Tanzania Enzi Hizo

Tanzania Enzi Hizo

Joined
Nov 20, 2013
Posts
27
Reaction score
18
Kwa wale ambao hawakuwepo kipindi hicho.
Screenshot_20190921-230917_Chrome.jpeg
Screenshot_20190921-230943_Chrome.jpeg
Screenshot_20190921-231025_Chrome.jpeg
Screenshot_20190921-231049_Chrome.jpeg
Screenshot_20190921-231129_Chrome.jpeg
Screenshot_20190921-231200_Chrome.jpeg
Screenshot_20190921-231222_Chrome.jpeg
Screenshot_20190921-231248_Chrome.jpeg
Screenshot_20190921-231422_Chrome.jpeg
Screenshot_20190921-231532_Chrome.jpeg
 
Asante saana aise lkn ujeneral niliupata baada ya vita maana mm ndio niliyeset plan ya kipigo cha lukaya kipigo ambacho kiliangamiza 20% ya nguvu ya amin
Ngoja nijilazimishe kufahamu we ni nani[emoji1]
 
Kabila ni muha na sasa nipo kigoma manyovu nalima ndizi na watermelon [emoji847][emoji847]
Gen. Mwita Marwa. Aliongoza Brigedia ya 208, kipindi hicho ni Brigedia. Wenzake ni kina Imran Kombe wa 201th Brigade, Herman Lupogo wote. Wote chini ya Msuguri. Sasa sijui nicomfirm wewe ni nani[emoji4][emoji4]
 
Gen. Mwita Marwa. Aliongoza Brigedia ya 208, kipindi hicho ni Brigedia. Wenzake ni kina Imran Kombe wa 201th Brigade, Herman Lupogo wote. Wote chini ya Msuguri. Sasa sijui nicomfirm wewe ni nani[emoji4][emoji4]
Upo vizuri au na Wewe ni mmoja wa wapiganaji wa hiyo vita?
 
Gen. Mwita Marwa. Aliongoza Brigedia ya 208, kipindi hicho ni Brigedia. Wenzake ni kina Imran Kombe wa 201th Brigade, Herman Lupogo wote. Wote chini ya Msuguri. Sasa sijui nicomfirm wewe ni nani[emoji4][emoji4]
Mbona umedhamilia kumdiskloz hivyo angetaka kujulikana angekua verified member
 
Marwa ndio alikuwa anaitwa kambale alikuwa anasimamia briged 207 na 208 pia ndio master plan wa kuziteka masaka na entebbe
Kumbe brigedi mbili ziliweza kuongozwa na brigedia mmoja. Vipi yule kamanda Sule wa Uganda alikufaje kwa mtazamo wa JWTZ.Maana kuna mkanganyiko kwenye source zote
 
Asante saana aise lkn ujeneral niliupata baada ya vita maana mm ndio niliyeset plan ya kipigo cha lukaya kipigo ambacho kiliangamiza 20% ya nguvu ya amin
mkuu washauri na wenzako wote ambao bado mko haimtunge vitabu ambavyo vitatupa mwanga juu ya vita hii na kutuongezea uzalendo,napenda sana kusoma vitabu vya masuala ya vita na upelelezi na kuangalia filamu ya masuala hayo.
Nalog off
 
mkuu washauri na wenzako wote ambao bado mko haimtunge vitabu ambavyo vitatupa mwanga juu ya vita hii na kutuongezea uzalendo,napenda sana kusoma vitabu vya masuala ya vita na upelelezi na kuangalia filamu ya masuala hayo.
Nalog off
Kuna sababu nyingi zinazofanya historia ya vita iwe siri mfano baadhi ya mbinu zilizotumika

Mfano shambulizi la kuangamiza ndege za amin kiuhalisia hilo shambulio lilikuwa chini ya makomando wa Cuba ndio walioseti kila kitu
 
Kuna sababu nyingi zinazofanya historia ya vita iwe siri mfano baadhi ya mbinu zilizotumika

Mfano shambulizi la kuangamiza ndege za amin kiuhalisia hilo shambulio lilikuwa chini ya makomando wa Cuba ndio walioseti kila kitu
Kumbe hatukuwa peke yetu tulikuwa na Cuba na ndugu zetu wengine waliotuunga mkono?
Sawa kabisa nimekuelewa kuhusu kwenye siri,kuna sehemu niliona majenerali wa frelimo na majenerali wa ureno walikubaliana kuwa hakuna kutunga kitabu na kuhadithia jinsi vita ilivyotokea mpaka kufika mwisho wa vita ila majenerali wa ureno wakaanza kutunga,basi na wa frelimo nao wameanza kutunga,jeneral Chipande naye kashatunga
Nalog off
 
Mbali na Cuba palikuwepo na Bulgaria na Algeria pia kipigo cha kuisambalatisha simba battalion kilikuwa ni kwa hisani ya watu wa China

Hao majeneral hata wakiandika vitabu havitokuwa sahihi kwa 100% maana Uganda aligawanwa na kila mshiriki kupewa eneo lake
Kumbe hatukuwa peke yetu tulikuwa na Cuba na ndugu zetu wengine waliotuunga mkono?
Sawa kabisa nimekuelewa kuhusu kwenye siri,kuna sehemu niliona majenerali wa frelimo na majenerali wa ureno walikubaliana kuwa hakuna kutunga kitabu na kuhadithia jinsi vita ilivyotokea mpaka kufika mwisho wa vita ila majenerali wa ureno wakaanza kutunga,basi na wa frelimo nao wameanza kutunga,jeneral Chipande naye kashatunga
Nalog off
 
Mbali na Cuba palikuwepo na Bulgaria na Algeria pia kipigo cha kuisambalatisha simba battalion kilikuwa ni kwa hisani ya watu wa China

Hao majeneral hata wakiandika vitabu havitokuwa sahihi kwa 100% maana Uganda aligawanwa na kila mshiriki kupewa eneo lake
Ahsante sana kwa hii historia,jenerali.
Nalog off
 
Back
Top Bottom