Tanzania haifi kesho ipo milele

Tanzania haifi kesho ipo milele

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Ni jambo la kushangaza sana eti tozo tulizobakiziwa ni kwa sababu ya ujenzi wa miradi ya kimkakati! Kwamba miradi hii inayokaridiriwa kugharimu zaidi ya trilion 30 yote inapaswa kukamilishwa kwa fedha za tozo.

Mwigulu anapaswa kuambiwa kuwa Tanzania ipo milele haifi leo wala kesho hivyo ujenzi wake utaendelea milele. Walijenga wahenga wetu na sisi tunaendelea pale walipoishia na wanaokuja wataendeleza pale tutakapoishia.

Hata ndani ya familia kama hawana rasilimali za kutosha maendeleo huenda kwa hatua, watajenga nyumba, baadaye watanunua gari nk. Hawatekelezi vyote wanavyohitaji kwa pamoja kwa kujinyima mahitaji ya msingi kama chakula, mavazi, elimu kwa watoto, matibabu nk.

Kwa hiyo Mwigulu aelezwe hata Rome haikujengwa kwa siku moja, hali kadhalika kwa Tanzania Nyerere alifanya sehemu yake, Mwinyi pia, wakafuata Mkapa, Kikwete na hatimaye Magufuli. Samia pia atafanya yake.

Tusiumizane bila sababu ya msingi. Mwigulu yeye haoni shida kwa sababu ni mnufaika wa tozo. Mwigulu hapati uchungu wo wote kwa sababu analamba asali, anakula kwa urefu wa kamba aliyofungwa na Samia! Mwigulu akumbushwe kuwa wengine tozo zinagharimu mlo wa siku! Mwanafunzi wa chuo akitoa laki moja gharama ya tozo ni mlo wa siku moja!
 
Mwigulu apewe vidonge vyake mpaka avue scuff shingoni akapitie upya thesis ya PhD yake!
 
Ni jambo la kushangaza sana eti tozo tulizobakiziwa ni kwa sababu ya ujenzi wa miradi ya kimkakati! Kwamba miradi hii inayokaridiriwa kugharimu zaidi ya trilion 30 yote inapaswa kukamilishwa kwa fedha za tozo.

Mwigulu anapaswa kuambiwa kuwa Tanzania ipo milele haifi leo wala kesho hivyo ujenzi wake utaendelea milele. Walijenga wahenga wetu na sisi tunaendelea pale walipoishia na wanaokuja wataendeleza pale tutakapoishia.

Hata ndani ya familia kama hawana rasilimali za kutosha maendeleo huenda kwa hatua, watajenga nyumba, baadaye watanunua gari nk. Hawatekelezi vyote wanavyohitaji kwa pamoja kwa kujinyima mahitaji ya msingi kama chakula, mavazi, elimu kwa watoto, matibabu nk.

Kwa hiyo Mwigulu aelezwe hata Rome haikujengwa kwa siku moja, hali kadhalika kwa Tanzania Nyerere alifanya sehemu yake, Mwinyi pia, wakafuata Mkapa, Kikwete na hatimaye Magufuli. Samia pia atafanya yake.

Tusiumizane bila sababu ya msingi. Mwigulu yeye haoni shida kwa sababu ni mnufaika wa tozo. Mwigulu hapati uchungu wo wote kwa sababu analamba asali, anakula kwa urefu wa kamba aliyofungwa na Samia! Mwigulu akumbushwe kuwa wengine tozo zinagharimu mlo wa siku! Mwanafunzi wa chuo akitoa laki moja gharama ya tozo ni mlo wa siku moja!
Kwa kifupi ni kwamba hata wao hawajui matumizi sahihi ya hizo tozo.
Na ndio maana mwanzoni alisema zitajenga miundombinu kama barabara, baadae akasema zinajenga zahanati, madarasa na vyoo vya shule. Na kwamba zitasaidia kuongeza mzunguko wa fedha kwenye jamii.

Leo hii anasema ni kwa ajili ya miradi ya kimkakati! Na kwamba ni maoni ya wananchi!
Je, mikopo? Ufadhili? Uwekezaji? Ukodishaji wa visiwa na mbuga? Royal tour? Utalii? Zinafanya matumizi gani? Au ndio hizo zinatumika kwenye misafara na ziara za viongozi ndani na nje ya nchi?

Kuna kitu hapa kinatengenezwa sema tu aliyewapa wazo la hili 'deal' la tozo, hakuwapa mbinu za namna ya kukabiliana na upinzani toka kwa wananchi! Tozo ni wizi!
 
Ni jambo la kushangaza sana eti tozo tulizobakiziwa ni kwa sababu ya ujenzi wa miradi ya kimkakati! Kwamba miradi hii inayokaridiriwa kugharimu zaidi ya trilion 30 yote inapaswa kukamilishwa kwa fedha za tozo.

Mwigulu anapaswa kuambiwa kuwa Tanzania ipo milele haifi leo wala kesho hivyo ujenzi wake utaendelea milele. Walijenga wahenga wetu na sisi tunaendelea pale walipoishia na wanaokuja wataendeleza pale tutakapoishia.

