Ndio aliingia nafasi ya samatta kuja kulinda ushindi...dah sasa majanga tena hayaIbrahim Ame sikumbuki ila ni kama alichukua nafasi ya Samatta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio aliingia nafasi ya samatta kuja kulinda ushindi...dah sasa majanga tena hayaIbrahim Ame sikumbuki ila ni kama alichukua nafasi ya Samatta
Wakuu,
Mwandishi wa habari za michezo wa Ghana, Micky Jr ameripoti kuwa, Tanzania inaweza kuondolewa kushiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini Morocco licha ya kufuzu, baada ya kukiuka kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).
Pia, Soma:
Katika dakika ya 73 ya mechi yao ya kufuzu, Tanzania ilifanya mabadiliko na kumuingiza mchezaji aliyekuwa na jezi namba 26. Hata hivyo, kwenye orodha rasmi ya wachezaji iliyowasilishwa CAF kabla ya mechi, hakukuwa na mchezaji yeyote aliyekuwa ameambatanishwa na namba hiyo ya jezi.
- Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
- Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON
- Hizi milioni 700 za Rais Samia kwa Taifa Stars, zinawahusu wachezaji walioitwa mara ya mwisho kufuzu AFCON 2025 au mgao ukoje?
Kwenye Media start list Ibrahim Mohamed Ame ambaye ndiye alivaa jezi namba 26 aliorodheshwa na namba 24, ambaye aliingia dakika ya 76 kuchukua nafasi ya Nahodha Mbwana Samatta.
mama yetu anahela atawatuliza na kuwafunga midomo hao CAF na tunasonga mbeleWakuu,
Mwandishi wa habari za michezo wa Ghana, Micky Jr ameripoti kuwa, Tanzania inaweza kuondolewa kushiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini Morocco licha ya kufuzu, baada ya kukiuka kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).
Pia, Soma:
Katika dakika ya 73 ya mechi yao ya kufuzu, Tanzania ilifanya mabadiliko na kumuingiza mchezaji aliyekuwa na jezi namba 26. Hata hivyo, kwenye orodha rasmi ya wachezaji iliyowasilishwa CAF kabla ya mechi, hakukuwa na mchezaji yeyote aliyekuwa ameambatanishwa na namba hiyo ya jezi.
- Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
- Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON
- Hizi milioni 700 za Rais Samia kwa Taifa Stars, zinawahusu wachezaji walioitwa mara ya mwisho kufuzu AFCON 2025 au mgao ukoje?
Kwenye Media start list Ibrahim Mohamed Ame ambaye ndiye alivaa jezi namba 26 aliorodheshwa na namba 24, ambaye aliingia dakika ya 76 kuchukua nafasi ya Nahodha Mbwana Samatta.
Atleast mziki naeza nikachagua tune ninayoipenda.Na mziki nao husikilizi? Maana huko nasikia visida vinachezewa kama watoto wanavyocheza na golori
Ni sahihi kabisa mkuu. TFF wanatoa taarifa kama wamekatwa vichwa. Bora wangekaa kimya tu. Walipaswa kuweka ufafanuzi wa uhalali basi.Taarifa hii ya TFF haijitoshelezi na haijibu hoja husika
Taarifa hiyo ilitakiwa ifafanunue huyo mchezaji aliyeingia sub alivaa jezi namba ngapi na ndiyo hiyo iliyowasilishwa kwa mamlaka husika kabla ya mechi?
Wakuu,
Mwandishi wa habari za michezo wa Ghana, Micky Jr ameripoti kuwa, Tanzania inaweza kuondolewa kushiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini Morocco licha ya kufuzu, baada ya kukiuka kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).
Pia, Soma:
Katika dakika ya 73 ya mechi yao ya kufuzu, Tanzania ilifanya mabadiliko na kumuingiza mchezaji aliyekuwa na jezi namba 26. Hata hivyo, kwenye orodha rasmi ya wachezaji iliyowasilishwa CAF kabla ya mechi, hakukuwa na mchezaji yeyote aliyekuwa ameambatanishwa na namba hiyo ya jezi.
- Full Time: Tanzania 1 - 0 Guinea | 2025 AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 19.11.2024
- Rais Samia aipa Taifa Stars Milioni 700 kufuzu AFCON
- Hizi milioni 700 za Rais Samia kwa Taifa Stars, zinawahusu wachezaji walioitwa mara ya mwisho kufuzu AFCON 2025 au mgao ukoje?
Kwenye Media start list Ibrahim Mohamed Ame ambaye ndiye alivaa jezi namba 26 aliorodheshwa na namba 24, ambaye aliingia dakika ya 76 kuchukua nafasi ya Nahodha Mbwana Samatta.