Sasa hapo umetaja takwimu au umetaja taasisi?!IMF+World bank
Wacha ushabiki na kujitoa fahamu, Tanzania ni LDC. Tutaamini takwimu za IMF sio jamaa wa kijiweni tandaleSasa hapo umetaja takwimu au umetaja taasisi?!
The only true middle income country in East Africa is Kenya [emoji1139][emoji1139]So there is only one Middle income country EAC . [emoji1139][emoji1139]
Yani umechinja mtu ukiwa umemuangalia usoni🤣🤣🤣👏👏👏AsanteeeHivi nyie Wakenya kwanini msingekuwa mnaleta mada kuhusu kukimbia nyikani labda angalau mnaweza kuwa na weledi nazo?!!
Nyie watu mnaonesha ni weupe sana na matokeo yake mada za kitalaamu hamzijui!!!
Look at, wakati hiyo Atlas Method uliyokariri, Data za World Bank zilikuwa Gross National Income (GNI) by Atlas Method, na wewe unaleta takwimu za Real GDP... vitu viwili tofauti!
Pili, hata ukizisoma hizo takwimu zinadhihirisha ni namna gani Mleta Mada na Wakenya wenzako mlivyo weupe kwa kushangilia msichokijua!! Look below:-
View attachment 1610142
Sasa kwavile elimu yenu huko Kenya imejikita kwenye kufundisha "How to BecomeKipchoge" na matokeo yake inashindwa hata kuwapa uwezo wa ku-interpret hata data nyepesi kama hizi, basi wacha niwarudishe darasani enyi Kizazi cha Kalumekenge!!!
1. Tanzania imeingia kwenye middle income countries kwa kutumia GNI by Atlas Method wakati hizo takwimu hapo juu ni Real GDP!!
2. Hizo takwimu hapo juu ambazo umeweka zinaonesha Annual Real GDP, ambapo Kenya inaonesha imekuwa by 1 Unit huku Tanzania imekuwa by 1.9 Unit!
Now tell me: NI nani hapo wameshuka kati ya TZ na KE?!!
On top of that, angalia na hizi takwimu hapa chini:-
View attachment 1610157
Ona takwimu ulizozileta kwa kurupuka bila kujua zinasema nini!!!
Utaona kupitia RED ni jinsi gani Kenya inavyoelemewa mzigo wa madeni ambayo ni 33.7% ya GDP yenu wakati Tanzania ni ONLY 28% ya GDP!!
Mbaya zaidi, hata akiba yenu ya fedha za kigeni ni duni compared to Tanzania as shown in BLUE ambapo your reserve can accommodate your imports of goods and services for ONLY 4.9 months wakati ile ya Tanzania for 5.2 Months!!
REMINDER: Muwe tu mnaleta mada za akina Kipchoge na zingine zisizohitaji matumizi ya Bongo kuzichambua kwa sababu hizi zinazohitaji Bongo, mara kwa mara huwa zinawa-backfire kwa sababu huwa hamjui mnajadili nini!!!
Pitia report uludi uropoko...🤣🤣🤣The only true middle income country in East Africa is Kenya [emoji1139][emoji1139]
So there is only one Middle income country EAC . [emoji1139][emoji1139]
2021 economy ya Kenya itagrow by 4.7%×$100bPitia report uludi uropoko...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tanzania ni LDCHiyo per capital income inasaidiwa na mikopo hahahahahs hahah .
Jibu swali, kama huna jibu basi piga kimya coz' it's not my style ku-argue bila takwimu kwa issue inayohitaji takwimu! Mada mmeleta wenyewe halafu bado mnashindwa kui-defend, nyie watu vipi bhana!Wacha ushabiki na kujitoa fahamu, Tanzania ni LDC. Tutaamini takwimu za IMF sio jamaa wa kijiweni tandale
Hivi unafahamu maana ya forecast wewe?!2021 economy ya Kenya itagrow by 4.7%×$100b
Tanzania 3.6%×$62b
Who's laughing now?
GDP ya Tanzania ni below $1035 hukusoma report nini?? So Tanzania ni LDCJibu swali, kama huna jibu basi piga kimya coz' it's not my style ku-argue bila takwimu kwa issue inayohitaji takwimu! Mada mmeleta wenyewe halafu bado mnashindwa kui-defend, nyie watu vipi bhana!!
Yea ata forecast zinaonyesha Kenya Iko mbele na Tanzania ni LDCHivi unafahamu maana ya forecast wewe?!
Eti ita-grow kwa 4.7%!!
Hapa tunazungumzia actual na sio forecast ambayo inaweza kuwa kama ilivyokuwa forecasted, juu ya hapo au hata kuwa chini ya hapo!!!
Mkiambiwa nyie watu ni vilaza, mnakataa!!!
Umesha kimbilia 2021🤣🤣🤣2021 economy ya Kenya itagrow by 4.7%×$100b
Tanzania 3.6%×$62b
Who's laughing now?
Look at you! Wakati World Bank walipanga hizo nchi kwa kuangalia GNI per Atlas Method, wewe unakuja na habari za GDP!!GDP ya Tanzania ni below $1035 hukusoma report nini?? So Tanzania ni LDC
Ndo maana nimekuambia hakuna ulijualo!! How come utambie forecast na kuacha actual data?!Yea ata forecast zinaonyesha Kenya Iko mbele na Tanzania ni LDC
Jamaa mamburula sana hawa!!!!Yani umechinja mtu ukiwa umemuangalia usoni🤣🤣🤣👏👏👏Asanteee