Tanzania govt admits, no progress on Bagamoyo port project

Tanzania govt admits, no progress on Bagamoyo port project

Huyo Joji mnataja taja tu kama ilivyokua kwa Bagamoyo, nakumbuka humu mlivuruga kila siku mnataja Bagamoyo.
Halafu naona Bloomerg ripoti yao kuwahusu nyie imevuja, inasema mnaanzisha miradi mingi kiholela bila kuonekana kuwa na mikakati.
Duh! Hiyo ripoti ambayo imeangazwa na Reuters inawasema vibaya sana ikiwemo uchumi ulivyoshuka, ndio maana GoT walikataa isichapishwe, bora mkakaa na kutathmini upya na kujua mnakoelekea.
Ukizingatia ripoti ya CAG wenu inaonyesha awamu hii mumepiga kuliko awamu zote, tatizo mumeishia kujadili neno 'udhaifu' badala ya madudu yaliyomo humo
.
MK254 tuachie nchi yetu, maana unatuzidishia machungu... Ukiifikiria sana hii nchi unaweza kufa kwa stress, kiukweli tumepoteza dira ingawa hatutaki kusema ukweli. Lakini utashangaa kuna watu wanashupaza shingo kutetea ujinga kwa kudhani kuwa huo ndiyo uzalendo... 😔😔😔
 
Mradi unaanza next month wewe piga mdomo tu ,na hakuna mradi ulionzishwa ukafa utawala huu, kama upo nitajie mmoja...makusanyo yanaongezeka utegemezi unapungua how comes makusanyo yaongezeke kama uchumi haupandi?report zingine Za kipumbav tu
Hilo neno next month mlilitaja sana kwenye mradi wa Bagamoyo.
Pia kuna mengi yanayoweza kusababisha mapato yakaongezeka ikiwemo kuwatoza watu kodi za kiajabu ajabu kama hilo la machinga.
Halafu umeme wa stigla joji sio issue kubwa maana haimaanishi kuwa mna upungufu wa umeme kwa sasa, matatizo yapo kwenye usambazaji. Hapo unawezakuta sisi tukifaidi na huo umeme ikitokea mumeuzalisha hadi kupitiliza.
Siku uongozi wa nchi yenu utakua na mikakati ya kutumia hayo mapori kama food basket ya Afrika ndio mtatoka, kwa leo haiwezekani maana mpo kichuki chuki zaidi. Hata mahindi tunalazimika kuagiza kutoka Zambia na mataifa ya mbali ilhali mpo mpo tu.
Wekezeni kwenye ukulima kwa kutumia nguvu zote, acheni sifa za mindege maana ni hasara tu hamna jipya humo.
 
Safi sana, it was a scam, imagine for 20 years the port will be private property and out from being taxed. Meanwhile we have Dar, Tanga, Mtwara all under the massive expansion and modernisation, then what for?
Hilo ndo swali nilikua nikiwauliza tokea kitambo wakati mlikua mkijisifia bagamoyo.... Na jibu lenu ilikua eti bagamoyo ni PPP kwahivyo serekali haitagaramika chochole...
Nilikua nikiwaambia bagamoyo ikishajengwa hizo bandari zengine zenu zote za serekali zitakufa manake biashara karibu zote kuu za mizigo zingeshift to bagamoyo manake hio bandari ilikua itakua more efficient than Dar port. Yani bandari ya Dar ingebaki kupokeza mizigo ya Dar pekee, mizigo ya the rest of Tz ingepitia Bagamoyo ....
 
Hata safari za Mumbai pia ilikuanga next month from last year.
Mradi unaanza next month wewe piga mdomo tu ,na hakuna mradi ulionzishwa ukafa utawala huu, kama upo nitajie mmoja...makusanyo yanaongezeka utegemezi unapungua how comes makusanyo yaongezeke kama uchumi haupandi?report zingine Za kipumbav tu
 
Huyo Joji mnataja taja tu kama ilivyokua kwa Bagamoyo, nakumbuka humu mlivuruga kila siku mnataja Bagamoyo.
Halafu naona Bloomerg ripoti yao kuwahusu nyie imevuja, inasema mnaanzisha miradi mingi kiholela bila kuonekana kuwa na mikakati.
Duh! Hiyo ripoti ambayo imeangazwa na Reuters inawasema vibaya sana ikiwemo uchumi ulivyoshuka, ndio maana GoT walikataa isichapishwe, bora mkakaa na kutathmini upya na kujua mnakoelekea.
Ukizingatia ripoti ya CAG wenu inaonyesha awamu hii mumepiga kuliko awamu zote, tatizo mumeishia kujadili neno 'udhaifu' badala ya madudu yaliyomo humo.

