Tanzania, Burundi and DRC to construct a standard gauge railway

Tanzania, Burundi and DRC to construct a standard gauge railway

Nyie msijidharau nyie mko sawa. Hivi hujui nyie ni top 10 economy in Africa? Mtajilinganisha aje na DRC au Burundi? Ndio mna uwezo wa kujenga kilomita mia mbili ya SGR ya umeme bila kutumia mkopo kama vile sisi tunajenga Lamu port bila kutumia mkopo.
Mbona unakwepa swali?. Ninyi mlisema sisi ni masikini sana hatuwezi kujenga SGR ya UMEME kwa pesa yetu, sisi tunajiamini sana tukasema tunaweza, tumeshalipia 700Km za SGR ya UMEME kwa pesa yetu, toka Dar - Makutopora, sio 200Km.

Baada ya kuwathibitishia kwamba tunaweza, sasa hivi mumeamua kuwasema DRC kwamba ni masikini hawawezi kukopesheka, hata DRC itawathibitishia kwamba "you are wrong again"
 
Aibu hii! Kwako wewe anaechukua tenda na akiwa na uwezo wa kujenga ndie financier? Na "investers" ndio nini?
You are a certified potato.
A big potato, but not a kenyan hater protending to be a Tanzanian.
 
Burundi? Sijui hata kama inakopesheka aisee.

Nchi yenye budget ya $800mil/year na hio expected ila ikija kutekelezwa sidhani hata budget itafika $550mil/year.

Congo sina doubt nao wanaweza ku-afford.
 
Watu mnashangaa Burundi kujenga SGR? Burundi ni nchi ndogo sana kieneo, SGR wanaweza kabisa kumudu kwa mkopo nafuu sababu itachukua distance ndogo sana so na mkopo wao utakua mdogo

Hao wanaoishangaa DRC kwenye uwezo wa kujenga SGR mkapimwe akili sababu lazima mtakua na hitilafu mahali.
 
Watu mnashangaa Burundi kujenga SGR? Burundi ni nchi ndogo sana kieneo, SGR wanaweza kabisa kumudu kwa mkopo nafuu sababu itachukua distance ndogo sana so na mkopo wao utakua mdogo

Hao wanaoishangaa DRC kwenye uwezo wa kujenga SGR mkapimwe akili sababu lazima mtakua na hitilafu mahali.
 
Watu mnashangaa Burundi kujenga SGR? Burundi ni nchi ndogo sana kieneo, SGR wanaweza kabisa kumudu kwa mkopo nafuu sababu itachukua distance ndogo sana so na mkopo wao utakua mdogo

Hao wanaoishangaa DRC kwenye uwezo wa kujenga SGR mkapimwe akili sababu lazima mtakua na hitilafu mahali.
Apia
 
DR Congo the poorest country in the world itaweza kujenga SGR kama hata haina uwezo wa kujenga lami nje ya city zao? Unakuta lami ziko tu kwenye cities lakini nje ya city ni barabara mpararo. Halafu Burundi hata sitaki kuongelea maana bado wanatwangana, wao pia ni masikini wa kutupwa. Hawataweza kujenga SGR.

"China and Trade and Development Bank for Eastern and Southern African have expressed interest in financing the project."

Usidhani kwamba matatizo ya DRC na Burundi hayajulikani.
 
Wachina sio wajinga. Wanajua nani wa kukopesha na nani sio wa kukopesha. Burundi ambayo state house ya rais wao wamejengewa bure na China ndio wataweza kulipa mkopo?
We unadhani mkababa ungesainiwa bila investors ku indicate interest? Vitu vingine ni common sense tu!!!!
 
We unadhani mkababa ungesainiwa bila investors ku indicate interest? Vitu vingine ni common sense tu!!!!
Common sense ni kuwa nchi ambayo budget yake ni chini ya $1 billion haiwezi jenga SGR hata kwa kukopa.
 
Back
Top Bottom