Tanzania: 'Dar to Become Regional Aviation Hub'

Just like Bagamoyo Port..... Biig white farting Elephant
You must accept that Tanzania is smarter than Kenya, Bagamoyo port is U/C purely privately owned, we remain with Tanga, Dar and Mtwara Port. Ninyi mnalazimisha kuijenga Lamu port lakini hakuna nchi wala mtu yuko tayari kutoa pesa kwasababu haitolipa, that will be a white elephant 100%
 
Number of international airlines that have direct sceduled flights to Nairobi -39.
number of international flights that have direct scheduled flights to Dar -19.


When you hear people saying Dar to become a regional aviation hub
 
So anything private in Kenya is bad while that in Tanzania is good?

So Bagamoyo is U/C? Where are the pictures?
 

Unnecessary literature. Keep Farting Giza
 
Trust me amenianza yeye kunitusi!
Anyway za mwaka mpya Daby?
Sorry kama nilikuanza. Inawezekana uliingilia game lisilokuhusu. Samahani kwa hilo.

Ila kuna mijamaa iliniattack kwa comment yangu ambayo kikatiba sikutoka nje ya mstari.

Sorry kama nilikukwaza kiongozi.
 
Am sorry kiongozi. Nilikuwa attacked... na unajua ni kawaida ya Simba kujidefend.

Nakutaka radhi kama nimekukwaza kiongozi wangu

ulikuwa ume derail discussion. maana huku huwa ni Tanzania vs Kenya with vivid evidence. hatujadili Magufuli au CCM au CDM au Mbowe au Lowasa au Kenyatta au Raila bali issues, hata ukifuatilia watu wanabishana kwa HOJA na evidence kwa kuweka link nyingi. pengine hilo ndo jambo la kuangalia ukiwa pande hizi.
 
Hili ni Jukwaa la Kenyan News and Politics...

Hiyo Tanzania Vs Kenya linakujaje hapa?? Ni lazima tubishane na waKenya kwenye jukwaa lao? Ni kwanini tubishane nao??

Hata hivyo, nimekuelewa.

Ila mtu akini attack lazima niji defend bila kujalisha yeye ni Mkenya, Mtanzania au Myunani. Bahati mbaya defense mechanism yangu imekaa kisharishari ili kumyima adui pumzi ya kuniangamiza.

Back to the Topic: .... Aviation....
 
Where did u get the figure?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…