Somehow we value our sovereignty,
Lengo letu sio kuwafurahisha Wazungu kama Nyie,
Hatushindani na mtu tunafanya juhudi tuinue maisha yetu,
Thats all.
 
Somehow we value our sovereignty,
Lengo letu sio kuwafurahisha Wazungu kama Nyie,
Hatushindani na mtu tunafanya juhudi tuinue maisha yetu,
Thats all.

Mlitia saini kwamba IMF iwe inapitia mahesabu yenu, na kwa kipindi kirefu mkashabikia kila wakati taarifa zao ziliwapendeza, sasa hamtaki kuambiwa kama ilivyo, because you can't handle the truth.

Ona hii clip ya handling the truth

 
Mi siungi mkono kujengwa hiyo bandari tunazo za Tanga na Mtwara ni kuupgrade tuu kwa kujenga magati mapya na kuongeza kina hasa Tanga.Mtwara kuna mradi wa kujenga gati mpya unaendelea.Na hv reli ya kwenda kaskazini Moshi na Arusha inaendelea kurekebishwa soon mambo yatakuwa mazuri.
 
Somehow we value our sovereignty,
Lengo letu sio kuwafurahisha Wazungu kama Nyie,
Hatushindani na mtu tunafanya juhudi tuinue maisha yetu,
Thats all.
Acha uboya. Jambo kama limetokea kwa maamuzi mabaya,kama mtanzania mzalendo unatakiwa ukosoe na kushauri. Sio kutetea ujinga
 
Hilo neno next month mlilitaja sana kwenye mradi wa Bagamoyo.
Pia kuna mengi yanayoweza kusababisha mapato yakaongezeka ikiwemo kuwatoza watu kodi za kiajabu ajabu kama hilo la machinga.
Halafu umeme wa stigla joji sio issue kubwa maana haimaanishi kuwa mna upungufu wa umeme kwa sasa, matatizo yapo kwenye usambazaji. Hapo unawezakuta sisi tukifaidi na huo umeme ikitokea mumeuzalisha hadi kupitiliza.
Siku uongozi wa nchi yenu utakua na mikakati ya kutumia hayo mapori kama food basket ya Afrika ndio mtatoka, kwa leo haiwezekani maana mpo kichuki chuki zaidi. Hata mahindi tunalazimika kuagiza kutoka Zambia na mataifa ya mbali ilhali mpo mpo tu.
Wekezeni kwenye ukulima kwa kutumia nguvu zote, acheni sifa za mindege maana ni hasara tu hamna jipya humo.
Mahindi nunueni ata Sri lanka, sisi tutawauzia unga
 
Hilo neno next month mlilitaja sana kwenye mradi wa Bagamoyo.
Pia kuna mengi yanayoweza kusababisha mapato yakaongezeka ikiwemo kuwatoza watu kodi za kiajabu ajabu kama hilo la machinga.
Halafu umeme wa stigla joji sio issue kubwa maana haimaanishi kuwa mna upungufu wa umeme kwa sasa, matatizo yapo kwenye usambazaji. Hapo unawezakuta sisi tukifaidi na huo umeme ikitokea mumeuzalisha hadi kupitiliza.
Siku uongozi wa nchi yenu utakua na mikakati ya kutumia hayo mapori kama food basket ya Afrika ndio mtatoka, kwa leo haiwezekani maana mpo kichuki chuki zaidi. Hata mahindi tunalazimika kuagiza kutoka Zambia na mataifa ya mbali ilhali mpo mpo tu.
Wekezeni kwenye ukulima kwa kutumia nguvu zote, acheni sifa za mindege maana ni hasara tu hamna jipya humo.
Stieglers gorge hydroelectric dam ni kwa ajili ya TZ hata nyie mnaweza pata ndio,tunalima sana Ni lini tumenunua chakula kwenu?
Umeme ukishakua wa uhakika wawekezaji watajileta wenyewe kumbuka pia gas imeanza kusambazwa viwandani Yaani ni bampa juu ya bampa ...
Tukipunguza matumizi ya petroleum nadhan shilingi itakua imara, Ni mwendo wa gas,umeme
 
