Tanzania haitakuwa Salama, Endapo DRC itaangukia mikononi mwa RWANDA, M23 wapigwe na JWTZ Kwa makubaliano ya Taifa Kunufaika na Kukaa mashariki ya DRC

Tanzania haitakuwa Salama, Endapo DRC itaangukia mikononi mwa RWANDA, M23 wapigwe na JWTZ Kwa makubaliano ya Taifa Kunufaika na Kukaa mashariki ya DRC

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Hamna wakati mwingine ambao Tanzania inahitaji DRC iliyotulia kama ilivyo Sasa !!

RWANDA ni ka Nchi kadogo sana, Ambako kana maeneo machache ya kimkakati linapokuja suala la uchumi , wako limited katika Resources .

Ndio Sababu Kagame Palipo na Migogoro anajitahidi kujiingiza na kusaini mikataba ya kudumu. Ni nani anajua hapo Msumbiji Rwanda atakaa miaka mingapi?.

Embu ifikirie Rwanda yenye ushawishi na base za kijeshi na silaha nzito nchini Msumbiji, Uganda, DRC, Rwanda , Burundi , Tutatoboa?

Kagame Kwa Rwanda, anazuga tu Kupambana na FDLR ,ila lengo ni Utajiri wa DRC, Dhahabu , Cobalt, Tantalam, Tin , Coltan , madini muhimu sana katika Teknolojia za kisasa hapa Duniani.

Kwa Kujua Udhaifu Mkubwa wa Jeshi la Kongo ambalo limezidi kuangamiziwa Kwa Rushwa, Ukosefu wa mishahara , Uwekezaji Mdogo wa Jeshi , M23 hawatoweza kuishia mashariki ya DRC , Ngoma itaenda tu mpaka Kinshasa , Ndoto ya Kagame ni kutumia Minority Kuitawala DRC na akifanikiwa hili basi Tanzania matatizo yataanza.


Tanzania kupitia JWTZ ni lazima ihakikishe Rwanda haipati nafasi ya kukaa mashariki ya DRC na hata kuikali DRC kwa ujumla.


KIUCHUMI, NI LAZIMA Kumfanya Rwanda aendelee kua Mtegemezi wetu , Kuruhusu Rwanda ikae DRC maana yake ni kuruhusu Biashara ya Madini Kati ya Ulaya/Marekani na Rwanda , naongezeko lolote la Biashara ya Madini Kwa uwazi Kati ya Mataifa hayo na Rwanda, maana yake kunaenda kufungua Fursa nyingi sana Nchini Rwanda, na Ni hizo Fursa ndizo zinazoenda kufubaza Maendeleo ya Nchi yetu.

KIUSALAMA, Rwanda Ndani ya DRC kama ambavyo amekua na Tamaa na lugha mbaya juu ya Taifa letu, maana yake ni kua ataendeleza Chokochoko tu ambazo tutahitajika Kupambana na Rwanda katika 3 fronts Kusini kutokea Msumbiji, DRC Rwanda, sahizi ana Ndugu yake Uganda , Burundi ndo kabisa !, Kagame hashindwi kuanziasha Vikundi vya waasi .

JWTZ ni lazima wahakikishe wanampiga m23 na kumuondoa kabisa mashariki ya DRC, wasiruhusu Rwanda watumie utajiri wa DRC kujiimarisha kijeshi na kuimarisha uwezo wao wa kijeshi ndani ya drc, utajiri wa DRCmikononi mwa rwanda maana yake ni kuruhusu rwanda kujitanua na kutengeneza vikundi vya waasi wenye uwezo mkubwa wa kijeshi ,endapo Rwanda atalifanikisha hilo, basi tanzania tutakua tumepoteza uhuru wetu tulionao kijeshi kwa afrika mashariki nzima.

Ukijiuliza kwanini Israel anapambana sana kuhakikisha mashariki ya Kati hamna mwenye Nguvu zaidi yake KIJESHI, basi utakubali kua Kwa ajili ya manufaa ya muda mrefu, hamna Taifa zaidi ya Tanzania linalotakiwa kua na Nguvu .

