Hayo ni maeneo ya Kilimanjaro ambayo yapo karibu na Kenya, hivyo kuna uwezekano mkubwa ukakuta Wakenya kuwa wengi zaidi ya watu wa mataifa mengine, na pia upande wa pili ndani ya Kenya utakuta kuna Watanzania wengi, ni kama vile ukienda Kigoma utategemea Warundi wawe wengi.
Japo pia nawashangaa ndugu zangu Wakenya wanaong'ang'ania kuishi kwenye nchi yenu hiyo, hii inafaa iwaingie kwamba ukienda kuishi kwenye nchi yenye chuki chuki na majungu, hakikisha stakabadhi zako zote zimekaa sawa
- Hakikisha umesajiliwa na ubalozi wa kwenu (hawa husaidia sana wakati unanyanyaswa)
- Hakikisha umepata vibali vyote, residential permit and work permit
- Hakikisha unaye wakili wako anayefahamu fika masuala ya uhamiaji
Naomba Wakenya tuendelee kuwa wakarimu kwa hawa watu wao waliojazana huku wakiwemo wale omba omba wao, tusilipize chuki kwa chuki.