Mi siungi mkono kujengwa hiyo bandari tunazo za Tanga na Mtwara ni kuupgrade tuu kwa kujenga magati mapya na kuongeza kina hasa Tanga.Mtwara kuna mradi wa kujenga gati mpya unaendelea.Na hv reli ya kwenda kaskazini Moshi na Arusha inaendelea kurekebishwa soon mambo yatakuwa mazuri.
nimachojua mimi huduma ikiwa nzuri ma tija wateja uwa wengi. sio mbaya kuwa na bandari ya bagamoyo kwa sababu itaongeza ufanisi na meli zinazokimbia foleni ya kushusha zitakuja kwa wingi, pia itaongeza ajira kwa watanzania na kodi kwa serikali kupitia wafanyakazi, na malipo mbalimbali . hivyo ni muhimu kuwa na bandari nyingi ziwezekanazo
 
Hilo neno next month mlilitaja sana kwenye mradi wa Bagamoyo.
Pia kuna mengi yanayoweza kusababisha mapato yakaongezeka ikiwemo kuwatoza watu kodi za kiajabu ajabu kama hilo la machinga.
Halafu umeme wa stigla joji sio issue kubwa maana haimaanishi kuwa mna upungufu wa umeme kwa sasa, matatizo yapo kwenye usambazaji. Hapo unawezakuta sisi tukifaidi na huo umeme ikitokea mumeuzalisha hadi kupitiliza.
Siku uongozi wa nchi yenu utakua na mikakati ya kutumia hayo mapori kama food basket ya Afrika ndio mtatoka, kwa leo haiwezekani maana mpo kichuki chuki zaidi. Hata mahindi tunalazimika kuagiza kutoka Zambia na mataifa ya mbali ilhali mpo mpo tu.
Wekezeni kwenye ukulima kwa kutumia nguvu zote, acheni sifa za mindege maana ni hasara tu hamna jipya humo.
Sasa hapo nani mwnye chuki, Hujielewi wewe
 
Hilo ndo swali nilikua nikiwauliza tokea kitambo wakati mlikua mkijisifia bagamoyo.... Na jibu lenu ilikua eti bagamoyo ni PPP kwahivyo serekali haitagaramika chochole...
Nilikua nikiwaambia bagamoyo ikishajengwa hizo bandari zengine zenu zote za serekali zitakufa manake biashara karibu zote kuu za mizigo zingeshift to bagamoyo manake hio bandari ilikua itakua more efficient than Dar port. Yani bandari ya Dar ingebaki kupokeza mizigo ya Dar pekee, mizigo ya the rest of Tz ingepitia Bagamoyo ....
SO umekubali kuwa tumewin
 
Acha uboya. Jambo kama limetokea kwa maamuzi mabaya,kama mtanzania mzalendo unatakiwa ukosoe na kushauri. Sio kutetea ujinga
So, unataka kusema Bandari ya Bagamoyo ni sahihi ijengwe?
 
package nzima ya project ya bandari bagamoyo,ilikuwa bonge la idea,ukijumuisha na vile viwanda,isingewezekana dar due to ufinyu wa eneo,
 
There was Never gonna be a Bagamoyo Port.It was just an erection of a toddler.

It was a (fake or rather unproductive)Project intended to enable the siphoning to foreign banks the hard earned $$$$ £££££ currency!Possibly it was discovered that 97% of the revenue would go to China/UAE and 3% which is peanut goes to Tanzanian coffers which is similar to the once mineral contracts whereby Tz had only 3%) but alas we have a president who is against contracts which lead to plundering of Tanzania . Correct me if am wrong.
 
Safi sana, it was a scam, imagine for 20 years the port will be private property and out from being taxed. Meanwhile we have Dar, Tanga, Mtwara all under the massive expansion and modernisation, then what for?

Possibly it was a project formulated by politicians from one district only in Tanzania, namely Bagamoyo!!!
 
Back
Top Bottom