Tanzania Football Best XI Of All Time

Tanzania Football Best XI Of All Time

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
20,694
Reaction score
32,527
Hiki ndio kikosi bora kuwahi kutokea cha wachezaji ambao wamewahi kucheza Tanzania.

1) Mwameja Mohamed Mwameja
2) Shadrack Joel Nsajigwa "fuso"
3) Mecky Mexime
4) George Magere Masatu
5) Bakari Malima "jembe ulaya"
6) Hussein Amani Marsha
7) Said Maulid Kalukula "SMG"
8) Sunday Ramadhan Manara "computer"
9) Mohamed Hussein "mmachinga"
10) Zamoyoni Kondo Mogella "golden boy"
11) Edidily Jonas Lunyamila

Screenshot_20230526-022535_1.jpg
Screenshot_20230526-022628_1.jpg
Screenshot_20230526-022746_1.jpg
Screenshot_20230526-023000_1.jpg
Screenshot_20230526-023043_1.jpg
Screenshot_20230526-023151_1.jpg
Screenshot_20230526-023339_1.jpg
Screenshot_20230526-023439_1.jpg
Screenshot_20230526-023525_1.jpg
Screenshot_20230526-023633_1.jpg
Screenshot_20230526-024330_1.jpg
 
Sijakuelewa- ina maana hawa huwafahamu au?
1. Jumanne Hassan Masimenti
2. Ezekiel Greyson Jujuman
3. Willy Mwaijibe
4. Adam Sabu
5. Haidari Abeid
6. Abdallah Kibadeni
7. Shabani Baraza
8. Omari Gumbo
9. Aluu Ali
10. Lucas Nkondola
11. Gibson Sembuli
12. Kitwana Manara
13. Juma Mensah
14. Leodgar Chila Tenga
15.,Khasim Manga
16. Leonard Chitete
17. Hamis Gobbos
18. Maulid Dilunga
19. Khasim Manara
20. Nico Njohole
22. Leopold Tasso Mukebezi
23. Omari Mahadhi Bin Jabri
24.Omari Chuma
25.Mohammed Bakari Tall
26. Mambosasa
27. Boniface Mkwasa
28. Juma Mgunda
29. Godfrey Nguluko
30. Said Ally
31. Omar Chogo
 
Mbona sijamwona mohammed hussein, inonga baka, pape sakho, konoute..... 😁🙃
 
Hiki ndio kikosi bora kuwahi kutokea cha wachezaji ambao wamewahi kucheza Tanzania.

1) Mwameja Mohamed Mwameja
2) Shadrack Joel Nsajigwa "fuso"
3) Mecky Mexime
4) George Magere Masatu
5) Bakari Malima "jembe ulaya"
6) Hussein Amani Marsha
7) Said Maulid Kalukula "SMG"
8) Sunday Ramadhan Manara "computer"
9) Mohamed Hussein "mmachinga"
10) Zamoyoni Kondo Mogella "golden boy"
11) Edidily Jonas Lunyamila

View attachment 2634928View attachment 2634929View attachment 2634930View attachment 2634931View attachment 2634932View attachment 2634933View attachment 2634934View attachment 2634935View attachment 2634936View attachment 2634937View attachment 2634938
Kwa kipindi kipi?
 
Sijakuelewa- ina maana hawa huwafahamu au?
1. Jumanne Hassan Masimenti
2. Ezekiel Greyson Jujuman
3. Willy Mwaijibe
4. Adam Sabu
5. Haidari Abeid
6. Abdallah Kibadeni
7. Shabani Baraza
8. Omari Gumbo
9. Aluu Ali
10. Lucas Nkondola
11. Gibson Sembuli
12. Kitwana Manara
13. Juma Mensah
14. Leodgar Chila Tenga
15.,Khasim Manga
16. Leonard Chitete
17. Hamis Gobbos
18. Maulid Dilunga
19. Khasim Manara
20. Nico Njohole
22. Leopold Tasso Mukebezi
23. Omari Mahadhi Bin Jabri
24.Omari Chuma
25.Mohammed Bakari Tall
26. Mambosasa
27. Boniface Mkwasa
28. Juma Mgunda
29. Godfrey Nguluko
30. Said Ally
31. Omar Chogo
Tatizo umri mkuu
Wale walionde Nigeria mwaka 80 hawatambuliki?
 
