Tanzania Economy to Surpass Kenya and Ethiopia by 2030

Eti mko na uwezo wa kulipa 😂😂😂
Yeah hatuko ligi moja na nchi zinazopokea misaada ya chakula karne hii,
Hivi Unafahamu deni lenu ukilinganisha na GDP yenu 😂😂😂
Tanzania


Kenya 😂😂😂

 

2009 GDP, Kenya ilikua $37B Tanzania $28B ... Tofauti ilikua tumewaacha na $9B


Nakumbuka enzi hizo mwaka wa 2008 kuna taarifa ilikua inasema Tz itaipiku Kenya by 2021!!!






miaka kumi baadae 2019 GDP, Kenya $98B Tanzania GDP $62B .. Tofauti $36B!!! gap inazidi kupanuka








Projections za GDP by IMF hadi 2024 , Kenya $154B.. Tanzania $92B.... Gap itakua ni $62B sawa na GDP yenu yote ya mwaka huu 2019


2024 ni miaka 6 kabla 2030







Alafu eti kulingana na nyinyi, ikifika 2030 mtakua mmeregesha hio gap hadi kutushinda kiuchumi 😂😂😂


Source https://www.imf.org/external/datamapper/NGDPD@WEO/KEN/ETH/RWA/TZA/UGA
 
Tanzania kuna daily commuters wanaishi 50km toka Dar es salaam??
We unaongelea dsm. Wapo kibao, na zaidi ya 50km.
Watu wanaishi arusha wanafanya kazi moshi, and viceversa. 80km
 
Sio mimi, ni Mkenya Mwenzenu kasema.

At one point ilikua ni by 2022


TANZANIA SET TO SURPASS KENYA AS EAST AFRICA'S ECONOMIC GIANT
Tanzania’s economy has been growing at an average rate of 7 percent annually over the past decade – a trend which economists predict will turn the country into the eastern African economic powerhouse by the year 2022.
 
As usual, ujinga ujinga tu. Hivi umeelewa maana ya hiyo taarifa? Hivi hii lugha unayojitapa nayo mbona bado ni tatizo kwako? Umeelewa maana ya hiyo statement?

Ni bora mara elfu moja kuwa mbumbumbu Tanzania kuliko kuwa mwerevu wa kunyaland.
 
Kilichobaki ni kuwafurusha waende mbali nasi
Hahaha... Angalau napata faraja sasa somo limeanza kukuingia.
Mjinga ni wewe, nyanyako, babako na watu wenu wote wasiokuwa na uelewa wa vitu rahisi kama hizi [emoji23] [emoji23]
Buda, msikimbilie uchagoo huko sasa.. It's time to swallow your pride and watch and learn from babalao Tz.
 
Hahaha... Angalau napata faraja sasa somo limeanza kukuingia.
Buda, msikimbilie uchagoo huko sasa.. It's time to swala your pride and watch and learn from babalao Tz.
Hata Rwanda hamjafikia,liwe Kenya???
 
Hahaha... Angalau napata faraja sasa somo limeanza kukuingia.
Buda, msikimbilie uchagoo huko sasa.. It's time to swallow your pride and watch and learn from babalao Tz.
 
Chanika iko less than 18km toka Dar wacha uongo.
Huo umbali nikama kwenda Githurai apa Nairobi. Huko nauli ni hadi sh10

Ooh i forgot Dar metro aint that big
Ni sawa sawa mtu asimame mpakani mwa tz na Kenya kisha aseme Kenya ipo umbali wa mita 1 kutoka Tanzania na mwingine aliye simama umbali wa mita 4 apinge na kusema Kenya ipo umbali wa mita 4 na mwingine aliye simama umbali wa mita 40 awapinge wote na kusema Kenya ipo umbali wa mita 40 ilo ndilo tatizo la kubishana na wajinga
 
Bado ni low economy tofaut na Tz Ni distance ya pua na upperlip
World Bank na IMF na other organisations had estimated Kenyan population at around 52 million, that gdp per capita was divided by 52 million kenyans
Lakini now they will adjust to 47.6 million kenyans, from the census
so per capita will be higher than 2010USD
 
International media about Tanzania economy

 
International media about Tanzania economy

 
International media about Tanzania economy

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…