Tanzania Economy to Surpass Kenya and Ethiopia by 2030

Tanzania Economy to Surpass Kenya and Ethiopia by 2030

Normal Tz is so broke haezi lewa Kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
Huko kenya wengi wenu mnakunywa changaa kwa sababu hamuwezi afford bia za maana,
Ndio maana huwa mkija huku mnalewa tu hamtamani tena kurudi kwenu kwenye maisha magumu yasiyofaa 😂😂😂
Wakati huku mtu akiwa na elfu kumi ana bia kumi 😂😂😂
 
Huko kenya wengi wenu mnakunywa changaa kwa sababu hamuwezi afford bia za maana,
Ndio maana huwa mkija huku mnalewa tu hamtamani tena kurudi kwenu kwenye maisha magumu yasiyofaa 😂😂😂
Wakati huku mtu akiwa na elfu kumi ana bia kumi 😂😂😂
Wale omaomba wenu wanafanya nini Kenya mahali maisha ni magumu?
 
Wale omaomba wenu wanafanya nini Kenya mahali maisha ni magumu?
Hao ni wale wanaoishi mpakani alafu wakatoroshwa na wakenya ili waje kufanywa vitega uchumi wenu,
Maisha ya kenya magumu mnoo.

 
TZ is $1100
Mkuu, hiyo hesabu yao ya per capital ni ujinga tu. Wanajivisha kilemba cha ukoka...wanakufa na tai shingoni..kujimwambafai kwa data za kupika.

Angalia hapa, kwamba wakenya wote wana Simu hata watoto wachanga. Maana population kwa sensa ya juzi wako million 47. Ila watumiaji wa Simu wako millioni 46+

Screenshot_20191124-195853~2.jpeg
 
Hao ni wale wanaoishi mpakani alafu wakatoroshwa na wakenya ili waje kufanywa vitega uchumi wenu,
Maisha ya kenya magumu mnoo.


Your beggars come from as far as Tanga. Hizo ni kilometre ngapi?
 
Thats during peak hours Jioni na asubuhi. Normal ni 40 & 50
Tanzania bei ni moja ila kwa umbali wa km 45 nauli ni sh 800 mfano chanika . Ila hapo kwa Kenya km45 kuwa ksh70 hiyo ni Mara Mbili ya tz hivyo mishahara yenu kuwa juu inatokana na gharama za maisha Kenya ni zaidi ya Mara Mbili ya tz
 
Mkuu, hiyo hesabu yao ya per capital ni ujinga tu. Wanajivisha kilemba cha ukoka...wanakufa na tai shingoni..kujimwambafai kwa data za kupika.

Angalia hapa, kwamba wakenya wote wana Simu hata watoto wachanga. Maana population kwa sensa ya juzi wako million 47. Ila watumiaji wa Simu wako millioni 46+

View attachment 1271929
First, I would like to correct you. Our population is 49 million people, not 47 million people as you say here. Secondly, I would just like to remind you that you have an average mind just like your fellow Tanzanians here and everywhere else. You don't stop for a second to to reason or think beyond your noses.

There's something called "double registration" In short mtu anaweza kumiliki laini mbili au tatu ama hata zaidi ya Safaricom and at the same time ako na zingine za Airtel or Orange all registered. When CAK compiles data, it compiles the number of "subscribers" not the number of people who own mobile phones. Personally, I have two Safaricom lines and an Airtel line, all of them active. Does that make me "three people" at the same time? Under CAK data, Al these three lines that I own are listed as subscribers but the fact is that they are owned by one person. I know it's a bitter pill to swallow but the fact remains that mobile phone penetration in Kenya is higher than any other country in EA. Ugua pole
 
Tanzania bei ni moja ila kwa umbali wa km 45 nauli ni sh 800 mfano chanika . Ila hapo kwa Kenya km45 kuwa ksh70 hiyo ni Mara Mbili ya tz hivyo mishahara yenu kuwa juu inatokana na gharama za maisha Kenya ni zaidi ya Mara Mbili ya tz
Chanika iko less than 18km toka Dar wacha uongo.
Huo umbali nikama kwenda Githurai apa Nairobi. Huko nauli ni hadi sh10

Ooh i forgot Dar metro aint that big
 
Huko kenya wengi wenu mnakunywa changaa kwa sababu hamuwezi afford bia za maana,
Ndio maana huwa mkija huku mnalewa tu hamtamani tena kurudi kwenu kwenye maisha magumu yasiyofaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati huku mtu akiwa na elfu kumi ana bia kumi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo ni statistics straight from your ass.

Pombe ya maskini Kenya ni keg na kikombe kimoja 1/2 litre ni sh50

Nkileta makanga wa matatu huko wanakula wanawake wenu na kunywa mvinyo wote na kubaki na change.
 
Hizo ni statistics straight from your ass.

Pombe ya maskini Kenya ni keg na kikombe kimoja 1/2 litre ni sh50

Nkileta makanga wa matatu huko wanakula wanawake wenu na kunywa mvinyo wote na kubaki na change.
 
Ha ha ha! ndoto za mchana hizi. The analysis is just bogus; look at the scale of infrastructural development in Kenya, we are 10 yrs ahead of TZ, so TZ building a highway or some new power-line is not anything we have not seen.

Many people don't seem to understand why Kenya is ahead of of TZ, UG and ET even though we are the most arid country in eastern Africa excluding Somali, most water strained, most natural resources strained... one word -- HUMAN RESOURCES AND PEOPLES' ATTITUDE.

That will take decades to change. Kenyans are individualistic go-getters, talk to many Kenyans, even a poor Kenyan living in a slum believes if he works harder he can become a Muthaiga resident.

Add to the literacy levels and the seriousness that Kenyans have in education excellence.

When Bongolalas change their stupid mindset of seeing ambition as selfish, that day I will truly predict their take-over..
When Bongolalas stop sneering Kenyans for "knowing how to speak in English(the language of global commerce)"...that will be our end of EAC domination.

kwa sasa, its "hard small", tukutane 2030.

KAMA HAMKUPITA KENYA WAKATI WA MOI, KWA SASA ITAKUWA NDOTO TU.


keeep sleeping, ukiachana na kwamba thats 2030, some sectors tulishawaacha 100 years ahead mfano tourism hata mkicombine kenya + uganda bado hamuwezi ifikia Tz, your talking of 2030 while things are already happening
 
[emoji23][emoji23][emoji23]This means a normal Kenyan has higher spending power & richer so he/she party in Tz unlike you guys.

Natafuta 50k nteremke huko, najua ntakua millionaire instant pale[emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom