Tanzania haijawahi kuwa na Askari kama huyu

Tanzania haijawahi kuwa na Askari kama huyu

lete rimoti

Senior Member
Joined
Aug 24, 2021
Posts
152
Reaction score
196
Nimeiona Video hii ya alichokisema Afande Huyu Kp Suzan Kaganda. Ama Kwa Hakika machozii yana nirengarenga na Kila mara naitazama.

Ukweli ni Kwamba Mungu wetu wa Mbinguni Hafumbii macho uovu wowote, hata kama Taasisi / nchi Ina Mabaya mengi lakini lazima Mungu Atamwinua Mmoja Wa Kunyoosha Haki.

Ninakupongeza Mh Rais kwa kuwa Umempandisha cheo Askari Huyu, lakini Pia Nimeipongeza Idara ya Tiss (Kwa Kuwa pengine wamehusika Kuleta jina la Huyu mama mezani pako) hongereni Sana Viongozi wa Tiss Kwa vetting hii Bora kuwahi kutokea.

Hii nchi sijaona Askari Mzalendo kama wewe Kp Suzan Kaganda Mungu akulinde najua Kwa Maneno Yako haya ni Tayari umetupa jiwe kwenye mzinga wa Nyuki. Lakini amini Bi Mkubwa hii Dunia Tunapita we Piga Kazi Yako Na nitakuombea. Japokuwa sikujui Wala hunijui.
 
Ni kweli Mungu hafumbii macho uovu, ndiyo maana hata nchi yetu ilipotekwa na kiongozi muovu aliyekuwa akiua, kuteka na kufilisi watu, aliingilia kati
 
Weeeeeeeweee nyani ni nyani Tu...........msitu ndio tofauti
 
Lile jengo pale Oysterbay, palipokuwa na ofisi ya DSTV ni mali yake, anashusha ghorofa, kapata wapi hela ya kununua nyumba Oysterbay, kuvunja na kujenga?
 
Lile jengo pale Oysterbay, palipokuwa na ofisi ya DSTV ni mali yake, anashusha ghorofa, kapata wapi hela ya kununua nyumba Oysterbay, kuvunja na kujenga?
Acha majungu wewe. Nyumba ya Hakimu mstaafu Mama Salome Kaganda. Nyumba aliopewa na serikali aka asante Mkapa. Haya katafute data uhusiano wake na huyo Mama Salome Kaganda.
 
Acha majungu wewe. Nyumba ya Hakimu mstaafu Mama Salome Kaganda. Nyumba aliopewa na serikali aka asante Mkapa. Haya katafute data uhusiano wake na huyo Mama Salome Kaganda.
Nimsaidie, huyo hakimu Mstaafu ni mama yake (Biological Mother) Afande Salome Kaganda
 
Nimeiona Video hii ya Alichokisema Afande Huyu Kp Suzan Kaganda. Ama Kwa Hakika machozii yana nirengarenga na Kila mara naitazama.

Ukweli ni Kwamba Mungu wetu wa Mbinguni Hafumbii macho uovu wowote, hata kama Taasisi / nchi Ina Mabaya mengi lakini lazima Mungu Atamwinua Mmoja Wa Kunyoosha Haki.

Ninakupongeza Mh Raisi Kwa Kuwa Umempandisha cheo Askari Huyu, lakini Pia Nimeipongeza Idara ya Tiss (Kwa Kuwa pengine wamehusika Kuleta jina la Huyu mama mezani pako) hongereni Sana Viongozi wa Tiss Kwa vetting hii Bora kuwahi kutokea.

Hii nchi sijaona Askari Mzalendo kama wewe Kp Suzan Kaganda Mungu akulinde najua Kwa Maneno Yako haya ni Tayari umetupa jiwe kwenye mzinga wa Nyuki. Lakini amini Bi Mkubwa hii Dunia Tunapita we Piga Kazi Yako Na nitakuombea. Japokuwa sikujui Wala hunijui.
Huyo hawatompa chapuo hata kidogo

Kisheria huyo ndo askari. Lakinikivitenso unapaswa kuwa mnyama mnyama hivi ili upande vyeo.

Hakikisha mikono yako inanuka damu za watu na CV iliyochafuka haswaa ili uweze kuaminiwa na Taifa la CCM
 
Acha majungu wewe. Nyumba ya Hakimu mstaafu Mama Salome Kaganda. Nyumba aliopewa na serikali aka asante Mkapa. Haya katafute data uhusiano wake na huyo Mama Salome Kaganda.
kanywe soda kwa Mangi umlipe bei elekezi
 
Back
Top Bottom