Tanzania finally surrenders to Kenya on the testing dispute at the border

Yani huyu mpuuzi wa kunyaland anashadadia ufala yani kwao huo ndo ushindi kinachotakiwa ni takwimu mpeleke kwa wazungu waliowapatia pesa ndo maana kuwa mgonjwa sio ishu ishu ni takwimu shenzi hawa
Kuna mkenya alisema Kenya ina watu wawili wenye akili wengine ni ng'ombe, pengine mleta mada ndio mmoja wa hao mifugo.
 
Wakenya mnatumika sio bure.
Haya jitahidini kutafiti ufahisi wa kuenea hilo gonjwa.

Huo ujinga hatuutakj hapa Tanzania na tumelikomesha

Sisi waafrikq halisi bhana ngoja tupige nyungu. Kesho kuna mechi ligi kuu Tanzania nikaangalie gemu

Sent from my SM-A520F using JamiiForums mobile app
 
Tanzania has not surrendered!! Contrary to that it is Kenya which had surrendered! Now covid 19 results are not needed for one to be allowed entry!! The results are obtained during exit!! Was this the initial Kenya position? definitely not! So who has surrendered!!
Kwa Sasa hata mwenye Corona anaingia Kenya maana hahitajiki kusubiri majibu, majibu atayapata wakati anarudi.
Sababu ni kwamba mtanzania amebeba chakula kwa hiyo ni lazima akifikishe Kwanza sokoni vinginevyo wakenya wanakufa njaa.
 
Halafu kitu wasicho kijua Tanzania haikurupuki kama Kenya ,haiwezekani ikatae baadae ije kukubuli Jambo hilohilo si TZ nayoijua mimi hata cku moja hijawahi kubadilisha msimamo wake upumbavu huo unaweza kufanywa na Kenya pekee ktk hapa E.A
Since mlisema hakuna Corona, mnapima nini sasa? Huko sio kubadilisha msimamo??? 😁
 
Since mlisema hakuna Corona, mnapima nini sasa? Huko sio kubadilisha msimamo??? [emoji16]
Uwe unatumia akili kujenga hoja , Tanzania haipimi kutafuta wagonjwa mitaani inapima pale mtu akihisiwa ana dalili karibu zote ndio anapimwa vipimo vya korona akigundulika anapewa dawa zilizotengenezwa na wataalam wa ndani sio za wazungu nambo yanakuwa Safi siku chache tu ndio maana unaona huku watu tunaishi tu bila ya stress sio kama ninyi huko munachojua kupima tu kutibu kwenu sio muhimu .munakufa kama kuku ninyi kerere munaelekeza TZ eti tunakufa kama kuku mtapata tabu Sana kwa kuwaamini wazungu . Hivi Tanzania ingekuwa kuna korona kama munavyovumisha ninyi nisingekosa mtu hata mmoja wa karibu akiambukizwa maana Nina ndugu kama wote Dar Mimi naish Zenj hapo bado marafiki wa Dar na Zenji lakini hakuna hata mmoja ndugu yake aliepata hiyo Corona ya Kenya lakini kila kukicha mnapiga domo humu eti Tanzania wanakufa kama kuku tena wanaosema hivyo hata ardhi ya bongo hamujawahi kukanyaga .muulizeni ndugu yenu Kahata atawaambia kama Tanzania inaiogopa korona au Corona inaiogopa Tanzania?
 
Link ya upimaji pindi dalili zinapotokea na pia unipe link ya dawa mnazotumia kutibu Corona ambayo unajikanganya kwa kusema haipo juu jamaa zako hawajaambukizwa.
Link tafadhali ama ichukuliwe Kama kasheshe ya vijiweni.
 
Nasikia Kenyatta kaficha test kits kwenye mifuko ya suruali!
 
Link ya upimaji pindi dalili zinapotokea na pia unipe link ya dawa mnazotumia kutibu Corona ambayo unajikanganya kwa kusema haipo juu jamaa zako hawajaambukizwa.
Link tafadhali ama ichukuliwe Kama kasheshe ya vijiweni.
Kaa hapo hapo usubiri link zote hizo unazan wote tuna mawazo ya watumwa kama Kenya ,ninyi mmetekwa na Google kila kitu hamuamini mpaka kitoke good unazan nchi zinazojitambua kila kitu wanahifadhi Google? Kipindi munakufa kwa cku 30 kwa korona ndio utajua kama Google inasaidia au haisaidii ila kwa kifupi tu Tanzania tumesahau kuhusu korona na tarehe 29 madogo wanaenda shule kumbuka ligi za mpira bongo zinaendelea kama kawaida sasa subiria link maana wakenya mmeathirika kisaikolojia hamuamini kitu mpaka kitoke kwa wazungu hiyo Google munaona kama imeshuka kutoka mbinguni munavyoiamini kumbe ni biashara ya watu .
 
Hata JF niliijulia kwa Google.
 
Hata JF niliijulia kwa Google.
Bc pole ila usiwe na mawazo mgando link ni imewekwa na watu sasa Corona kwa Tanzania tunaichukulia ni vita ya uchumi kama vita zingine sasa unapokuja kusema upatiwe link ya silaha ya korona inayotumika TZ utakua kituko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…