Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
NIwahi sema tanzania haina hazina sana ktk kuanzisha jambo(kuanzia biashara hadi taasisi),waliopo wote wakiona mafanikio kidogo wanataka gawana,eti njaa zimezidi, na wafikiri kuwa wanahitaji jitihada ili wajiweka sehemu wasipoweza terereka.
Tanzania vijana na wazee hawana uvumilivu wa la nia ya kujituma na kupambana ili kupata mafanikio kwa bidii na akili haswa pale mtaji unakuwa mgumu, wengine hujibanza huku wakidhani ajira,au kujikomba sehmu kutawaokoa..wakati weingine wakiweka kila kitu ili kufikia mafanikio...halafu mara tuu mafanikio yanaanza onekana kwa mauzo ya kwanza, au kufikiwa kwa lengo fulani hadi watu wakaanza kusema kuna njia..wale wa kujibanza uanza vita kubwa kuliko nguvu waliyoweka wakitaka mgao, wengine hudiriki kabisa hata kuachia urithi na kuita wanandugu na familia kuja chukua mgao..
Hii ndio imeua na vyama vya kisiasa nchini, hii imeua viakmpuni vya wajasiriamali, hivi vimeua aina zote za ujasiria mali.Hakuna watu wa kutosha jiuliza km walivumilia kipindi hawana kitu kwanini sasa wasivumilie ili walichokipata kiongezee mtaji ili wafikie haraka ktk uimara w akuvumilia ushindani, mikimiki na hila za wapinzani.?
Hii imechangiwa sana watanzania kutokuwa na uelewa wa dhana ya kujinyima, kufunga, kujitolea etc...watanzania wakifunga wanataka ,vishawishi viondolewe, watanzania hawaendi bar,kwa vimada pale wakiwa hwana hela wala hakika ya bure tuu....wajasiria mali ktk partnership hasa wale walio ktk hajira zinazowatosha kufanya mbwembwe huwa hawapo tayari compromise kazi zao, kwa lolote hata ikibidi kuwakana wenzao na watoto wao, hawapo tayari kujihusisha na kakmpuni kadogo ambako hata usafiri hakana, wala ila panapotokea breakthrough yoyote ambayo inazungumziwa mjini..basi hutokeza, na inapofikia kuwa na hakika kuwa hakuna cha kufa tena ndio basi balaa linazidi..wanataka sasa wachukue nafasi ya juu ili wakatambe kuwa walitoka jasho,ili wakachukue glory..hii ni laana hadi kwa vijana ktk biashara...hawapo tayari kuanza bishara kw amtaji mdogo au nguvu kazi..hawapo tayari kujiunga au kujituma ktk vyama kwa kiasi ch akuwaudhi watawala,..leo ndio tunaona haya nchini Tanzania.
NI mbaya sana...mwenye akili na ajue jinsi ya kupunguza partnership kadiri awezavyo ktk ujasiria mali, na ktk siasa pia wanahitaji wanachana walioaminiana kuwekeana sheria kali kwani mbele ya safari kabla vyma havijakomaa kuna wengi watasumbua ktk wale wavivu..wale waliodhani kuwa kuna kikubwa upande mwingine,halafu njaa ikawauama zaidi ,chochoe mnachovuna watataka zaidi kwa kiwango cha tamaa zao walizozinenepesha wakati wakienda ngalai vya watu wakati wakijenga ,na kupanda.
Tanzania vijana na wazee hawana uvumilivu wa la nia ya kujituma na kupambana ili kupata mafanikio kwa bidii na akili haswa pale mtaji unakuwa mgumu, wengine hujibanza huku wakidhani ajira,au kujikomba sehmu kutawaokoa..wakati weingine wakiweka kila kitu ili kufikia mafanikio...halafu mara tuu mafanikio yanaanza onekana kwa mauzo ya kwanza, au kufikiwa kwa lengo fulani hadi watu wakaanza kusema kuna njia..wale wa kujibanza uanza vita kubwa kuliko nguvu waliyoweka wakitaka mgao, wengine hudiriki kabisa hata kuachia urithi na kuita wanandugu na familia kuja chukua mgao..
Hii ndio imeua na vyama vya kisiasa nchini, hii imeua viakmpuni vya wajasiriamali, hivi vimeua aina zote za ujasiria mali.Hakuna watu wa kutosha jiuliza km walivumilia kipindi hawana kitu kwanini sasa wasivumilie ili walichokipata kiongezee mtaji ili wafikie haraka ktk uimara w akuvumilia ushindani, mikimiki na hila za wapinzani.?
Hii imechangiwa sana watanzania kutokuwa na uelewa wa dhana ya kujinyima, kufunga, kujitolea etc...watanzania wakifunga wanataka ,vishawishi viondolewe, watanzania hawaendi bar,kwa vimada pale wakiwa hwana hela wala hakika ya bure tuu....wajasiria mali ktk partnership hasa wale walio ktk hajira zinazowatosha kufanya mbwembwe huwa hawapo tayari compromise kazi zao, kwa lolote hata ikibidi kuwakana wenzao na watoto wao, hawapo tayari kujihusisha na kakmpuni kadogo ambako hata usafiri hakana, wala ila panapotokea breakthrough yoyote ambayo inazungumziwa mjini..basi hutokeza, na inapofikia kuwa na hakika kuwa hakuna cha kufa tena ndio basi balaa linazidi..wanataka sasa wachukue nafasi ya juu ili wakatambe kuwa walitoka jasho,ili wakachukue glory..hii ni laana hadi kwa vijana ktk biashara...hawapo tayari kuanza bishara kw amtaji mdogo au nguvu kazi..hawapo tayari kujiunga au kujituma ktk vyama kwa kiasi ch akuwaudhi watawala,..leo ndio tunaona haya nchini Tanzania.
NI mbaya sana...mwenye akili na ajue jinsi ya kupunguza partnership kadiri awezavyo ktk ujasiria mali, na ktk siasa pia wanahitaji wanachana walioaminiana kuwekeana sheria kali kwani mbele ya safari kabla vyma havijakomaa kuna wengi watasumbua ktk wale wavivu..wale waliodhani kuwa kuna kikubwa upande mwingine,halafu njaa ikawauama zaidi ,chochoe mnachovuna watataka zaidi kwa kiwango cha tamaa zao walizozinenepesha wakati wakienda ngalai vya watu wakati wakijenga ,na kupanda.