Exactly, we call it IRRKitu usichokijua kuhusu uchumi ni hiki value of money sasa $1 USA dollar iliyopo serikalini Tz inafanya mambo makubwa mara 3 ya $1dollar ilivyopo Kenya.
Wanatengeneza bidhaa labelling and marketing ndio wanatumia English, Ni issue ndogo tuJichocheni tu eti Japan, China na South-Korea hawajui Kingereza. Toyota, Sony, Huawei na Samsung kampuni kubwa zinauzwa kote duniani kutumia kingereza
More Chinese speak English as their fast language than the entire population of Tanzania
Again these are 1st world countries with things to offer to the world and still take their time to study english. Tanzania gives nothing to the world therefore tz needs english more than english needs it.
Sio mimi, ni Mkenya Mwenzenu kasema.
Kwaiyo gdp ya bn65$ na watu milioni 50 ni Matured economy to you?
Dah natumia nguvu kuelekeza lakn hamuelewi, mim siongelei kenya kuwa ni developed country mzee, ila katika kukua kwa uchumi, inafika sehem rate ya ukuaji inasimama haiongezeki tena, kenya wamestak 5% kwa muda sas then wanadrop to 4 then wanapanda 5 then 4 yani wameganda hapo tu, achana na hzo blns of pesa mi sizungumzii hzo ila rates za ukuaji, tofaut na sis tulikua4 then 5 then 6 then 6.6 then 7 then 7.1, uchumi wetu ni growing ila wao umefika mahala haukui tena umestak kwe 5 tu kiuchumi tunaita matured mzee ila haimanishi wao ndo wanauchumi bora bali zile rate ndo nazungumzia hapaUchumi wa Kenya haujawahi kufikia hiyo unayoiita peak, Kenya bado ni low income developing country na wangeweza hata kukuwa kuanzia 10% na kuendelea kwa miaka hata 20, lkn hawajafikia 10% siyo kwa sababu ya ukomavu bali ubovu wa sera na mambo mengine mengi kama tu ilivyo kwenye nchi nyingi za third world.
Bado hakuna skills za kuwezesha kuongeza productivity, nishati ya kutosha hamna unahitaji kuanzia 10 000 MW za umeme kwa nchi yenye watu zaidi ya milioni 40 kama Kenya/TZ ili uweze kuwa na heavy industries, barabara uhakika huko vijijini kuunganisha na miji, uzalishaji wa mbolea kwa kilimo n.k. hayo yote Kenya haijaweza kufanya bado sasa inawezaje kuwa imefikia peak wakati hata chakula chenyewe wanashindwa kuzalisha cha kutosha?
Jichocheni tu eti Japan, China na South-Korea hawajui Kingereza. Toyota, Sony, Huawei na Samsung kampuni kubwa zinauzwa kote duniani kutumia kingereza
More Chinese speak English as their fast language than the entire population of Tanzania
Again these are 1st world countries with things to offer to the world and still take their time to study english. Tanzania gives nothing to the world therefore tz needs english more than english needs it.
Hao Jamaa wameganda na deni linapanda.Dah natumia nguvu kuelekeza lakn hamuelewi, mim siongelei kenya kuwa ni developed country mzee, ila katika kukua kwa uchumi, inafika sehem rate ya ukuaji inasimama haiongezeki tena, kenya wamestak 5% kwa muda sas then wanadrop to 4 then wanapanda 5 then 4 yani wameganda hapo tu, achana na hzo blns of pesa mi sizungumzii hzo ila rates za ukuaji, tofaut na sis tulikua4 then 5 then 6 then 6.6 then 7 then 7.1, uchumi wetu ni growing ila wao umefika mahala haukui tena umestak kwe 5 tu kiuchumi tunaita matured mzee ila haimanishi wao ndo wanauchumi bora bali zile rate ndo nazungumzia hapa
Dah natumia nguvu kuelekeza lakn hamuelewi, mim siongelei kenya kuwa ni developed country mzee, ila katika kukua kwa uchumi, inafika sehem rate ya ukuaji inasimama haiongezeki tena, kenya wamestak 5% kwa muda sas then wanadrop to 4 then wanapanda 5 then 4 yani wameganda hapo tu, achana na hzo blns of pesa mi sizungumzii hzo ila rates za ukuaji, tofaut na sis tulikua4 then 5 then 6 then 6.6 then 7 then 7.1, uchumi wetu ni growing ila wao umefika mahala haukui tena umestak kwe 5 tu kiuchumi tunaita matured mzee ila haimanishi wao ndo wanauchumi bora bali zile rate ndo nazungumzia hapa
Acha kuwa mbishi.. kinacho fanya uchumi wa Kenya to grow at a decreasing rate is not economy maturity. Kenya ina fursa ya kukua ata kwa 15% kwa miaka 30 ijayo, uongozi wao tu una matatizo.Dah natumia nguvu kuelekeza lakn hamuelewi, mim siongelei kenya kuwa ni developed country mzee, ila katika kukua kwa uchumi, inafika sehem rate ya ukuaji inasimama haiongezeki tena, kenya wamestak 5% kwa muda sas then wanadrop to 4 then wanapanda 5 then 4 yani wameganda hapo tu, achana na hzo blns of pesa mi sizungumzii hzo ila rates za ukuaji, tofaut na sis tulikua4 then 5 then 6 then 6.6 then 7 then 7.1, uchumi wetu ni growing ila wao umefika mahala haukui tena umestak kwe 5 tu kiuchumi tunaita matured mzee ila haimanishi wao ndo wanauchumi bora bali zile rate ndo nazungumzia hapa
Nimekuelewa sana ila nafikiri unachanganya mambo, kwa nchi ambazo ni developed kama Japan, EU, USA & Co. ni ngumu sana hata kupata hata tu 2% economic growth, lkn kwa nchi masikini ambayo ndiyo kwanza inaendelea kukuwa kwa 5% hakutokani na kukomaa kwa Uchumi bali ni kwa nchi husika kushindwa kukua zaidi aidha sababu ya sera, skills, upatikanaji wa nishati ya kutosha, corruption, miundombinu n.k.