Kagame apigwe, na azuiwe, ikiwezekana apelekewe vita nchini kwake, Rwanda ni ndogo sana, uchumi wake ukivurugwa ,itamchukua miaka na miaka kujijenga upya, tofauti na sisi Tanzania tulio na taifa kubwa na lenye utajiri mwingi.

Rwanda APIGWE, M23 apigwe!!.
 
Hamna wakati mwingine ambao Tanzania inahitaji DRC iliyotulia kama ilivyo Sasa !!

RWANDA ni ka Nchi kadogo sana, Ambako kana maeneo machache ya kimkakati linapokuja suala la uchumi , wako limited katika Resources .

Ndio Sababu Kagame Palipo na Migogoro anajitahidi kujiingiza na kusaini mikataba ya kudumu. Ni nani anajua hapo Msumbiji Rwanda atakaa miaka mingapi?.

Embu ifikirie Rwanda yenye ushawishi na base za kijeshi na silaha nzito nchini Msumbiji, Uganda, DRC, Rwanda , Burundi , Tutatoboa?

Kagame Kwa Rwanda, anazuga tu Kupambana na FDLR ,ila lengo ni Utajiri wa DRC, Dhahabu , Cobalt, Tantalam, Tin , Coltan , madini muhimu sana katika Teknolojia za kisasa hapa Duniani.

Kwa Kujua Udhaifu Mkubwa wa Jeshi la Kongo ambalo limezidi kuangamiziwa Kwa Rushwa, Ukosefu wa mishahara , Uwekezaji Mdogo wa Jeshi , M23 hawatoweza kuishia mashariki ya DRC , Ngoma itaenda tu mpaka Kinshasa , Ndoto ya Kagame ni kutumia Minority Kuitawala DRC na akifanikiwa hili basi Tanzania matatizo yataanza.


Tanzania kupitia JWTZ ni lazima ihakikishe Rwanda haipati nafasi ya kukaa mashariki ya DRC na hata kuikali DRC kwa ujumla.


KIUCHUMI, NI LAZIMA Kumfanya Rwanda aendelee kua Mtegemezi wetu , Kuruhusu Rwanda ikae DRC maana yake ni kuruhusu Biashara ya Madini Kati ya Ulaya/Marekani na Rwanda , naongezeko lolote la Biashara ya Madini Kwa uwazi Kati ya Mataifa hayo na Rwanda, maana yake kunaenda kufungua Fursa nyingi sana Nchini Rwanda, na Ni hizo Fursa ndizo zinazoenda kufubaza Maendeleo ya Nchi yetu.

KIUSALAMA, Rwanda Ndani ya DRC kama ambavyo amekua na Tamaa na lugha mbaya juu ya Taifa letu, maana yake ni kua ataendeleza Chokochoko tu ambazo tutahitajika Kupambana na Rwanda katika 3 fronts Kusini kutokea Msumbiji, DRC Rwanda, sahizi ana Ndugu yake Uganda , Burundi ndo kabisa !, Kagame hashindwi kuanziasha Vikundi vya waasi .


JWTZ NI LAZIMA WAHAKIKISHE WANAMPIGA M23 NA KUMUONDOA KABISA MASHARIKI YA DRC, WASIRUHUSU RWANDA WATUMIE UTAJIRI WA DRC KUJIIMARISHA KIJESHI NA KUIMARISHA UWEZO WAO WA KIJESHI NDANI YA DRC, UTAJIRI WA DRC MIKONONI MWA RWANDA MAANA YAKE NI KURUHUSU RWANDA KUJITANUA NA KUTENGENEZA VIKUNDI VYA WAASI WENYE UWEZO MKUBWA WA KIJESHI ,ENDAPO RWANDA ATALIFANIKISHA HILO, BASI TANZANIA TUTAKUA TUMEPOTEZA UHURU WETU TULIONAO KIJESHI KWA AFRIKA MASHARIKI NZIMA.


Ukijiuliza kwanini Israel anapambana sana kuhakikisha mashariki ya Kati hamna mwenye Nguvu zaidi yake KIJESHI, basi utakubali kua Kwa ajili ya manufaa ya muda mrefu, hamna Taifa zaidi ya Tanzania linalotakiwa kua na Nguvu .

