Tanzania haitaweza kukuwa kimaendeleo kwa siasa za kifamilia na kujuana hivi

Tanzania haitaweza kukuwa kimaendeleo kwa siasa za kifamilia na kujuana hivi

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tanzania bila kuweka nchi kwanza na kuweka mfumo ambao sio wa kinafiki au wakifamilia tulionao sasa hatutatoka hapa tulipo.

Siasa za kuwapa Uwaziri ndugu wa wanasiasa na mifumo ya kufikiri Polisi ndiyo wataleta amani nchini na sio mifumo tutabaki na matabaka na tunaenda kwenye mapigano ya jamii ambayo ndiyo tunaona mwanzo wake.

Haya maziwa yanachemka na ni muda tu yatafurumia na inavyo onekana yameshaanza kufurumia. Harakati za demokrasia sasa zinaenda kwa vijana zaidi na hawataweza kuzuilika kwa ukandamizaji bali kwa sera na katiba nzuri ya nchi.

Bila Demokrasia Tanzania hatutoki hapa na vurugu zetu zitapunguza wageni, uwekezaji na hayo yataongeza matatizo badala ya kupunguza. suluhu ni mifumo bora.

Watanzania tuache mtindo wa kurikirisha bila uhalisia. Mfano kila siku Poilisi wakitaka kusitisha mikutano ya upinzani wanasingizia vurugu ambazo hazijawahi kutokea na hazina ushahidi wowote.
 
..CCM iwe makini na kizazi cha SHULE ZA KATA.
Nilitumia siku nzima kupiga mahesabu makali sana nikapata majibu, kuna watu hawaamini kabisa kwamba tunayoyaona nchi jirani na nchi za nje hayawezi kutokea ila muda ukifika kuna watu watajuta na kusaga meno dharau dharau zao hizi hizi hawa vijana hawana la kupoteza ni bomu moja kubwa sanaaa ambalo ukiwa mtawala huwezi kuliona
 
Tanzania bila kuweka nchi kwanza na kuweka mfumo ambao sio wa kinafiki au wakifamilia tulionao sasa hatutatoka hapa tulipo.

Siasa za kuwapa Uwaziri ndugu wa wanasiasa na mifumo ya kufikiri Polisi ndiyo wataleta amani nchini na sio mifumo tutabaki na matabaka na tunaenda kwenye mapigano ya jamii ambayo ndiyo tunaona mwanzo wake.

Haya maziwa yanachemka na ni muda tu yatafurumia na inavyo onekana yameshaanza kufurumia. Harakati za demokrasia sasa zinaenda kwa vijana zaidi na hawataweza kuzuilika kwa ukandamizaji bali kwa sera na katiba nzuri ya nchi.

Bila Demokrasia Tanzania hatutoki hapa na vurugu zetu zitapunguza wageni, uwekezaji na hayo yataongeza matatizo badala ya kupunguza. suluhu ni mifumo bora.

Watanzania tuache mtindo wa kurikirisha bila uhalisia. Mfano kila siku Poilisi wakitaka kusitisha mikutano ya upinzani wanasingizia vurugu ambazo hazijawahi kutokea na hazina ushahidi wowote.



View: https://youtu.be/h9Z0dLxh9PE?si=V0b1XkeDxaNEiXG4
 
Tanzania bila kuweka nchi kwanza na kuweka mfumo ambao sio wa kinafiki au wakifamilia tulionao sasa hatutatoka hapa tulipo.

Siasa za kuwapa Uwaziri ndugu wa wanasiasa na mifumo ya kufikiri Polisi ndiyo wataleta amani nchini na sio mifumo tutabaki na matabaka na tunaenda kwenye mapigano ya jamii ambayo ndiyo tunaona mwanzo wake.

Haya maziwa yanachemka na ni muda tu yatafurumia na inavyo onekana yameshaanza kufurumia. Harakati za demokrasia sasa zinaenda kwa vijana zaidi na hawataweza kuzuilika kwa ukandamizaji bali kwa sera na katiba nzuri ya nchi.

Bila Demokrasia Tanzania hatutoki hapa na vurugu zetu zitapunguza wageni, uwekezaji na hayo yataongeza matatizo badala ya kupunguza. suluhu ni mifumo bora.

Watanzania tuache mtindo wa kurikirisha bila uhalisia. Mfano kila siku Poilisi wakitaka kusitisha mikutano ya upinzani wanasingizia vurugu ambazo hazijawahi kutokea na hazina ushahidi wowote.
Tutaendelea na match timing tu
 
Back
Top Bottom