Tanzania gets first flyover thanks to Japanese grant

Hivi iweje mabeberu ya ki japan yatupe msaada kujenga hii barabara? Si tuliambiwa ni pesa yetu ya ndani kujenga kila miundombinu??
 
Basi we Ukapimwe Akili
kumbe hata Rwanda huijui
Rwanda haina Highways
πŸ˜€πŸ˜€shawty ,mbona mafeelings?
Are you sure hapo ni Kigali!? Kwakua umeshafika taja jina la eneo mrembo. Ukiangalia bango la pembeni hapo lime andikwa in Arabic.
Nitaleta highway .Inaitwa nya..... Something. Nilikuwa nimei~post kwa ule Uzi wA matusi na umbea. (Dar vs Nai
 
Kenyans ongo sana kigali ya wapi hii
Si wakenya.Actually, That pic was uploaded by a rwandese. I came across it somewhere. Waafrika kwa kutamani vya wenyewe lol instead of working to achieve it.Ni vizuri u wa keen 2notc that's not Kigali.
 
Jina lenyewe ni gumu kukumbuka.View attachment 973712
Janerose we ni boya Nilikua sijui
Hii ni barabara ambayo hata Arusha ipo Dar izo barabara Ni nyingi nikusaidie kuzitaja hapa,Nyerere road ,Mandela road,Sam nujoma road,New bagamoyo road,kawawa road,kilwa road,Ali Hassan mwinyi road,Bibi titi road nk. ..mnateseka Sana Sana Dar
 
Jina lenyewe ni gumu kukumbuka.View attachment 973712
Uko serious au unatania!! Hii hata Arusha, Mwanza, Iringa, Mbeya, Morogoro hipo. Najua ata Eldo na Kisumu huwezi kosa road kama hii. Nilijua nilicho kuuliza, Kigali ni pazuri ila kui compare na Dar ni kujitoa ufahamu. Mfano fly overs zinajengwa kutokana na mahitaji siyo mapambo, kwa Kigali ilivyo in the near future siioni ikiwa na fly over. Ila mpaka 2025 Dar itakua na fly over 7, hapa naongelea miradi ambayo michoro ipo tayari na pesa imeshatengwa mengine ujenzi ume anza. Hapo bado kuna junctions ambazo zipo center upembuzi umeanza wa kuziwekea Fly over kama Morocco, Magomeni na Mwenge. Mimi nimefika Nai na Kampala ukweli kabisa Dar na Nai ndiyo miji ambayo itachuana E.A, Kigali ni kadogo sana inaweza ikawa sawa na wilaya moja ya Dar kimwonekano mpaka mapato.
 
Sasa Nairobi yao wanayoipigia kelele ina nn?unajua Hii miji yetu ya apa Africa mashariki Ni chaos tu
 
Sasa Nairobi yao wanayoipigia kelele ina nn?unajua Hii miji yetu ya apa Africa mashariki Ni chaos tu
Ni michosho tu, Dar ina potential sana. Mfano BRT sizani kama kuna jiji hapa Africa unaeza kufanikiwa zaidi ya Dar. Mfumo wa Daladala umeji sort vizuri na kutengeneza njia ya BRT kufanya kazi. Watu wame gawanyika kila kona, hii inaleta economies of scale kwenye biashara ya usafiri. Mfumo wa ujamaa ume saidia hili kuwepo, ngumu mtu akataja sehemu ya Dar uka conclude kwamba huko hamna wenye pesa. Bunju, Mbagala, Kigamboni, Kibamba, kote ni sehemu zenye watu wenye vipato tofauti na road zake ni muhimu. Sasa nenda Nairobi, wameji classify walalahoi na matajiri hili lime enda mpaka ngazi ya kitaifa, western Kenya kunatia huruma. Changamoto yake ni ngumu kupata umoja wa kitaifa. Ata zile post election violence ni rahisi kutokea, watu waliopinda wako sehemu moja tena mara nyingi wanakua ni kabila moja inakua rahisi kuji mobilise. Njemba zina chomoka kibera na mapanga zinaingia street kufanya fujo na kuiba.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Si wakenya.Actually, That pic was uploaded by a rwandese. I came across it somewhere. Waafrika kwa kutamani vya wenyewe lol instead of working to achieve it.Ni vizuri u wa keen 2notc that's not Kigali.
Wewe ulitaka kutubia apa sasa umebambwa unajifanya Ali upload mtu mwingine
 
Wanaume wa dar kwa mihemko hawana wapinzani.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
Can you post them
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…