Tanzania collected three years’ worth of Tanzanite royalties in three months

ni mfano tu...ukasema nikapewa mie watu hawatolala ila kwa serikali ni hela kidogo...anyway, ukweli wa mambo ni kuwa hizo hela ni kama tu pocket change...haziwezi zikajenga hata barabara kilomita moja
Agreed ni Pesa kidogo lakini na Tanzanite iliyouzwa hapo ni kidogo sana.. Yani hapo alitaka kuonesha kwamba Tanzanite imepanda bei na tulikua tunaibiwa sana huko nyuma..
 
Na karibia Pesa yote hiyo ni kwa wachimbaji wadogo..
 
Hiyo bima ina muda muda gani toka mpewe kadi? Na mmejaribu kuuliza inacover nini na kitu gani hakipo covered? Maana isije ikawa mtu unalaumu kumbe hukuuliza
Bima iko okay....naamini hayo ni Matibabu ambayo yako covered na bima, kuna rafiki yangu alikuwa na same case two yrs ago but it was all covered na AAR.
 
Bima iko okay....naamini hayo ni Matibabu ambayo yako covered na bima, kuna rafiki yangu alikuwa na same case two yrs ago but it was all covered na AAR.
Mim mwenyewe nilipopata bima yangu na mama yangu mzazi nilimpiga maswali HR wangu hadi leo haniongeleshi lakin sikujali maana nilitaka kuclear doubt
 
30 mil...lol! nimeona mabilioni ya mapesa nikashtuka...kumbe Tanzanian Shillings😀😀😀😀😀tissue paper currency

for we economist and finance people, we see nothing from that. Compare the Japanese Yen to your madafuKES. If you have a third eye you'll see something.
 
who collected the data for the said 3 yrs? CCM.

who cooked (sorry collected) the data for the said 3 months? who else....CCM!

who's doing the comparative analysis now? CCM, of course!

who wants to remain in power forever by hooks and crooks? same-o-CCM!

I rest my case!
 

Hayo maneno ni mazito sana.
Je una ushahidi ili kusudi kutuondolea chembe za mashaka!!??
 
Nonsense comment!!
 
Wacha ni wapongeze kwa ku collect 3 years worth of royalties in 3 months hata kama ni pesa ndogo, atleast mumepiga hatua, au sio?
sasa next step ni kuchunguza kwanini artisans wa Tz wana uwezo mdogo hivo wa kuchimba madini hadi wanachangia pesa ndogo hivyo, labda wangejiunga au serekali ingewanunulia vifaa vya kisasa ili wawe na uwezo mkubwa wa kuchumba madini na kulipa royalty kubwa kubwa bila kutegemea foreign mining companies ambazo zinapeleka faida nje ya nchi
 
So what do you want? Are they planning to give you that money? Or what, why are you crying
 
You sound lunatic
 
  1. Bima iko okay....naamini hayo ni Matibabu ambayo yako covered na bima, kuna rafiki yangu alikuwa na same case two yrs ago but it was all covered na AAR.

  2. Ni Bima hizi za kuchangia binafsi au za wafanyakazi wa umma?
 
And who said the wall to be built?
 
Man that's royalties not the gross profit!! That's only less than 12% of what those artisans got from the business, just the peanut

So go and multiply that figure by 8.8 and you gonna find the actual money in the pockets of artisans folded.
 
Nina uhakika haujawahi kugusa hizo sehemu ulizozitaja
 
Wazazi wako wana hasara sana

Kichwa box
 
Hiyo bima ina muda muda gani toka mpewe kadi? Na mmejaribu kuuliza inacover nini na kitu gani hakipo covered? Maana isije ikawa mtu unalaumu kumbe hukuuliza
Akikujibu mkuu naomba uni tag
 
Nyie ndio mnaiweka jf matatani kwenye kesi yake na serikali sababu hii unaclaim ni stupid lies and you'll gain nothing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…