Tanzania Geography Teachers For Secondary Schools Special Thread

Tanzania Geography Teachers For Secondary Schools Special Thread

proffesa issa

Senior Member
Joined
Jan 6, 2015
Posts
118
Reaction score
51
habari walimu!walimu naomba huu uwe uzi maalumu kuhusu somo la Geography kuanzia form one hadi six.walimu naomba tujuzane kuhusu mbinu bora za kufundisha hili somo,ni topic zipi za kuanza kufundisha kidato husika,muda upi ni bora wa kumaliza topic katika darasa husika,marking zinavyofanyika katika hili somo,vitu vinavyotiliwa mkazo kwenye marking lakin walimu hatuvifaham,maswali NECTA yanayoweza kutoka katika mwaka husika na mbinu za kuwafanya wanafunzi wafaulu hili somo.karibuni sana walimu
 
Me ni mwl wa geography!! Ila kwa nikijuacho mtu akiwa chuo anasoma hivyo vyote ulivyouliza a sylabus inakuguide, examination setting and marking nafikiri kama ni mwalimu bas tafuta ulipoweka hizi notsi ukiwa chuo,..!! kibaya zaidi uelewa wa wanafunzi unatofautiana so hata mbinu za ufundishaji znakuwa tofaut vile vile mfano ufundishaji wa fezaboys na st kayumba hauwez kufanana. Ni wazo langu tu lakini @my fellow tcha
 
Kama umehitimu ktk fani hiyo halafu hujui u2mie njia gani huo msiba mkubwa. Au chuo chenu hamjasomeshwa kozi ya special method of teaching geog? Unanitia aibu
 
Me ni mwl wa geography!! Ila kwa nikijuacho mtu akiwa chuo anasoma hivyo vyote ulivyouliza a sylabus inakuguide, examination setting and marking nafikiri kama ni mwalimu bas tafuta ulipoweka hizi notsi ukiwa chuo,..!! kibaya zaidi uelewa wa wanafunzi unatofautiana so hata mbinu za ufundishaji znakuwa tofaut vile vile mfano ufundishaji wa fezaboys na st kayumba hauwez kufanana. Ni wazo langu tu lakini @my fellow tcha

mkuu ndio tumevisoma vyuoni lakin ukija kwenye mitihan ya NECTA marking huwa tofauti na vitu tunavyofundisha.mfano kuna wiki kadhaa nilihudhuria panel ya english mahala fulani,kitu nilichojifunza ni kuwa wanaomark mitihan ya kidato cha nne wa english huwa wana only two types of poem,old and modern na hawana form of poem ambazo walimu weng ndizo wanafundisha kama types of poem mashulen kwetu
 
Kama umehitimu ktk fani hiyo halafu hujui u2mie njia gani huo msiba mkubwa. Au chuo chenu hamjasomeshwa kozi ya special method of teaching geog? Unanitia aibu

mkuu kama hufaham bora ungepita kuliko kuchangia kwa usichokifaham
 
mkuu ndio tumevisoma vyuoni lakin ukija kwenye mitihan ya NECTA marking huwa tofauti na vitu tunavyofundisha.mfano kuna wiki kadhaa nilihudhuria panel ya english mahala fulani,kitu nilichojifunza ni kuwa wanaomark mitihan ya kidato cha nne wa english huwa wana only two types of poem,old and modern na hawana form of poem ambazo walimu weng ndizo wanafundisha kama types of poem mashulen kwetu

Jaribu kuwasiliana na walimu wenzio shule mbali mbali hapo ulipo na kama watakuwa waelewa andaeni semina angalau ya siku 3 mbadilishane maarifa nahisi inaweza kuwa na msaada zaidi ndugu mwl
 
Jaribu kuwasiliana na walimu wenzio shule mbali mbali hapo ulipo na kama watakuwa waelewa andaeni semina angalau ya siku 3 mbadilishane maarifa nahisi inaweza kuwa na msaada zaidi ndugu mwl

mkuu JF,kuna walimu tena wazur zaid ya hao unaoweza kaa nao semina for three days,labda tu nikujulishe walimu wa private schools ambao shule zao ndio zinafaulisha zaid wamo humu,nadhan itakuwa nzur kama tutadiscuss humu hum,maana huwez kumchukua mwalim wa st fransis,mbeya na mwl wa st marie,mwanza ukaweleta moro halaf mkafanya semina na huku malipo pia yanahitajika.humu ni kuzur zaid zaid ya hiyo semina
 
mkuu JF,kuna walimu tena wazur zaid ya hao unaoweza kaa nao semina for three days,labda tu nikujulishe walimu wa private schools ambao shule zao ndio zinafaulisha zaid wamo humu,nadhan itakuwa nzur kama tutadiscuss humu hum,maana huwez kumchukua mwalim wa st fransis,mbeya na mwl wa st marie,mwanza ukaweleta moro halaf mkafanya semina na huku malipo pia yanahitajika.humu ni kuzur zaid zaid ya hiyo semina

Kwan hapo ulipo shule za private hakuna? Najua kila aina ya walimu waliopo JF hata hapo ulipo wapo...ila kwakuwa hata huku jf walimu tupo bas tusubiri waanze kuchangia na mimi nikiwa mmoja wao.
 
mimi ni mwalimu.....
mengi nimejifunza chuoni...
labda nimshauri mwalimu mwenzangu, mada imeshindwa kueleweka kutokana na namna ilivyowasilishwa.... labda mwalimu angeongezea kwamba WALIMU TUKUMBUSHANE NJIA ZA KUFUNDISHA SOMO HUSIKA ungepata michango maridhawa
 
Back
Top Bottom