Hata ndani ya familia kama hawana rasilimali za kutosha maendeleo huenda kwa hatua, watajenga nyumba, baadaye watanunua gari nk. Hawatekelezi vyote wanavyohitaji kwa pamoja kwa kujinyima mahitaji ya msingi kama chakula, mavazi, elimu kwa watoto, matibabu nk.

Kwa hiyo Mwigulu aelezwe hata Rome haikujengwa kwa siku moja, hali kadhalika kwa Tanzania Nyerere alifanya sehemu yake, Mwinyi pia, wakafuata Mkapa, Kikwete na hatimaye Magufuli. Samia pia atafanya yake.

Tusiumizane bila sababu ya msingi. Mwigulu yeye haoni shida kwa sababu ni mnufaika wa tozo. Mwigulu hapati uchungu wo wote kwa sababu analamba asali, anakula kwa urefu wa kamba aliyofungwa na Samia! Mwigulu akumbushwe kuwa wengine tozo zinagharimu mlo wa siku! Mwanafunzi wa chuo akitoa laki moja gharama ya tozo ni mlo wa siku moja!
Hivi hii miradi imeanza Baada ya yeye kupewa hiyo nafasi? Mbona hakuwepo hapo awamu ilipita??
 
Kwa kifupi ni kwamba hata wao hawajui matumizi sahihi ya hizo tozo.
Na ndio maana mwanzoni alisema zitajenga miundombinu kama barabara, baadae akasema zinajenga zahanati, madarasa na vyoo vya shule. Na kwamba zitasaidia kuongeza mzunguko wa fedha kwenye jamii.

Leo hii anasema ni kwa ajili ya miradi ya kimkakati! Na kwamba ni maoni ya wananchi!
Je, mikopo? Ufadhili? Uwekezaji? Ukodishaji wa visiwa na mbuga? Royal tour? Utalii? Zinafanya matumizi gani? Au ndio hizo zinatumika kwenye misafara na ziara za viongozi ndani na nje ya nchi?

Kuna kitu hapa kinatengenezwa sema tu aliyewapa wazo la hili 'deal' la tozo, hakuwapa mbinu za namna ya kukabiliana na upinzani toka kwa wananchi! Tozo ni wizi!
Kuna kitu hakiko sawa hapa; huenda wananchi tunatozwa zaidi ya mara moja katika baadhi ya miradi. Kwamba kuna miradi ambayo inajengwa kwa fedha za mikopo kutoka ndani na nje ya nchi, mikopo ambayo sisi wananchi tutalipa na wakati huo huo tunatozwa kwa miradi hiyo hiyo na pia kodi za TRA inaigharimia!

Serikali inapaswa kuweka wazi ni miradi gani inajengwa kwa mikopo, ipi inajengwa kwa kodi na ipi inajengwa kwa tozo vinginevyo ni ufisadi mtupu!
 
Umepotosha, una masikio lakini husikii. tozo sio kwa ajili yamiradi inayoendelea. Tozo hizi Ni kwa ajili ya miradi mipya mfano ujenzi wa madarasa 8000. Pili hizi tozo zinaenda kwenye mikopo ya elimu ya juu
 
Tuna viongozi wa ajabu sana ambao wengine akili na mawazo yao yanaishia usawa wa pua zao!
Wamefikia mwisho wa uwezo wao wa kufikiri. Sioni kiongozi mwenye maono mapya kwa maendeleo ya nchi ndani ya ccm kwa sasa.
 
Yaani kaaa kwa kutulia mtoto mdooooogoooo, mnuka jasho ,kubwa jinga lisilo na akili a.k.a MNYONGE, sasa kwa taarifa yako kila mwaka v-8 za billions 600 zinaagizwa, V-8 MOJA NI MILLIONS 500 SAWA NA KITUO CHA AFYA

Zinajazwa mafuta full tank, full Ac na hakuna kuzimwa hata kama boss yuko bar na mrembo wa bongo movie wanakula manyama na kushushia na ma wine toka ufaransa

Kaa kwa kutulia weweeeee unalalamika tozo unadhani watoto wako watsomea kwenye nini bila tozo? madarasa yatajengwaje? vituo vya afya vitajengwaje?

Najua mimacho umetolea kwenye v-8 , yees ni lazima kila mwaka model mpya ikitoka waheshimiwa waipate sababu wanaumiza sana vichwa kuwatumikia nyie wanuka jasho msio na shukrani

Mmeletewa hadi wachezaji toka brazil, argentina kwenye team iliyoko singida lakini bado hamna shukrani, hela yenyewe ndogo inayovamiwa kwenye vi account vyenu mnaiona nyiiingi wenyeeewe, LAZIMA MUUMIE LA SIVYO SHULE NA ZAHANATI HAKUNA NAMBA NYINGINE YA KUJENGA

UNAIJUA V-8 WEWEEEEEEEE? MTOOOOTO M-LITTLE, MNUKA JASHO, KUBWA JINGA



v81.JPG



v82.JPG



tozovx.jpg
 
Ni jambo la kushangaza sana eti tozo tulizobakiziwa ni kwa sababu ya ujenzi wa miradi ya kimkakati! Kwamba miradi hii inayokaridiriwa kugharimu zaidi ya trilion 30 yote inapaswa kukamilishwa kwa fedha za tozo.

