Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute hakuna kilichoandikwamarketing strategy
Hiyo inayodaiwa kuwa ni hujuma, tayari imeshadhibitiwa na uongozi wa juu wa chama. OVAMkutano wa baraza kuu la Chadema unatarajiwa kufanyika leo huku Gazeti la Tanzania Daima lililo karibu na uongozi wa Chadema limeripoti kuwa kuna hujuma. Ni hujuma zipi?
View attachment 2220060
Naona umeingia mtego wa kibiashara.Hakuna Hujuma! CHADEMA inajikaanga yenyewe! Asilimia 60 ya vijana wake mtandaoni ni watu wa matusi
Ni kweli lakini hawafikii hata robo ya ujinga wako.Chadema ni wajinga sana!
Nitake radhiHakuna Hujuma! CHADEMA inajikaanga yenyewe! Asilimia 60 ya vijana wake mtandaoni ni watu wa matusi
Ujaelewa... kuonga; is this swahili?!labda ujaelewa hujuma zilizofanyika na serikali ya ccm kwa chadema.
kufanya uviko -19 wale wabunge.
kutishia na kuonga wabunge wa chadema.
kumfungulia kesi mbowe.
na mambo mengi
Mtahangaika sana kama uhuru wa kisiasa utaachwa.Chadema ni wajinga sana!
Huwezi kukijaji chama kwa comment za vijana wa mitandaoni ambao wengi wao huwajui wana itikadi gani na wana malengo gani na chama.Hakuna Hujuma! CHADEMA inajikaanga yenyewe! Asilimia 60 ya vijana wake mtandaoni ni watu wa matusi
Nenda ukakune nazi uliyemwerevu.Chadema ni wajinga sana!
Pole sana take it easy.Nani ahujumu watu wapuuzi Kama hao