(1) Tanzania ni kati ya nchi zenye watu wengi sana Afrika
katika vi-3 vya sera za mwalimu,kuna viwili havipo!!UONGOZI BORA na SIASA SAFI!
executive yetu ni one of the worst,na judiciary yetu is more like a joke.
mifano tunayo.
(2) Tanzania ni kati ya nchi zinzopewa sana misaada Afrika
nadhani wote tunajua misaada inakoenda!sio kwa wananchi,au kule inakotakiwa kwenda!
misaada inaenda kwa viongozi na familia zao(wakiulizwa pesa wametoa wapi wanajiita Investors wa muda mrefu,wamefanya kazi majuu muda mrefu,wamesoma havard and such!!..sighs..,),inaenda kwenye vitu visivyokuwa na umuhimu(poor priorities)!kwa nchi masikini kwa level vitu kama Rada,BOT twin towers costing fortunes,700 new VXs!with thousands more on Gov payroll, nchi kumiliki shirika lake la ndege(huu ni ujima/ukomunisti/prestige),$60m for national Stadium(washabiki wa Mpira mnisamehe..,we just didn't need such an expensive stadium..,but rather that sum of money could fund a national Spots facilities and projects overhaul-from grassroots level!najua wengi tutabisha BUT again we have too much pride,bad trend for a poor person/nation)...etc!!
kama wangepima misaada/loans/funds given versus actual misaada/loans/funds serving the purpose tungekuwa one of the worst perfomers!
muhimu kuliko vyote,MISAADA haiendelezi nchi yoyote ile duniani.so we are pretty much on the wrong track
(3) Tanzania ni kati ya nchi zenye kuchimba dhahabu sana duniani
kama tunaambulia 3% ya faida,na hiyohiyo kina mramba na wenzie wanataka 1.9%.ka 1.1% kanaenda hazina,kina gray mgonja wanakatafuna weeee,kasehemu kaliko baki tunashare wadanganyika wooooote - 40million.
(4) Lakini Tanzani ni kati ya nchi maskini sana duniani
oh yeah!!where else could we be??!we deserve that spot!it's like having a 72-10 NBA season!that's got to be a championship team aayt?!
we are champions of our own poverty!we create it,we share it we preserve it,and we have no plan to get out of it.And if you have a plan,no one lets you execute it.it should be this way for peace(that's what they say).namaanisha what the hell is CCM doing after nearly 50 years since independence?!it's very obvious the fellas have no plan whatsoever,i could imagine the greatest challenge of our president should be planning his calender,for he travels a lot and recite those monthly speeches.
a nation with characters of ours should be poor.or more than that..,
(5) Tanzania pia ni kati ya nchi ambazo watoto wake wengi hufa wakati wa kuzaliwa.
kwa sababu,zile Hela kutoka UNDP kwa ajili ya zahanati,zinaliwa..,zinazofika na kujenga zahanati,madaktari hakuna(wengi hawakumaliza MUCHS(migomo etc)-waliomaliza hawataki kufanya kazi njombe,wale wazoefu wako Bungeni!!my god)
inshort,kutokufa wakati ukizaliwa is more of a fluke..,majaaliwa ya mungu,we say that in swahili.
(6) Vile vile Tanzania ni kati ya nchi zenye maambukizi mengi ya ukimwi duniani
You guessed it,fedha chafu,Rushwa,wizi na ufisadi hupelekea kwenye matumizi machafu.nyumba ndogo,umalaya na mengineyo mengi.
ukosefu wa elimu husababaisha wasichana wadogo kurubuniwa na mizee yenye hela chafu kufanya vitendo viovu.
kama zile hela za misaada zingefika mashuleni,watotot wakaenda sekondari,vyuoni au kuweza kujiajiri wenyewe kasi ya maambukizi ingepungua.
(7) Kinachonishangaza ni takwimu kuonyesha kuwa Tanzania si moja ya nchi ambazo watu wake hawana kazi. Yaani haimo kwenye list ifuatayo
Ukweli ni kuwa Nchi yetu haina Data especially online!!if you are interested in Valuable Data from Tanzania you will be suprised!none!!kama zipo zinaozea kwenye mafile!!ndio sababu kubwa ya kuonesha watanzania wengi wanakazi.
ukweli ni kuwa wengi hawana.hiyo kusema 80% ya working population wanajishughulisha na kilimo si sahihi!!
as i know familia nyingi vijijini kina mama ndio hufanya kazi za kilimo.mizee hukalia kahawa,na pombe tu!
still hiyo 80% do not work all the year!it is more of a seasonal occupation thing(sijui hii wanaichukuliaje).
mbaya ni kuwa wengi wenye kazi hawafanyi kazi ipasavyo!maofisi ya serikali wamekalia soga tu!
kufika kazini saa 4 kuondoka saa 8!!lunch brake includedhapo kuna kazi kweli?!
Je namba hizi zinaonyesha kuwa Watanzania tunapunjwa sana kwenye ajira kiasi kuwa pamoja na wengi wetu tuna kazi, lakini bado tu maskini?
ofcourse wachache wenye kazi wanapunjwa ipasavyo!!na mizigo wanayobeba ni mikubwa!!mishahara midogo,kusomesha watoto,gharama za juu za matibabu,gharama za juu za maisha....,
tuna matatizo mengi sana.na Hatuna watu wenye wenye nia ya dhati ya kuyapunguza au kuyamaliza!