Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Uwe unafahamu kusoma Phase 1 inagharimiwa na Serikali ya Tanzania 100%. Ikiisha na hakuna wa kumkopa tutaendelea wenyewe, lakini kwa sababu wapo ambao wapo tayari kutukopa kwenye phase II basi tutakopa kwa sababu uwezo tunao.
Tungekuwa na uwezo basi deni lingekuwa linapungua siyo kuongezeka.