Huo ukaribu wa Dar hadi Rwanda na kwamba Rwanda hatupo nao kwenye mpaka mmoja, ni ajabu sana kuna bado kuna asilimia hata 1% ambao wanategemea bandari ya Mombasa, haileti mantiki kabisa, yaani mwanabiashara atoke Kigali hadi mpaka wa Rwanda na Uganda, akatize Uganda yote aimalize hadi afike mpaka wa Uganda na Kenya, akatize Kenya yote aimalize hadi afike Mombasa......hehehe aisei nyie watu mivivu wa kutupwa mbali sana kama kuna Wanyarwanda mnawatamausha wanakuja hadi Kenya.
Nilishangaa hata Burundi, kunao wanateseka kuja huku.....aki ya nani hamfai nyie, mnafaa mkoloniwe kw viboko hadi mtie akili, muamke aisei, mna uvivu wa kijinga kweli, Magufuli anajitutumua kuwaburuza lakini kuwabadilisha mlivyo itabidi sijui nani awatawale, nafikiri Nyerere aliwaharibu kupita maelezo na huo ujamaa wake.