Hivyo kwa kifupi Kenya au hata TZ tuna nafasi ya kukuwa hata kwa 20% kama tukijipanga, lkn nchi kama Japan akipata 5% Dunia nzima itashtuka, kwani ni ngumu sana kwa developed economy kukuwa kwa kasi kwani karibia kila kitu kipo, sasa growth itatokea wapi?
Lkn kwa nchi kama Kenya/TZ kuna mengi sana bado hayajafanywa hivyo kukuwa kwa 5% ni ndogo sana na ndo maana unaona wengi hawaoni tofauti kwa sababu uchumi haukuwi kwa kiasi cha kuweza kuwafikia, ...
Moto wakati gap linazidi kupanuka?Mayb enz za nyerere ulikua wimbo but now ni moto
Wewe unayejua idadi yetu kamili si ungetuambia tuko wangapi!? 😂Nyie hamjulikani idadi yenyu.
BTW, nawapa hongera sana majirani. Upande wa mawasiliano na simu kwenyu hapo naona hadi watoii wanakuwanga nazo. [emoji28][emoji28]
Kenya's per capita is $2,010. Tanzania's per capita is $1,090. And you still want to overtake us "soon"! Number yetu mtaendelea kusoma tu ndugu zetuHao jamaa ni watu wasiojielewa,Kingereza mnachoongea bado per capita haifiki 2000 ,Japan wala hawajui kingereza per capita $35000
Uchumi wetu haukui tu kwa akili zako ila kwa ground vitu ni different. Ten years ago, the gap between Kenya and Tanzania was a mere $9b. Just ten years later it's $37b. How big do you think the gap will be in the next decade? If you didn't overtake us during that time when the gap was relatively small, then you'll never ever do that. And then you open your big mouth to talk about Kenya's economy growing at a much lower rate. You even had the audacity to include the word diminishing in your comment. Do you even know the meaning of the word "diminish"?Bro kuwa na matured economy haimanishi kuwa ndo wapo developed ama wanaboonge la uchumi, No. Ni kwamba uchumi wao umefika mahali ambapo haukui or unakua kwa rate ndogo mno, yani wamefika kwenye pik then diminishing
Are you taking about Tanzania or Kenya?Kwaiyo gdp ya bn65$ na watu milioni 50 ni Matured economy to you?
DickheadThis is dumb af
Hayo mambo ulizotaja ni kipi Tanzania imefanikiwa kufanya?Uchumi wa Kenya haujawahi kufikia hiyo unayoiita peak, Kenya bado ni low income developing country na wangeweza hata kukuwa kuanzia 10% na kuendelea kwa miaka hata 20, lkn hawajafikia 10% siyo kwa sababu ya ukomavu bali ubovu wa sera na mambo mengine mengi kama tu ilivyo kwenye nchi nyingi za third world.
Bado hakuna skills za kuwezesha kuongeza productivity, nishati ya kutosha hamna unahitaji kuanzia 10 000 MW za umeme kwa nchi yenye watu zaidi ya milioni 40 kama Kenya/TZ ili uweze kuwa na heavy industries, barabara uhakika huko vijijini kuunganisha na miji, uzalishaji wa mbolea kwa kilimo n.k. hayo yote Kenya haijaweza kufanya bado sasa inawezaje kuwa imefikia peak wakati hata chakula chenyewe wanashindwa kuzalisha cha kutosha?