siku ya kiswahili duniani na hakuna wa kupinga na kutoa siku yake
Umejiaminisha kabisa kwamba nimekurupuka eh 🤣🤣.

Unahangaika sana aisee!! Pole.
 
Jana tarehe 23, Novemba 2023 ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving nchini Marekani.

Kama hujui sikukuu hiyo ina maana gani huko Marekani, zama Google au YouTube [zote hizo ni kampuni za Kimarekani 😉 🇺🇸] ufute ujinga.

Thanksgiving huwa ni siku ya Alhamisi ya mwisho ya mwezi Novemba kila mwaka.

Siku ifuatayo, yaani Ijumaa, huwa inajulikana kama Black Friday.

Black Friday ni siku ambayo madukani kunakuwepo na mapunguzo makubwa ya bei za vitu/ bidhaa.

Zamani kabla ya masoko ya mtandaoni hayajaenea na kuzoeleka, watu walikuwa wanaenda kupiga kambi kabisa nje ya maduka kama Best Buy ili kuwahi kuwa wa kwanza kuingia madukani humo pindi milango inapofunguliwa.

Ilikuwa ni vurugu sana. Watu walikuwa wanapigana. Wengine walikuwa wanakanyagana hadi kuuana kabisa.

Siku hizi hakuna sana hizo vurugu maana manunuzi watu wanafanyia kwenye mitandao.

Sasa cha kushangaza, eti hata Tanzania leo ni Black Friday!

View attachment 2823288

Ina maana Tanzania nako wanasherehekea Thanksgiving siku hizi?

Wameanza lini kusherehekea sikukuu za Marekani? Na July 4th nayo wanaisherehekea?

Kubalini, kataeni, chukieni, oneni wivu, jibamizeni ukutani, mwisho wa siku Marekani ndo taifa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya uhai!

Kama mnaiga hata black Friday, basi Marekani imewakamata panapo vizuri sana.

🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Black Friday kwa Wamarekani weusi na kumbukumbu mbaya sana na hawataki kusikia:
Black Friday ni kwamba kipindi kile cha biashara ya Utumwa ulikuwa ni siku ya punguzo la bei ya kuuzia watumwa.
 
Pamoja na exposure uliyoipata Ila bado una Ushamba Fulani ambao nahisi ni Inborn, Ivi izi Sherehe zingine Zinazosherekwewa Worldwide tu trace Origin zake na Tuanze Kuzuia wengine wasi shereke?
 
Jana tarehe 23, Novemba 2023 ilikuwa ni sikukuu ya Thanksgiving nchini Marekani.

Kama hujui sikukuu hiyo ina maana gani huko Marekani, zama Google au YouTube [zote hizo ni kampuni za Kimarekani 😉 🇺🇸] ufute ujinga.

Thanksgiving huwa ni siku ya Alhamisi ya mwisho ya mwezi Novemba kila mwaka.

Siku ifuatayo, yaani Ijumaa, huwa inajulikana kama Black Friday.

Black Friday ni siku ambayo madukani kunakuwepo na mapunguzo makubwa ya bei za vitu/ bidhaa.

Zamani kabla ya masoko ya mtandaoni hayajaenea na kuzoeleka, watu walikuwa wanaenda kupiga kambi kabisa nje ya maduka kama Best Buy ili kuwahi kuwa wa kwanza kuingia madukani humo pindi milango inapofunguliwa.

Ilikuwa ni vurugu sana. Watu walikuwa wanapigana. Wengine walikuwa wanakanyagana hadi kuuana kabisa.

Siku hizi hakuna sana hizo vurugu maana manunuzi watu wanafanyia kwenye mitandao.

Sasa cha kushangaza, eti hata Tanzania leo ni Black Friday!

View attachment 2823288

Ina maana Tanzania nako wanasherehekea Thanksgiving siku hizi?

Wameanza lini kusherehekea sikukuu za Marekani? Na July 4th nayo wanaisherehekea?

Kubalini, kataeni, chukieni, oneni wivu, jibamizeni ukutani, mwisho wa siku Marekani ndo taifa bora kabisa kuwahi kutokea katika historia ya uhai!

Kama mnaiga hata black Friday, basi Marekani imewakamata panapo vizuri sana.

🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Jamii ya Kitanzania wengi ni mambumbumbu tu, wao ufuata mkumbo bila hata kujuwa ukweli. Ni haibu kutangaza biashara namna hii, nobody duniani anaiga ujinga kama sie Watanzania. Thanksgiving ya Marekani ni kwa ajili ya Wamarekani tu, nyie hapa Tanzania inawahusu nini? Huwezi kuta Mmarekani anasheherekea siku kuu ya Saba Saba huko kwao.
 
Back
Top Bottom