#COVID19 Tanzania hakuna Corona wala hatutegemei mabeberu, huo uchumi umeyumbaje?

#COVID19 Tanzania hakuna Corona wala hatutegemei mabeberu, huo uchumi umeyumbaje?

SN.BARRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
4,038
Reaction score
8,929
Mama Samia amesema hawezi kupandisha mishahara kutokana uchumi kuyumba kutokana na ugonjwa wa Corona.

Tangu mwaka jana serikali ambayo yeye alikuwa Makamu wa Rais ilituaminisha kuwa Tanzania hamna Corona na uchumi wenu hautegemei mabeberu, yaache yafe na Corona sisi tumemuweka Mungu Mbereee.

Sasa mbona leo kiswahili kimebadilika?

SOMO: UONGO HAUDUMU.
 
Mama Samia amesema hawezi kupandisha mishahara kutokana uchumi kuyumba kutokana na ugonjwa wa Corona...
Aisee, nasikitika kusema ww ni zero brain kabisa

Yaani unashindwa kuoanisha kuathirika kwa mataifa mengine kunavyoligharimu pía Taifa letu!?

Hujui kuwa kuna baadhi ya Raia wa nchi jirani huwa wanakuja nchini kufanya biashara lakn pindi nchi zao zilipoweka lockdown ikawawia vigumu kutoka?

Hujui kuwa sekta ya utalii nchini kwetu inachangia %ge ktk budget na imeathirika kwa namna gani kutokana na hili janga!???
 
Tatizo wajinga walikuwa hawakumwelewa.

Alisisitiza kutumia dawa asilia juu ya ugonjwa wa?

Alisema PPE zikaguliwe ama tutengeneze zetu kujikinga na?

Aliagiza uangalifu juu ya vaccines za ugonjwa wa?

Naungana na wanaosema alisema hakuna corona vichaa makusudi.

Hivyo wanaomtuhumu Saint Magu wengi wao ni mtindio wa ubongo ama inborn hates ambazo hazikwepeki.
Marehemu dikiteta magufuli alikuwa mwongo sana
 
Mwendazake alituaminisha sisi ni dona kantri... alitoa misaada Zimbabwe huku wana Kagera wakitaabika!! Tanzania sio kisiwa...
Kagera wanahitaji misaada ipi! Chakula, mavazi au misaada gani hasa! Kagera ni donor region since time immemorial.
 
kweli uongo haudumu kama vile wewe ulivonidanganya kuna mchongo wa kubeba utumbo saa nane usku kule machinjion kumbe fix tupu
Kkkkkk Ruge, Kazi iendeleee!
 
Aisee,, nasikitika kusema ww ni zero brain kabisa

Yaani unashindwa kuoanisha kuathirika kwa mataifa mengine kunavyoligharimu pía Taifa letu!??
Hujui kuwa kuna baadhi ya Raia wa nchi jirani huwa wanakuja nchini kufanya biashara lakn pindi nchi zao zilipoweka lockdown ikawawia vigumu kutoka!??

Hujui kuwa sekta ya utalii nchini kwetu inachangia %ge ktk budget na imeathirika kwa namna gani kutokana na hili janga!???
Nimeandika kuwakumbusha CCM, Samia na marehemu Magofool kuwa uongo haudumu.

Walituaminisha uchumi unakuwa kwa 7% ila le wamebadili kiswahili/wamekubaliana na ukweli.

Kumbuka kauli za Hayati Magofool. Na alishangiliwa sana. Leo hii ukweli hadharani.
 
Back
Top Bottom