KAGAME APIGWE, NA AZUIWE, IKIWEZEKANA APELEKEWE VITA NCHINI KWAKE, RWANDA NI NDOGO SANA, UCHUMI WAKE UKIVURUGWA ,ITAMCHUKUA MIAKA NA MIAKA KUJIJENGA UPYA, TOFAUTI NA SISI TANZANIA TULIO NA TAIFA KUBWA NA LENYE UTAJIRI MWINGI.



Rwanda APIGWE, M23 apigwe!!.
Sasa taifa letu kubwa lina utajiri mwingi lakini linaongozwa na mazuzu,.......ukubwa si hoja,hio D.R.C ni ndogo?
 
Hamna wakati mwingine ambao Tanzania inahitaji DRC iliyotulia kama ilivyo Sasa !!

RWANDA ni ka Nchi kadogo sana, Ambako kana maeneo machache ya kimkakati linapokuja suala la uchumi , wako limited katika Resources .

Ndio Sababu Kagame Palipo na Migogoro anajitahidi kujiingiza na kusaini mikataba ya kudumu. Ni nani anajua hapo Msumbiji Rwanda atakaa miaka mingapi?.

Embu ifikirie Rwanda yenye ushawishi na base za kijeshi na silaha nzito nchini Msumbiji, Uganda, DRC, Rwanda , Burundi , Tutatoboa?

Kagame Kwa Rwanda, anazuga tu Kupambana na FDLR ,ila lengo ni Utajiri wa DRC, Dhahabu , Cobalt, Tantalam, Tin , Coltan , madini muhimu sana katika Teknolojia za kisasa hapa Duniani.

Kwa Kujua Udhaifu Mkubwa wa Jeshi la Kongo ambalo limezidi kuangamiziwa Kwa Rushwa, Ukosefu wa mishahara , Uwekezaji Mdogo wa Jeshi , M23 hawatoweza kuishia mashariki ya DRC , Ngoma itaenda tu mpaka Kinshasa , Ndoto ya Kagame ni kutumia Minority Kuitawala DRC na akifanikiwa hili basi Tanzania matatizo yataanza.


Tanzania kupitia JWTZ ni lazima ihakikishe Rwanda haipati nafasi ya kukaa mashariki ya DRC na hata kuikali DRC kwa ujumla.


KIUCHUMI, NI LAZIMA Kumfanya Rwanda aendelee kua Mtegemezi wetu , Kuruhusu Rwanda ikae DRC maana yake ni kuruhusu Biashara ya Madini Kati ya Ulaya/Marekani na Rwanda , naongezeko lolote la Biashara ya Madini Kwa uwazi Kati ya Mataifa hayo na Rwanda, maana yake kunaenda kufungua Fursa nyingi sana Nchini Rwanda, na Ni hizo Fursa ndizo zinazoenda kufubaza Maendeleo ya Nchi yetu.

KIUSALAMA, Rwanda Ndani ya DRC kama ambavyo amekua na Tamaa na lugha mbaya juu ya Taifa letu, maana yake ni kua ataendeleza Chokochoko tu ambazo tutahitajika Kupambana na Rwanda katika 3 fronts Kusini kutokea Msumbiji, DRC Rwanda, sahizi ana Ndugu yake Uganda , Burundi ndo kabisa !, Kagame hashindwi kuanziasha Vikundi vya waasi .


JWTZ NI LAZIMA WAHAKIKISHE WANAMPIGA M23 NA KUMUONDOA KABISA MASHARIKI YA DRC, WASIRUHUSU RWANDA WATUMIE UTAJIRI WA DRC KUJIIMARISHA KIJESHI NA KUIMARISHA UWEZO WAO WA KIJESHI NDANI YA DRC, UTAJIRI WA DRC MIKONONI MWA RWANDA MAANA YAKE NI KURUHUSU RWANDA KUJITANUA NA KUTENGENEZA VIKUNDI VYA WAASI WENYE UWEZO MKUBWA WA KIJESHI ,ENDAPO RWANDA ATALIFANIKISHA HILO, BASI TANZANIA TUTAKUA TUMEPOTEZA UHURU WETU TULIONAO KIJESHI KWA AFRIKA MASHARIKI NZIMA.


Ukijiuliza kwanini Israel anapambana sana kuhakikisha mashariki ya Kati hamna mwenye Nguvu zaidi yake KIJESHI, basi utakubali kua Kwa ajili ya manufaa ya muda mrefu, hamna Taifa zaidi ya Tanzania linalotakiwa kua na Nguvu .

KAGAME APIGWE, NA AZUIWE, IKIWEZEKANA APELEKEWE VITA NCHINI KWAKE, RWANDA NI NDOGO SANA, UCHUMI WAKE UKIVURUGWA ,ITAMCHUKUA MIAKA NA MIAKA KUJIJENGA UPYA, TOFAUTI NA SISI TANZANIA TULIO NA TAIFA KUBWA NA LENYE UTAJIRI MWINGI.



Rwanda APIGWE, M23 apigwe!!.
Tshisekedi analalamika badala ya kupeleka vita rwanda kama alivyo ahidi
 
Tanzania ni mdau wa jumuia ya kimataifa, ... zile enzi za Mwalimu za kujiamulia mambo holelaholela zilishaachwa na wakati!
TUNAWEZA KUJIINGIZA KWENYE MGOGORO USIOISHA WA PALESTINA NA ISRAEL YA AFRICA!
 
Hamna wakati mwingine ambao Tanzania inahitaji DRC iliyotulia kama ilivyo Sasa !!

RWANDA ni ka Nchi kadogo sana, Ambako kana maeneo machache ya kimkakati linapokuja suala la uchumi , wako limited katika Resources .

Ndio Sababu Kagame Palipo na Migogoro anajitahidi kujiingiza na kusaini mikataba ya kudumu. Ni nani anajua hapo Msumbiji Rwanda atakaa miaka mingapi?.

Embu ifikirie Rwanda yenye ushawishi na base za kijeshi na silaha nzito nchini Msumbiji, Uganda, DRC, Rwanda , Burundi , Tutatoboa?

Kagame Kwa Rwanda, anazuga tu Kupambana na FDLR ,ila lengo ni Utajiri wa DRC, Dhahabu , Cobalt, Tantalam, Tin , Coltan , madini muhimu sana katika Teknolojia za kisasa hapa Duniani.

Kwa Kujua Udhaifu Mkubwa wa Jeshi la Kongo ambalo limezidi kuangamiziwa Kwa Rushwa, Ukosefu wa mishahara , Uwekezaji Mdogo wa Jeshi , M23 hawatoweza kuishia mashariki ya DRC , Ngoma itaenda tu mpaka Kinshasa , Ndoto ya Kagame ni kutumia Minority Kuitawala DRC na akifanikiwa hili basi Tanzania matatizo yataanza.


Tanzania kupitia JWTZ ni lazima ihakikishe Rwanda haipati nafasi ya kukaa mashariki ya DRC na hata kuikali DRC kwa ujumla.


KIUCHUMI, NI LAZIMA Kumfanya Rwanda aendelee kua Mtegemezi wetu , Kuruhusu Rwanda ikae DRC maana yake ni kuruhusu Biashara ya Madini Kati ya Ulaya/Marekani na Rwanda , naongezeko lolote la Biashara ya Madini Kwa uwazi Kati ya Mataifa hayo na Rwanda, maana yake kunaenda kufungua Fursa nyingi sana Nchini Rwanda, na Ni hizo Fursa ndizo zinazoenda kufubaza Maendeleo ya Nchi yetu.

KIUSALAMA, Rwanda Ndani ya DRC kama ambavyo amekua na Tamaa na lugha mbaya juu ya Taifa letu, maana yake ni kua ataendeleza Chokochoko tu ambazo tutahitajika Kupambana na Rwanda katika 3 fronts Kusini kutokea Msumbiji, DRC Rwanda, sahizi ana Ndugu yake Uganda , Burundi ndo kabisa !, Kagame hashindwi kuanziasha Vikundi vya waasi .


JWTZ NI LAZIMA WAHAKIKISHE WANAMPIGA M23 NA KUMUONDOA KABISA MASHARIKI YA DRC, WASIRUHUSU RWANDA WATUMIE UTAJIRI WA DRC KUJIIMARISHA KIJESHI NA KUIMARISHA UWEZO WAO WA KIJESHI NDANI YA DRC, UTAJIRI WA DRC MIKONONI MWA RWANDA MAANA YAKE NI KURUHUSU RWANDA KUJITANUA NA KUTENGENEZA VIKUNDI VYA WAASI WENYE UWEZO MKUBWA WA KIJESHI ,ENDAPO RWANDA ATALIFANIKISHA HILO, BASI TANZANIA TUTAKUA TUMEPOTEZA UHURU WETU TULIONAO KIJESHI KWA AFRIKA MASHARIKI NZIMA.


Ukijiuliza kwanini Israel anapambana sana kuhakikisha mashariki ya Kati hamna mwenye Nguvu zaidi yake KIJESHI, basi utakubali kua Kwa ajili ya manufaa ya muda mrefu, hamna Taifa zaidi ya Tanzania linalotakiwa kua na Nguvu .

KAGAME APIGWE, NA AZUIWE, IKIWEZEKANA APELEKEWE VITA NCHINI KWAKE, RWANDA NI NDOGO SANA, UCHUMI WAKE UKIVURUGWA ,ITAMCHUKUA MIAKA NA MIAKA KUJIJENGA UPYA, TOFAUTI NA SISI TANZANIA TULIO NA TAIFA KUBWA NA LENYE UTAJIRI MWINGI.



Rwanda APIGWE, M23 apigwe!!.
Umeandika vizuri ila shida ni kwamba sio rahisi kiasi hiko, ogopa sana mtu ambae miaka yote anakaa anawaza jambo moja tu kichwani mwake so hata akiamua kuingia front it means consequences zote amezizingatia, haya mambo sio ya kuingia kichwa kichwa na badala yake lazima karata zichangwe vizuri, bila hivyo baadae tutarudi hapa tutaanza kuandika nyuzi za kwanini aliingilia ugomvi ambao haumuhusu 😂😂😂😂
 
Kagame haihitaji DRC yote, anahitaji mashariki ya DRC hasa kivu na Goma ameshazipata tayari, Jeshi la SADC, EAC, MONUSCO na TZ ikiwepo wamepewa kipigo cha mbwa mwizi, kilichobaki ni mazungumzo ili kuitangaza nchi mpya ya Goma, then amani itawale

Kuendelea kupeleka majeshi kule wakati wenzenu wanakimbia ni kuhatarisha usalama wa nchi, tumesahau wale Askari wa zenji waliorudishwa kwenye majeneza?
 
Nchi ile itengwe tu na mipaka iheshimiwe! M23 wapewe nchi Yao
 
Rwanda APIGWE, M23 apigwe!!.
[/QUOTE]
Unaposema Rwanda apigwe unamaanisha US apigwe, jamaa sasa hivi Wana hadi Iron dome, unafikiri wamepata wapi? Wana uwezo wa ku zi mislead GPS za MONUSCO,

Ukimuona tumbili kariakoo usifikiri katokea porini, ni wa mtu, usijaribu kumuwinda bila kujua mwenye nae ana nguvu gani, utakutana na kitu cha kustaajabisha
 
Hizi ndiyo mada za kuamsha hisia na kujadili.

Mkuu big up sana.
Yote kwa yote, kinachonisikitisha na endapo kitatokea ni eneo la Goma na Kivu kujitawala, kwa umri huu nitatoa machozi, maana najua siyo M23 bali PK.

Dunia ni shm sahihi ya kuishi binadamu ila kuna binadamu ambao wanadhoofisha makusudi ya usahihi huo.

Tanzania hatuwezi kuwa eneo la maziwa makuu na tukawa salama, huyu mzee mbadi PK anajitutumua na kuanza kuwatambia wenzake (Giants) kama SA atakuwa na echo mbaya sana.

Nchi yetu chini ya viongozi wetu, tuwe makini na huyu mzee PK maana kuna jambo anatafuta siyo zuri course anaanzia mbali ili afike hapa kwetu.
 
Back
Top Bottom