Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Haiwezekani hata kombe dogo tu hili tunakosa
Ivi mpira wa Tanzania mbona haubadiliki miaka yote
Tunakwama wapi ?
Nani ameturoga yaani wachezaji hawana ubunifu kabisa aise ..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uelewa wako ni hafifu sana tena sana ivi kwa mfano secta ya uvuvi ulinakwamisha vipi maendeleo ya mpira tuanzie hapo ?? Au umekurupuka kidogo mkuuSekta gani inayofanya vizuri? Kinachokwamisha michezo ndicho hicho hicho kinachokwamisha maendeleo sekta nyingine.
Uelewa wako ni hafifu sana tena sana ivi kwa mfano secta ya uvuvi ulinakwamisha vipi maendeleo ya mpira tuanzie hapo ?? Au umekurupuka kidogo mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishamuelewa yeye anamainisha kwamba yanayokwamisha secta zingine kuna yanakwamisha na secta ya mchezo pia sasa ndo tunahoji kwa nn tukishayagundua hayo tusiyafanyie kaziMsome vizuri tena!
Nazani utakuwa hujamuelewa vizuri lakini
Jamaa yuko sahihi!
Naamini utamuelewa !
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishamuelewa yeye anamainisha kwamba yanayokwamisha secta zingine kuna yanakwamisha na secta ya mchezo pia sasa ndo tunahoji kwa nn tukishayagundua hayo tusiyafanyie kazi
Yeye kaja na hoja ya hakuna secta inayofanya vizuri, wewe unaona hiyo ni hoja ya msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezekani hata kombe dogo tu hili tunakosa
Ivi mpira wa Tanzania mbona haubadiliki miaka yote
Tunakwama wapi ?
Nani ameturoga yaani wachezaji hawana ubunifu kabisa aise ..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uelewa wako ni hafifu sana tena sana ivi kwa mfano secta ya uvuvi ulinakwamisha vipi maendeleo ya mpira tuanzie hapo ?? Au umekurupuka kidogo mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nakubaliana nae!
Labda sasa useme hapana siyo kweli sababu zipo sekta zinazofanya vizuri kama vile........:
Zitaje hizo sekta zinazofanya vizuri ili tuweze kuzifahamu na mifano yake sahihi! (With Relevant examples)
Karibu tafadhali!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hiki ulichoandika ni kweli basis tunasafari ndefu sana, cha ajabu kuna timu zimeshaanza mechi za raundi ya pili wakati mechi ya raundi ya kwanza hawajui watacheza lini,(azam na yanga haijulikani itachezwa lini)Yanga anacheza tarehe 31 Dar, tarehe 3 tanga , 6 Singida na 9 tena Tanga ... Hapo simba hachezi tena hata mechi moja eti ana msubiri al ahly ..jamani vitujo hivi .... Anakuwa na viporo 11 ... Nao wanaona ni sawa tu.
watu wa aina yako ndio mmefanya soka la bongo haliendelei kwa kusifia vitu ambavyo havipo.tulia simba na al ahly wiki ijayo uone motooo
Hata Mimi naelewa hivyo hivyo. Hakuna sekta tunayofanya vizuri na kinachokwamisha sekta zingine ndiyo kinachokwamisha michezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukosekana kwa secta inayofanya vzuri siyo hoja ya secta ya mpira kutofanya vzuriMimi nakubaliana nae!
Labda sasa useme hapana siyo kweli sababu zipo sekta zinazofanya vizuri kama vile........:
Zitaje hizo sekta zinazofanya vizuri ili tuweze kuzifahamu na mifano yake sahihi! (With Relevant examples)
Karibu tafadhali!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukosekana kwa secta inayofanya vzuri siyo hoja ya secta ya mpira kutofanya vzuri
Kipimo cha kujua umaridadi wa kitu au mtu au kiumbe yoyote mpaka kishindanishwe au kupewa mitihani kadhaa
Unaweza kuniambia ni secta gani imeshindanishwa kila mwaka inafeli kama hii ya mpira wa TZ
Sent using Jamii Forums mobile app
acha tuendelee kushindwa maana ndo tulivyoumbwaMashinano ni njia mojawapo ya kupima ufanisi wa swala fulani lakini siyo njia pekee ya kiweza kupima na kuweza kujua ufanisi wa swala flani!
Inategemeana na aina , asili, n.k ya sector husika!
Mfano sector ya maji, nishati (umeme) , afya, kulimo , usalama wa raia n.k huwezi kupata kujua ufanisi wake kwa njia ya mashindano!
Kila kimoja ninaweza kuwa na namna tofauti ya kupima lakini mwisho wa siku itajulikana wazi kama tuko tunapiga “mark times”, tunasonga mbele au tumerudi nyuma ktk ufanisi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba kama ni cha kweli.... Ni ukweli na ndio uhalisia ..Yanga wemelalamik..hawajalalamikia simba kutokucheza .... ila inakuwaje tarehe 31 ucheze Dar , 3 Tanga ,6 Singida halafu urudi tena Tanga .... Na ni gap la siku 2 tu .... Unasafiri na kucheza humo humo ...sio fair kuna mtu anaandaliwa mazingira.Kama hiki ulichoandika ni kweli basis tunasafari ndefu sana, cha ajabu kuna timu zimeshaanza mechi za raundi ya pili wakati mechi ya raundi ya kwanza hawajui watacheza lini,(azam na yanga haijulikani itachezwa lini)
Pamoja na viporo vyote subiri utaona matokeoSio kwamba kama ni cha kweli.... Ni ukweli na ndio uhalisia ..Yanga wemelalamik..hawajalalamikia simba kutokucheza .... ila inakuwaje tarehe 31 ucheze Dar , 3 Tanga ,6 Singida halafu urudi tena Tanga .... Na ni gap la siku 2 tu .... Unasafiri na kucheza humo humo ...sio fair kuna mtu anaandaliwa mazingira.