Tanzania discover s 100 billion cubic feet of helium found in Rukwa

Tanzania discover s 100 billion cubic feet of helium found in Rukwa

Unadhani hii ni awamu ya walopita ??? Hii ni ya Magufuli na hakuna wenye nchi zaidi ya watz wote subiri tu maumivu buda
Teh!
Ni wale wale, chama kilekile. Kwasasa anataka aue upinzani ili ikifika saa ya kula kusiwe na mbwa anaebweka... Atakuwa mpole baada ya uchaguzi atafanana na watangulizi wake. Lakini mwishowe mtagundua jk alifanya kazi kubwa nchi hii
 
Teh!
Ni wale wale, chama kilekile. Kwasasa anataka aue upinzani ili ikifika saa ya kula kusiwe na mbwa anaebweka... Atakuwa mpole baada ya uchaguzi atafanana na watangulizi wake. Lakini mwishowe mtagundua jk alifanya kazi kubwa nchi hii
Acha siasa angalia uhalisia c wengne hatuna vyama ila tunatumia macho kuona kinachoendelea na kujudge kwa utashi wetu..
 
Hivi haya mavitu huwa mnagundua kila siku kwenye hilo shamba la bibi yanaishiaga wapi maana bado mpo maskini wa kutupwa, hambadiliki kitu, siku zote mpo mpo tu.

Tatizo huwa nini haswa, nakumbuka gesi mlitupigia makelele humu mpaka nikadhani mtaongoza Afrika kiuchumi ndani ya mwaka mmoja, mara tukaambiwa Mtwara itakua city, leo hii kimyaaaaa.
Pamoja na nigeria kuwa na mafuta ni kipindi cha muda gani ilichukua hadi kuipiku South Africa kwa Gdp ???...

Unaweza kuniambia kuwa resources zote zilizogundulika zipo exhausted na kama bado zipo jua kulikuwa kuna underutilization of resources na hiyo ina maana kuwa kuna resources za kuukuza uchumi

By the way ulifuatilia mpango wa southern corridor na kujua umefikia wapi na unaweza nitajia hata mji mmoja wa kenya uliochukua muda wa miaka kumi kuwa jiji ???....

Nakuamini sana ila hapa naassume kama unatania tu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hivi haya mavitu huwa mnagundua kila siku kwenye hilo shamba la bibi yanaishiaga wapi maana bado mpo maskini wa kutupwa, hambadiliki kitu, siku zote mpo mpo tu.

Tatizo huwa nini haswa, nakumbuka gesi mlitupigia makelele humu mpaka nikadhani mtaongoza Afrika kiuchumi ndani ya mwaka mmoja, mara tukaambiwa Mtwara itakua city, leo hii kimyaaaaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tumelogwa, na aliyetuloga alishakufa hivyo hatuna dawa.
 
Back
Top Bottom