Tanzania hamna 5G Tigo wamenambia 5G ipo posta na masaki tu

Tanzania hamna 5G Tigo wamenambia 5G ipo posta na masaki tu

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Hii nchi ina vituko sana, kumbe 5G ni mchongo tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Huku mitandao ya simu ikijitapa 5G kuenea nchi nzima, na nape akijitapa hivyo, ukweli ni kuwa hali sio hivyo

Dar sehem nyingi hamna 5G kabisa

Nimeambiwa na tigo ofisi zao mlimani city kuwa 5G kama nataka niende posta na masaki

Haya, Voda napo nilizungushwa tu

Wengine watakuambia mitambo ya 5G iliwashwa kama wiki 3 tu kutest mambo na kujulisha umma then ikazimwa..

Tanzania kuna utapeli wa kila aina

Bora tu nirudi kuwa diaspora tu[emoji28][emoji23]

Tz kila kitu ni feki na uwongo tu
 
Hii nchi ina vituko sana, kumbe 5G ni mchongo tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Huku mitandao ya simu ikijitapa 5G kuenea nchi nzima, na nape akijitapa hivyo, ukweli ni kuwa hali sio hivyo

Dar sehem nyingi hamna 5G kabisa

Nimeambiwa na tigo kuwa 5G kama nataka niende posta na masaki

Haya, Voda napo nilizungushwa tu

Wengine watakuambia mitambo ya 5G iliwashwa kama wiki 3 tu kutest mambo na kujulisha umma then ikazimwa..

Tanzania kuna utapeli wa kila aina
Na hawa wanao pata 5G geita vipi?😂
 
Hii nchi ina vituko sana, kumbe 5G ni mchongo tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Huku mitandao ya simu ikijitapa 5G kuenea nchi nzima, na nape akijitapa hivyo, ukweli ni kuwa hali sio hivyo

Dar sehem nyingi hamna 5G kabisa

Nimeambiwa na tigo ofisi zao mlimani city kuwa 5G kama nataka niende posta na masaki

Haya, Voda napo nilizungushwa tu

Wengine watakuambia mitambo ya 5G iliwashwa kama wiki 3 tu kutest mambo na kujulisha umma then ikazimwa..

Tanzania kuna utapeli wa kila aina

Bora tu nirudi kuwa diaspora tu[emoji28][emoji23]

Tz kila kitu ni feki na uwongo tu
Hii inaweza kuwa kashfa kubwa sana ya mabilioni ya fedha..umewahi kununua kifurushi cha 5G nje ya Dar?
 
acheni stori za vijiweni,Mimi nipo mpaka wa Morogoro mjinu na vijijini na napata 5G ya voda.
 
Posta na masaki kwa washua.... Sisi wa buza kwa mpalange tutaipata lini hiyo 5G?😂
 
Tanzania kuna 5G base stations ngapi? Au ndio hizo zilizopo Posta na Masaki?

Usitegemee stations ziwe chache halafu eti kila mahali kuwe na coverage ya 5G

Nchi za wenzetu hapo kwenye 5G base stations ndipo walipowekeza zaidi.

China wameshaanza hadi majaribio ya 6G sisi bado 5G inapatikana Posta na Masaki tu na bado Watoa huduma wa Tz hata huduma ya 4G baadhi ya maeneo mengi ya Tz inawashinda mpaka leo

5g-rollout-comparison.png
 
Back
Top Bottom