Mwigulu anapaswa kuambiwa kuwa Tanzania ipo milele haifi leo wala kesho hivyo ujenzi wake utaendelea milele. Walijenga wahenga wetu na sisi tunaendelea pale walipoishia na wanaokuja wataendeleza pale tutakapoishia.

Hata ndani ya familia kama hawana rasilimali za kutosha maendeleo huenda kwa hatua, watajenga nyumba, baadaye watanunua gari nk. Hawatekelezi vyote wanavyohitaji kwa pamoja kwa kujinyima mahitaji ya msingi kama chakula, mavazi, elimu kwa watoto, matibabu nk.

Kwa hiyo Mwigulu aelezwe hata Rome haikujengwa kwa siku moja, hali kadhalika kwa Tanzania Nyerere alifanya sehemu yake, Mwinyi pia, wakafuata Mkapa, Kikwete na hatimaye Magufuli. Samia pia atafanya yake.

Tusiumizane bila sababu ya msingi. Mwigulu yeye haoni shida kwa sababu ni mnufaika wa tozo. Mwigulu hapati uchungu wo wote kwa sababu analamba asali, anakula kwa urefu wa kamba aliyofungwa na Samia! Mwigulu akumbushwe kuwa wengine tozo zinagharimu mlo wa siku! Mwanafunzi wa chuo akitoa laki moja gharama ya tozo ni mlo wa siku moja!
Jpm aliwabana vigogo wasifuje fedha za umma na wawekezaji na wafanya biashara aliwabana kulipa kodi na kutotorosha madini. Kwa hivyo akaweza kuendesha miradi mingi ya kufaidisha umma kwa fedha za ndani.
Hawa wezi wa samia wanataka kufuja hela za umma na kuwalinda wawekezaji na wafanya biashara wanaowapa rushwa.
Badala yake miradi ya magufuli inawadai kwani isipokamilika watapotea kisiasa. Kwa hivyo chaguo lao limebakia kuwanyonga wavuja jasho kwa kodi zisizokua na msingi.
 
Jpm aliwabana vigogo wasifuje fedha za umma na wawekezaji na wafanya biashara aliwabana kulipa kodi na kutotorosha madini. Kwa hivyo akaweza kuendesha miradi mingi ya kufaidisha umma kwa fedha za ndani.
Hawa wezi wa samia wanataka kufuja hela za umma na kuwalinda wawekezaji na wafanya biashara wanaowapa rushwa.
Badala yake miradi ya magufuli inawadai kwani isipokamilika watapotea kisiasa. Kwa hivyo chaguo lao limebakia kuwanyonga wavuja jasho kwa kodi zisizokua na msingi.
Tatizo la utawala huu ni kuwaruhusu mawaziri kula kwa urefu wa kamba walizofungwa kwa hiyo kila mwenye kitengo anatafuta wapi ilipoishia kamba aliyofungwa!
 
Sasa kama tunalipa kodi kwa nini huduma za msingi tuendelee kulipia kama afya wakati hizo tozo zinapelekwa huko kwenye afya
 
Tulitibiwa bure enzi za Nyerere wakati uchumi uko chini sembuse sasa tuko uchumi wa kati!
 
Hii nchi imekuwa ya matajiri. Kodi kwa maskini. Sasa matajiri rahaaa. Mawaziri safari za ulaya na posho wameongezeana.
 
Hii nchi imekuwa ya matajiri. Kodi kwa maskini. Sasa matajiri rahaaa. Mawaziri safari za ulaya na posho wameongezeana.
Ingekuwa vema mawaziri watumie magari yao sasa kwani posho wanazopewa ni kufuru!
 
Wamefikia mwisho wa uwezo wao wa kufikiri. Sioni kiongozi mwenye maono mapya kwa maendeleo ya nchi ndani ya ccm kwa sasa.
Wapo, tatizo ni mfumo mbaya wa KATIBA, haiwap, bt viongozi wapo.

Mfano nzuri ni Lowwassa enzi zile, pia Samwel Sitta alikuwa hatua za mwisho kuletwa agombee CDM kabla ya upepo kuchange akapewa Dr Slaa.
 
Tatizo la utawala huu ni kuwaruhusu mawaziri kula kwa urefu wa kamba walizofungwa kwa hiyo kila mwenye kitengo anatafuta wapi ilipoishia kamba aliyofungwa!
Huyu mama alituonyesha wazi ni kiongozi wa aina gani alipowaruhusu vigogo wake kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake. Hatumsingizii ilikua live tbc. Alianza kwa kuwauliza baraza la mawaziri wake kama kila mmoja hali kwenye eneo lake kisha ndio akawaelekeza kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Back
Top Bottom