Tanzania handles 85% of cargo destined to Rwanda

Status
Not open for further replies.
Haya, south sudan share a border with you, lkn wapo radhi wachukulie dsm ipite Ug hadi kwao.
Unasemaje
Tupe tonnage zenye wamepitisha bandari ya dar juu kwa bwembwe hamjamboo.... container kumi za UNHCR zikipiswa dar mnapayukia dunia mzima ati ssudan inatumia bandari yenyu......leta numbers tafadhali tuache kujadili na maneno matupu
 
Ug imepakana na ziwa victoria. Haya, What about south sudan
Excuses, please ya south Sudan nimekwambia uniletee tonnes zenye zinapita dar ,,,pamoja na Burundi na drc kuwa miles kubwa na Kenya kuna wale wanapitisha mizigo Yao Mombasa ila wachache
 
Haya, south sudan share a border with you, lkn wapo radhi wachukulie dsm ipite Ug hadi kwao.
Unasemaje
kama vile Kenya inachukua import ya Mahindi kutoka Zambia mara moja kwa mwaka, haimaanishi kuwa ni import ya kila siku ila ni ya muda mfupi. Hiyo ndio mnaringia hivo Tena WFP yani kitu Cha bure/ msaada.
 
watanzania wenyewe wanatumia bandari ya Mombasa, hawa vilaza wa fisiemu hawajielewi!



 
Mpumbavu mkubwa, sisi tunaangalia pesa, sio kama ninyi mnaanzisha routes bila kujua kama ni " high or low season", biashara inataka uwe na akili, sio ninyi failed state mnaanzisha route ya USA baada ya wiki ndege inaenda tupu.

Umeona jinsi ATCL inavyotengeneza pesa?, wewe endelea kukimbilia route ya Mumbai. Sisi huku tunatengeneza pesa kwa kutumia safari za ndani na nchi za jirani. Ninyi wapenda sifa endeleeni na safari za mbali ili ET, Emirate, Turkey na Qatar airlines wawanyoroshe zaidi.
Tanzania, muhimu ni pesa.
Kenya, muhimu ni routes.
Hahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha.
 
Baboon IQ Uganda ni mlango wa kuingia DRC.
Hiyo ni kwa upande wa Kenya, sio kwa mtazamo wa Tanzania. Sasa kama mnalijua hilo, vipi hamuwezi kumalizia SGR kutoka Naivasha hadi Malaba ili mkamate mizigo mingi ya DRC?. Kama SGR ya Tanzania ikifika Kigali, unadhani kuna mfanyabiashara toka DRC atasumbuka kutumia barabara kukatiza hadi Kenya?. Acheni kutegemea mikopo, punguzeni rushwa na ujinga kidogo mtaweza kupata pesa ya kumalizia hicho kipande cha Naivasha hadi Malaba
 
Ninyi ni watu wajinga saba, Gazeti la M wananchi ni kampuni ya Kenya(Citizen media group), limefunguwa Mara kadhaa kwa kutoelewana na serikali, wewe kwa ujinga wako wa kutojua mambo unasema ni gazeti la CCM. Katika magazeti yasiyoelewana na Serikali ya Tanzania, Nwananchi linaongoza, sema limeandika ukweli mchungu kwenu ndio sababu unasema ni gazeti la CCM.
Nani asome gazzeti la sisiem Una kichaa wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tona ongelea present ww unaruka ruka. As long as graph inakuwa in our favour hayo mengine ni history. Halafu ni mjinga pekee anaye weza kubeza kazi ya Nyerere ndiyo maana dunia inampa heshima zaidi kuliko Jomo Kenyatta.
 
Ug imepakana na Tanzania na Kenya hapa biashara inafaa kua 50/50 lakini Rwanda ambayo ni kama mkoa wa Tanzania iweje hawatumii bandari lenyu [emoji817]?uvivu wa sisiem[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo kwasababu Ethiopia imepaka na Djibouti na Kenya biashara inapaswa iwe 50/50, lakini kwasasa Djibouti imechukua 100% na Kenya 0%. Akili zenu ndio zinawafanya mnakunya katika mifuko ya Rambo kule Kibera.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
kama vile Kenya inachukua import ya Mahindi kutoka Zambia mara moja kwa mwaka, haimaanishi kuwa ni import ya kila siku ila ni ya muda mfupi. Hiyo ndio mnaringia hivo Tena WFP yani kitu Cha bure/ msaada.
Hahahahaha, kwani WFP ikitumia bandari inapitisha bure?, kweli wewe ni "made in failed state".

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Cargo ya Rwanda inatoshana tu na cargo ya kwenda Meru County
 
Tona ongelea present ww unaruka ruka. As long as graph inakuwa in our favour hayo mengine ni history. Halafu ni mjinga pekee anaye weza kubeza kazi ya Nyerere ndiyo maana dunia inampa heshima zaidi kuliko Jomo Kenyatta.

Binafsi pia nazungumzia present...leo hii kuna asilimia zaidi 1% wanatokea Burundi na Rwanda, wanasafiri maelfu ya kilomita kuja hadi Kenya....hehehe nyie kituko.
La Nyerere kusifiwa huko nje halijalishi, cha maana ni vipi aliacha nchi, ndani mumekaa vipi, maana sera zake hizo ziliwalemaza mpaka leo mpo maskini na wavivu wa kutupwa, yeye aliitumbukiza Tanzania kwenye vita na ugomvi uliowagharimu, halafu sera za ujamaa na vijiji vya ujamaa ndio akaharibu maana mpaka leo huwa hamueleweki mko vipi, labda vitukuu vyenu ndio vitakuja kuwa sawa na kuoshwa kabisa kutoka kwenye hiyo laana.
 
Baboon IQ kwani WFP wanapitisha kila siku na ni Tani ngapi wanapitisha?? Tumia akili kabla kujibu mtu wa Dead State
Hahahahaha, kwani South Sudan wanapitishia kila siku, au Rwanda, au Zambia wanapitisha kila siku?. Wewe huna akili, kila mzigo unaopita ni pesa. Huyo meneja wa WFP ametaja kiasi cha mzigo kwa mwaka wanachosafirisha, umepanic hadi unashindwa kumsikiliza badala yake unaniuliza maswali ya Kibera.
 
Sasa Kesho wanapitisha mzigo mwingine wa WFP? Wakipitisha Kesho kuja hapa Tena ufungue uzi.
 
Sasa Kesho wanapitisha mzigo mwingine wa WFP? Wakipitisha Kesho kuja hapa Tena ufu guess uzi.
"ufu guess uzi" hahaha... huku ni kuchachawa. Mosi mosi msee, usije kufa siku si zako.
 
Sasa nyinyo ndiyo mnaeleweka! Kenyatta amewa achia ukabila na ardhi finyu. Mnajikomba komba mara China, Marekani! too bad huo ukabila hauto isha. Narudia tena cha msingi ni share yetu ikienda huku ikiongezeka. Swala la muda tu, soon itakua zero. Kuna mtu ameuliza vipi kuhusu Ethiopia mbona 50% ya mizigo haipiti Kenya.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…