Tanzania Exposed By Corona

Huo unafiki unaouongelea ndo ninaomaanisha mimi. Na hiyo ni tabia ya mtu binafsi si tabia ya watu wa taifa fulani na utaikuta kwa baadhi ya watu wa taifa lolote lile.

Hiyo ya Tz kuwekwa hilo kundi ni kutokana na haya mambo yanayoandikwa na wanasiasa na waandishi wengine..,na sio kwamba hizo takwimu au list siku zote zinaakisi uhalisia,hapana... Lile tukio la Makonda na Pompeo liliifanya Dar ianze kumulikwa kama jiji hatari.

Lakini je kwa uzoefu wako wa Dar es salaam na miji mingine duniani,hivi unaweza kuiweka dar miongoni mwa majiji hatari kweli? Dar hii ambayo hata ukiwa na silaha huoni umuhimu wa kutembea nayo inaweza kuwa hatari kweli kuliko Johannesburg au Durban ninayoona silaha nje nje na petty crime zakutosha? Hivyo si kila muda hizo data zitareflect uhalisia.
 

Hebu tuyaweke haya pembeni kwa sasa maana ndio yale yale ambayo hakuna Mtz hata mmoja huyakubali maana hamuwezi kujiona, mpaka muonwe na sisi wageni tunaokuja huko.

Anyway hivi haya nimeona kwenye jukwaa lenu la siasa eti Aljazeera wanadai kuna vifo 50 Tanzania ni kweli? Au uzushi
 
Nyie si ndio mmeyasema hayo,labda nikuulize wewe😞😞
 
Chanzo cha habari NTV ya mange na kigogo?[emoji1][emoji1][emoji1]..
Wakenya mtakufa kwa roho mbaya zenu....
Miili yenu ipo kenya roho zenu zipo Tanzania..


Sent using Jamii Forums mobile app
Heri hao wanasema ile kitu hamwezi, the truth nyinyi wengine ccm fanatics ni denialism tu at the expense of human life, hii corona haiheshimu siasa ama pesa ngoja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa ninyi mnaooambana hebu tuambieni kwanini idadi ya wagonjwa imeongezwka mpaka 411 na vifo 27?

Watu wanapikia watoto wao mawe raisi wenu yuko busy kutuma zawadi ya maua U.K


God save us
 
Sawa ninyi mnaooambana hebu tuambieni kwanini idadi ya wagonjwa imeongezwka mpaka 411 na vifo 27?

Watu wanapikia watoto wao mawe raisi wenu yuko busy kutuma zawadi ya maua U.KView attachment 1437450

God save us

Kwetu tunapima karibu mara nne ya kwenu, mngekua mnapima hata robo ya idadi ya watu tunaopima kwa siku mngejishangaa, ila kwa sasa nyie mumebakia kutupia mapicha ya watu wakizikwa usiku kimya kimya.

Nyie sasa hizi hapa ndio habari kwenye mitandao

 
Umemuuliza huyo dada bibi yake kafa kwa ugonjwa gani? Na hao 18 wamekufa kwa ugonjwa gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…