Tanzania deports east African migrants

Umesahau roho zenu mbaya zinazoambatana na ukatili.
 
Kila mtu ana kwao na kila mtu kama anaenda kwa mwenzie afate sheria za huko baasi....kama wewe umeruhusu wasiofata sheria hayo ni yako na yanakuhusu wewe na watu wako huko ila msitake tufanye mambo eti kisa kwa sababu na nyie mnafanya hapo mtangoja sana
 
Hata bongo kuna wakenya wengi wanafanya kaz wanakuja kununua mazao ulishawai sikia tumewaletea shida..????jaman jifunzen kufata utaratibuu tu tz hatuna shidaa na nyie
 
Hata bongo kuna wakenya wengi wanafanya kaz wanakuja kununua mazao ulishawai sikia tumewaletea shida..????jaman jifunzen kufata utaratibuu tu tz hatuna shidaa na nyie
Nakutanaga tu na wengi na wala hawana presha wanaendelea na shughuli zao shida hawa wengine wasiotaka kufata sheria
 
Ukatili upi huo unaozidi kuwala albino kama kitoweo na kuwachoma vifaranga kwa moto? Mungu anawaona.
Mbona mnang'ang'ania Tanzania sana kwani hamna kwenu? Ukitaka mkenya avae chupi kichwani mwambie marufuku kuingia Tanzania!!! Oh it gonna be WWIII
 
Mbona mnang'ang'ania Tanzania sana kwani hamna kwenu? Ukitaka mkenya avae chupi kichwani mwambie marufuku kuingia Tanzania!!! Oh it gonna be WWIII
Dah hii joke yako ni dry kama zile za MC Pilipili. Try again another day.
 
Kama wewe unavyo-justify Wasomali kurudishwa Somalia toka Daadab camp.
 
Haya mambo yakifanywa na Israel na Marekani watu watapiga kelele na mapovu yakutosha wakiongelea the so called ubaguzi.
 
Si kama mnavyowaitaga Israel na Marekani wabaguzi wakifanya haya yaliyofanywa na Tanzania.
Hakuna nchi yoyote duniani inayoruhusu watu kuishi bila document, hao huko Israel wamejisajili kama refugees, dunia inalalamika kwa sababu kuna haki za kimataifa za watu walioomba hifadhi kutokana na mizozo katika nchi walizotoka, hawa wakenya wakitaka kuishi bila proper documents wanaweza kujiandikisha kama wakimbizi wamekimbia njaa nchini mwao, tutawapokea na kuwapa chakula kama tunavyowahifadhi warundi na wakongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…