Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
- #41
Atoke Lunyamila?Huwezi kumuacha mfungaji wa muda wote Mrisho Ngassa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atoke Lunyamila?Huwezi kumuacha mfungaji wa muda wote Mrisho Ngassa
Hapo hujamuona Sunday Ramadhan Manara? Huwa hamsoni kabla ya kucomment?Naona kwa makusudi kabisa mnajisahaulisha SAID SWEDI (SCUD) na SUNDAY MANARA (KOMPYUTA)
Mimi najua kitu basi- nimejitajia tuBest XI unaelewa maana yake? Umetaja wachezaji 31, badala ya XI
Unamuachaje Jorum Mwakatika?Hiki ndio kikosi bora kuwahi kutokea cha wachezaji ambao wamewahi kucheza Tanzania.
1) Mwameja Mohamed Mwameja
2) Shadrack Joel Nsajigwa "fuso"
3) Mecky Mexime
4) George Magere Masatu
5) Bakari Malima "jembe ulaya"
6) Hussein Amani Marsha
7) Said Maulid Kalukula "SMG"
8) Sunday Ramadhan Manara "computer"
9) Mohamed Hussein "mmachinga"
10) Zamoyoni Kondo Mogella "golden boy"
11) Edidily Jonas Lunyamila
View attachment 2634928View attachment 2634929View attachment 2634930View attachment 2634931View attachment 2634932View attachment 2634933View attachment 2634934View attachment 2634935View attachment 2634936View attachment 2634937View attachment 2634938
List ikishamuacha mbwana ally sammata tu huwa ni uongo huo,unapanga list kwa husda
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Kama wivu wa mendeleo ni yale ya kujiuza kigamboni, wacha niwe na wivu tuHawezi kumtaja ana wivu wa maendeleo kwa vijana wenzie pimbi huyu [mention]Countrywide [/mention]
Simuoni Jelah Mtagwa?Sijakuelewa- ina maana hawa huwafahamu au?
1. Jumanne Hassan Masimenti
2. Ezekiel Greyson Jujuman
3. Willy Mwaijibe
4. Adam Sabu
5. Haidari Abeid
6. Abdallah Kibadeni
7. Shabani Baraza
8. Omari Gumbo
9. Aluu Ali
10. Lucas Nkondola
11. Gibson Sembuli
12. Kitwana Manara
13. Juma Mensah
14. Leodgar Chila Tenga
15.,Khasim Manga
16. Leonard Chitete
17. Hamis Gobbos
18. Maulid Dilunga
19. Khasim Manara
20. Nico Njohole
22. Leopold Tasso Mukebezi
23. Omari Mahadhi Bin Jabri
24.Omari Chuma
25.Mohammed Bakari Tall
26. Mambosasa
27. Boniface Mkwasa
28. Juma Mgunda
29. Godfrey Nguluko
30. Said Ally
31. Omar Chogo
Said Sued "Scud" hata wakiweka best 200 hawezi kuwemo. Alikuwa mchezaji wa kawaida Sana Kwa maana halisi ya neno kawaida. Namfahamu nimemuona Tangu anatoka Kigoma. Yule na Yikpe tofauti ni uraia tu Bora hata Molinga Ndama Mutoto ya Ng'ombe. Alibebwa na Mechi mbili tu zote Yanga Vs Simba na hakusajiliwa tena msimu uliofuata.Naona kwa makusudi kabisa mnajisahaulisha SAID SWEDI (SCUD) na SUNDAY MANARA (KOMPYUTA)
Kuna watu mnachuki sana aisee 🤣🤣🤣🤣 kwakua aliwakandaSaid Sued "Scud" hata wakiweka best 200 hawezi kuwemo. Alikuwa mchezaji wa kawaida Sana Kwa maana halisi ya neno kawaida. Namfahamu nimemuona Tangu anatoka Kigoma. Yule na Yikpe tofauti ni uraia tu Bora hata Molinga Ndama Mutoto ya Ng'ombe. Alibebwa na Mechi mbili tu zote Yanga Vs Simba na hakusajiliwa tena msimu uliofuata.
Sijui aisee.Kusoma haujui? All time huelewi maana yake?
Alikuwa mzuri sana, ila alianza mambo ya Feitoto Yanga wakamnyoosha.Said Sued "Scud" hata wakiweka best 200 hawezi kuwemo. Alikuwa mchezaji wa kawaida Sana Kwa maana halisi ya neno kawaida. Namfahamu nimemuona Tangu anatoka Kigoma. Yule na Yikpe tofauti ni uraia tu Bora hata Molinga Ndama Mutoto ya Ng'ombe. Alibebwa na Mechi mbili tu zote Yanga Vs Simba na hakusajiliwa tena msimu uliofuata.
1.Aishi Manula.
2.Mtwa kihwelu
3.Mohamed Hussein 'zimbwe jr'
4.Kenny Mkapa.
5.NadirCanavaro
6.Malota Soma
7.SimomMsuva.
8.Nteze John.
9.Hussein 'Mmachinga'
10.Makumbi Juma.
11.Mussa Hassan Mgosi.
Line up is subject to change due to the other factors.*