karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,802
- 3,253
Habari ya wakati huu
Nikiwa na akili zangu timamu kabisa nasema hivi Tanzania hakuna wachambuzi wa mpira wengi ni waropokaji tu na wanaenda na upepo umekaaje
Wengi wa wachambuzi wetu wanachambua ili tu kubalance story kuhusu hawa mapacha wa kariakoo.
Mchambuzi hajawahi hata kucheza sodo [emoji1787][emoji1787] sema sitowataja ila mnawajua
Nikiwa na akili zangu timamu kabisa nasema hivi Tanzania hakuna wachambuzi wa mpira wengi ni waropokaji tu na wanaenda na upepo umekaaje
Wengi wa wachambuzi wetu wanachambua ili tu kubalance story kuhusu hawa mapacha wa kariakoo.
Mchambuzi hajawahi hata kucheza sodo [emoji1787][emoji1787] sema sitowataja ila mnawajua