Labda kama unazungumzia Kenya nyingine, hizi ni taarifa kutoka kwa World Bank, na hii ilikuwa ni Desemba 2018. Kenya ilikuwa inaongoza ukanda huu wote na Electricity Connectivity ya 75%. Huku 'projections' za WB zikionyesha kwamba Kenya itafikia Universal Coverage ya 100% kufikia mwaka wa 2022. Kenya Charts Path to Achieving Universal Access to Electricity
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.