Reading between the line you look like a guy who is deeply hurt by the way our leaders are handling the issue of EAC.
Kimweri,
It is maddening the way to see handing-in of our country on golden platter... kama mbwa ajipelekavyo kwenye mdomo wa chatu -- amefyata mkia!
Ilikuwa nje ya Tanzania, pale rafiki yangu Mkenya aliponiambia kwamba zaidi ya 67% ya Kenya ni kame (nusu-jangwa).
Siku zote nilikuwa nadhani Kenya ina rutuba, maji na neema tele kama vile tu Tanzania. Nilishangaa sana. Akaniambia: "Why do you think we introduced EAC?" sikuwa na jibu la mara moja. "We are going to take your land, you dumb fools!"
It arose my interest on EAC.
Reading the EAC documents, confirmed what yule rafiki Mkenya alivyosema.
So, I went on personal mission to try to stop Tanzania being dissolved. I went to offices, talk to a few officers who were willing to listen, went to TV stations, wrote in newspapers, wrote a letter to President Kikwete -- which looked like it reached him -- for I received a reply purporting to come from him... but nothing stopped what is clearly treason against United Republic of Tanzania. To preserve efforts to alleviate Tanzania from the impending EAC doom for future generations to read, I have published a book called
[ame="http://www.amazon.com/Tanzania-Swahili-Mlenge-Fanuel-Mgendi/dp/1448668425/ref=sr_1_3?ie=UTF8&s=books&qid=1265698155&sr=8-3"]Tanzania[/ame]. Am contemplating on writing how Tanzania ilivyosambaratishwa, again, for future generations to really understand what was going on, and people who used to live in Tanzania.
Imagine when you see Ikulu, Baraza la Mawaziri, Bunge, vyombo vya ulinzi na usalama, wanasiasa, wakifanya horrendous blunder ambayo it is impossible to undo madhara, and you are helpless to stop it! Kwa vile tu hujapewa 'jembe nyundo ung'oeng'oe!'