Tanzania hatujawahi kulala njaa kwa kukosa mkopo dhidi ya COVID-19, woga na tamaa ndiyo itakayotumaliza

Tanzania hatujawahi kulala njaa kwa kukosa mkopo dhidi ya COVID-19, woga na tamaa ndiyo itakayotumaliza

IMF imeitega Tz Kwa kutaka kuipa mkopo wa kupambana na C - 19 na kuielekeza jinsi inapaswa ifanye ili ipewe huo mkopo

Ok, pale mwenye nacho anapotaka kumyang'anya zaidi mwenye kidogo, na Masikini

Mtu jasiri akitaka kurogwa na Mchawi huanza kwa kutishiwa tishiwa, mara sijui kesho hutaiona, mara sijui nitakufanya hiki na kile ili tu amwondolee ujasiri wake, amtie hofu na iwe vyepesi kwake kurogeka.

Maneno meeengi, na kikawaida, mtu hurogeka pindi anapokuwa amejawa na hofu ya kurogwa, hofu ya maisha ya itakuwaje sasa, mtu huyo ni rahisi saana kurogeka

Kukubali mkopo wa IMF na masharti yake, kisa tu tukabiriane na ugonjwa wa Corona, ni kumruhusu shetani mla watu kwamba, tuko tayari afanye atakavyo

Jambo la kujiuliza, Je, mpaka sasa, ni Kweli Tanzania tumeathirika mno kiasi cha kuhitaji msaada wa kifedha za masharti ambayo ndiyo yanayoambatana na maambukizi ya Corona kwa kasi kubwa?

Tanzania hatujawahi kufa njaa kwa sababu ya kutokukopa fedha za IMF ili kukabiliana na ugonjwa wa Corona.

Ila nina uhakika, endapo tukikubali kuingia huu mtego wa fedha hizo, Corona itasambaa kwa kasi ya ajabu!

Kwanza, tutakuwa tumefanya uongo Mbele za Mungu kusema, tumeathirika mno na tunahitaji msaada huo na wakati kila kitu Kinafanyika bila zingatio lolote!

Tanzania, Tumepewa nafasi nzuri Sana na Mwenyezi Mungu wa kujifunza kutoka mataifa mengine yaliyopokea misaada hiyo pamoja na kufuata masharti yake jinsi ambavyo watu wake walivyotabika, na bado tumeendelea kujifunza tena Kwa mataifa ambayo yaliyoanza kupokea chanjo,

Kwa hiyo Sisi kama nchi, tusiishie tu kupata somo kutoka Kwa mataifa mengine na somo Hilo lisitusaidie na kufanya tena kama walivyofanya wao. Itakuwa ni ujinga

Tunahitaji kufanya tofauti na wao

Mungu ibariki na kuilinda nchi yetu Tanzania

Kwani hadi unaitwa mkopo, mkopaji anaitwa kwenda kuchukua au anaomba tena kwa masharti magumu?

IMG_20210610_140144_633.jpg


Danganyeni mamburula wenzenu.

Ukweli ni kuwa takwimu ni haki yetu. Kwa sisi kupewa takwimu kuna pia incentive ya mkopo.

Shida iko wapi hapo?

Au hofu ya uwepo wa mwendazake ingalipo?
 
Hata leo inasomwa bungeni budget feki.

Upatikanaji wa pesa utategemea makusanyo, siasa, mikopo na misaada.

Pesa zinaweza kupelekwa sehemu ambayo hata haikupangiwa budget.
nimecheeeka Sana mkuu Kwa comment yako hii

Bajeti feki, maendeleo feki
 
Kwani hadi unaitwa mkopo, mkopaji anaitwa kwenda kuchukua au anaomba tena kwa masharti magumu?

Danganyeni mamburula wenzenu.

Ukweli ni kuwa takwimu ni haki yetu. Kwa sisi kupewa takwimu kuna pia incentive ya mkopo.

Shida iko wapi hapo?

