Tanzania handles 85% of cargo destined to Rwanda

Status
Not open for further replies.
Do u handle 100% of cargo from Uganda?

Why you this dumb?
Doesn't Tanzania also share a border with Uganda?

Meanwhile you are the only country with a port, sharing a border with Rwanda, and yet you don't have 100% of their business. Shameful.
 
Kama ni kweli leo unaona Rwanda sio deal kwanini mlitaka na mnaendelea kutaka Sgr ifike rwanda?maneno ya mshidwaji
 
Reactions: Oii
Kama ni kweli leo unaona Rwanda sio deal kwanini mlitaka na mnaendelea kutaka Sgr ifike rwanda?maneno ya mshidwaji

Hamna sehemu nimesema sio dili, nimesema ile kwamba kuna Wanyarwanda wanahangaika kuja hadi Mombasa, ni wazi nyie ni mivivu wa kutupwa. Mlifaa kuhodhi hako kamkoa kenu maana hata hatupo nao mpaka mmoja.
 
Your point is invalid as not all Rwandan cargo is sea freighted. Think.
 
Wakenya Mbona haters sana kwani si mfanye mambo yenu mtuachie yetu kwan shda nn mbona mnaumia sana what's wrong with yoo guys
 
Wakenya Mbona haters sana kwani si mfanye mambo yenu mtuachie yetu kwan shda nn mbona mnaumia sana what's wrong with yoo guys

Hii ni forum ya Kenya. Mtanzania ndiye ameanzisha uzi hapa.
Kama hamtaki wakenya wacomment, pelekeni hadithi zote za Tanzania Jukwaa la Siasa.
 
Kuhusu Nyerere mkuu, ww fungasha bakuli lako tu.
Huwezi kuta wana wa nchi ya Tz wanalalamika nyerere kutokea kwa hela. Different story kwa kenyatta senior, worsekwa kenyatta junior.
Nyerere kafanya makubwa na amecha legacy ambayo upeo wako mfupi wa akili hauwezi ng'amua.
 

Ni vigumu kupata wanaolalamika maana mlisindikwa nyote kwenye mfumo wa ukimya, ni wachache kwenu wenye ujasiri wa kuhoji, mnaelekezwa elekezwa kama mifugo, hapa Kenya tunahoji kila kitu, tuna uhuru huo yaani hadi raha, hamna cha kuambiwa eti baba wa taifa wala nini, lazima uhoji huo ubaba wake ulikuja aje na kwanini tumuenzi...... Ndio maana tunayo katiba mpya na bora kuzidi zote ukanda huu, nyie mlijaribu kuandika katiba mpya mkaangukia pua.
 
Unaandika wote tumesindikwa afu unaandika tena wachache wanaweza kuhoji, sasa ww si mpuuzi tu wa kupuuzwa.
Uliza hata wakenya wenzio, who was better btn nyerere and kenyatta, watakwambia nyerere, vuka boda uulize hivyo, kwanza utapigwa kwa kuwalinganisha, imagine umtukane.
 
100% ya mizigo ya Zambia na Malawi, 95% Mizigo ya Burundi, 85% Mizigo ya Rwanda, 18% Uganda, 15% DRC and 5% Zimbabwe. Hahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha.
 

Wachache wanaohoji wapo humu JF hufungua nyuzi kwa kujificha ficha, ila huko nje mpo kama watumwa, hamuwezi wala hamuna uhuru wa kuhoji historia, mlichokaririshwa ndicho mnakwenda nacho.
 
100% ya mizigo ya Zambia na Malawi, 95% Mizigo ya Burundi, 85% Mizigo ya Rwanda, 18% Uganda, 15% DRC and 5% Zimbabwe. Hahahahaha, Hahahahaha, Hahahahaha.
Sasa point yako ni nini? Kwamba bandari ya Dar ina handle mizigo mingi zaidi ya bandari ya Mombasa? Au point yako ni hahaha?
 
Ndio kwanza Mzee ana miaka minne tuu mmeanza kulia hahahaha huu mwendo mpaka 2025 asee mna msiba mrefuu hahahahaha ....
Na bado Mbona badoooooooo
Hii ni forum ya Kenya. Mtanzania ndiye ameanzisha uzi hapa.
Kama hamtaki wakenya wacomment, pelekeni hadithi zote za Tanzania Jukwaa la Siasa.
 
Sasa point yako ni nini? Kwamba bandari ya Dar ina handle mizigo mingi zaidi ya bandari ya Mombasa? Au point yako ni hahaha?
Wewe ulipokua unazungumzia 82% ya mizigo ya Uganda ulikua unamaanisha nini?. Kwa taarifa yako mizigo mingi iliyokua inapelekwa Uganda ilikua ni Mizigo ya UN kwa ajili ya wakimbizi wa DRC na South Sudan. UN wameanza kutumia Dar to Kampala railway. Uganda tumewajengea reli toka Port bell hadi Kampala. Yafuatayo yabafurahisha sana.
 
Ndio kwanza Mzee ana miaka minne tuu mmeanza kulia hahahaha huu mwendo mpaka 2025 asee mna msiba mrefuu hahahahaha ....
Na bado Mbona badoooooooo

Wanaolia ni nyie mliokaziwa vyuma na maisha kuwa magumu kitaa, mnalia kila siku. Sisi huku tutaumia vipi wakati uongozi wa huyo mzee wenu hautuhusu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…