Wangecheza hivi sasa wasingekuwa maarufu hao

Mpira umebadilika sana na umekuwa mgumu
 
Hiki ndio kikosi bora kuwahi kutokea cha wachezaji ambao wamewahi kucheza Tanzania.

1) Mwameja Mohamed Mwameja
2) Shadrack Joel Nsajigwa "fuso"
3) Mecky Mexime
4) George Magere Masatu
5) Bakari Malima "jembe ulaya"
6) Hussein Amani Marsha
7) Said Maulid Kalukula "SMG"
8) Sunday Ramadhan Manara "computer"
9) Mohamed Hussein "mmachinga"
10) Zamoyoni Kondo Mogella "golden boy"
11) Edidily Jonas Lunyamila

View attachment 2634928View attachment 2634929View attachment 2634930View attachment 2634931View attachment 2634932View attachment 2634933View attachment 2634934View attachment 2634935View attachment 2634936View attachment 2634937View attachment 2634938
Hii ni fake kama Said Mwamba Nassoro Kizota hayupo kwenye list
 
Hamnaga kitu kinaitwa "kuwahi kutokea", ni matumizi mabaya Sana ya akili kusema hvyo , waswahili tunasema kila nabii na Zama zake ... Hakuna mtu anaweza kuwa best katika Zama zote kwenye ulimwengu huu ambao unabadrika kila uchwao... Ndo mana mnaishia kukosoana tuu mara mweke huyu mara mtoe huyu , mara list haijakamilika bila fulan ... Zote hzo ni ishara kuwa hamna mtu Bora wa wakat wote.... Ndo mana rekodi zinavunjwa
 
Bila hawa hii ni fake
1. Nteze John Lungu
2. Fikiri Magoso
3. Twaha Hamidu
4. Fumo Felician
5. Athuman Chama
6. Abdallah Kibaden Mputa
7. Steven Nemes
8. Juma Amir
 
Hamnaga kitu kinaitwa "kuwahi kutokea", ni matumizi mabaya Sana ya akili kusema hvyo , waswahili tunasema kila nabii na Zama zake ... Hakuna mtu anaweza kuwa best katika Zama zote kwenye ulimwengu huu ambao unabadrika kila uchwao... Ndo mana mnaishia kukosoana tuu mara mweke huyu mara mtoe huyu , mara list haijakamilika bila fulan ... Zote hzo ni ishara kuwa hamna mtu Bora wa wakat wote.... Ndo mana rekodi zinavunjwa

Wakiendelea kubishana baada ya hii comment namruhusu mod atembeze ban ya miezi mitatu mitatu kwa kila atakayethubutu kuweka kikomenti chake tena!

Case closed!
 
1.Aishi Manula.
2.Mtwa kihwelu
3.Mohamed Hussein 'zimbwe jr'
4.Kenny Mkapa.
5.NadirCanavaro
6.Malota Soma
7.SimomMsuva.
8.Nteze John.
9.Hussein 'Mmachinga'
10.Makumbi Juma.
11.Mussa Hassan Mgosi.

Line up is subject to change due to the other factors.*
 
Hiki ndio kikosi bora kuwahi kutokea cha wachezaji ambao wamewahi kucheza Tanzania.

1) Mwameja Mohamed Mwameja
2) Shadrack Joel Nsajigwa "fuso"
3) Mecky Mexime
4) George Magere Masatu
5) Bakari Malima "jembe ulaya"
6) Hussein Amani Marsha
7) Said Maulid Kalukula "SMG"
8) Sunday Ramadhan Manara "computer"
9) Mohamed Hussein "mmachinga"
10) Zamoyoni Kondo Mogella "golden boy"
11) Edidily Jonas Lunyamila

View attachment 2634928View attachment 2634929View attachment 2634930View attachment 2634931View attachment 2634932View attachment 2634933View attachment 2634934View attachment 2634935View attachment 2634936View attachment 2634937View attachment 2634938
Yaani hakuna Hussein Marsha,hamis Gaga,athman china,kizota!?
 
Yale mambo ya Edibily Lunyamila kuwapiga chenga wachezaji kuanzia katikati ya uwanja mpaka golini na akafunge haiwezi tokea tena

Mabeki gani utawachenga hivyo wakuangalie mpaka ukafunge? [emoji13]
Gaucho,Messi mbona wamepiga vyenga kundi la watu!!?...yaani lunyamila asiwapige vyenga akina Mohammed Hussein na kapombe!?
 
Back
Top Bottom