Au hofu ya uwepo wa mwendazake ingalipo?
Hii inaitwa, tawala mawazo yako! Unachokiamini kishike, Ila ukweli tusiukwepe, Hatujaathirika kiasi cha kuhitaji mikopo inayofuatana na covd ndani yake
 
Athari za covid-19 zimewafikia hata wale ambao hawakuathirika sana na huo ugonjwa.
Sisi tulikuwa na athari zipi maana kama ni uchumi ulikuwa unakuwa mpaka tukaingia uchumi wa kati.
 
Tunafungua Duka wakat wenzetu wanakaribia kufunga maduka

Nilisema hapa kuwa hayo barakoa wanayovaa kuna kitu nyuma yake tuendelee kula mtori nyama zipo chini leo wavuja jasho watakuja kulipa deni la mikopo ya Corona ambao hauexit ktk maisha yetu, Tanzania yapo magonjwa ambayo yanasumbua kama Maralia,Kansa na mengine si Corona

Inasikitisha sana kufanya kazi na mtu ambae yupo pale kwa mshahara na cheo lakini Ideology yako haiamini naona umuhimu wa katiba mpya na baadhi ya vyeo vitolewe tu coz baadae vinaweza kuleta hatari ikitokea mtu ambae si mwaminifu na mroho wa madaraka
Bora tusingefunguwa kabisa!!
 
Hii inaitwa, tawala mawazo yako! Unachokiamini kishike, Ila ukweli tusiukwepe, Hatujaathirika kiasi cha kuhitaji mikopo inayofuatana na covd ndani yake

Kwani nani kamwita nani kwenda kuhitaji au kuchukua mkopo?

Kwanini hudhani habari ya mkopo ni kwa sababu tumeuomba:

IMG_20210610_140144_633.jpg


Watanzania kwa kujishasha tuko vizuri. Ikumbukwe kuwa "no one is dying to advance us money!"

Huo ndiyo ulio ukweli mchungu kwa ile nchi ambayo Kibongo bongo inadhani kuwa ati ni tajiri kabisa kuliko zote duniani.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
IMF imeitega Tz Kwa kutaka kuipa mkopo wa kupambana na C - 19 na kuielekeza jinsi inapaswa ifanye ili ipewe huo mkopo

Ok, pale mwenye nacho anapotaka kumyang'anya zaidi mwenye kidogo, na Masikini

Mtu jasiri akitaka kurogwa na Mchawi huanza kwa kutishiwa tishiwa, mara sijui kesho hutaiona, mara sijui nitakufanya hiki na kile ili tu amwondolee ujasiri wake, amtie hofu na iwe vyepesi kwake kurogeka.

Maneno meeengi, na kikawaida, mtu hurogeka pindi anapokuwa amejawa na hofu ya kurogwa, hofu ya maisha ya itakuwaje sasa, mtu huyo ni rahisi saana kurogeka

Kukubali mkopo wa IMF na masharti yake, kisa tu tukabiriane na ugonjwa hewa wa Corona nchini, ni kumruhusu shetani mla watu kwamba, tuko tayari afanye atakavyo kufanya, kwani tnaona huko Kwa wenzetu mambo yalivyo, baada tu ya kutiwa hofu na wakakubali kupewa mikopo hii

Jambo la kujiuliza, Je, mpaka sasa, ni Kweli Tanzania tumeathirika mno kiasi cha kuhitaji msaada wa kifedha za masharti ambayo ndiyo yanayoambatana na maambukizi ya Corona kwa kasi kubwa?

Tanzania hatujawahi kufa njaa kwa sababu ya kutokukopa fedha za IMF ili kukabiliana na ugonjwa wa Corona.

Ila nina uhakika, endapo tukikubali kuingia huu mtego wa fedha hizo, Corona itasambaa kwa kasi ya ajabu!

Kwanza, tutakuwa tumefanya uongo Mbele za Mungu kusema, tumeathirika mno na tunahitaji msaada huo na wakati kila kitu Kinafanyika bila zingatio lolote!

Tanzania, Tumepewa nafasi nzuri Sana na Mwenyezi Mungu wa kujifunza kutoka mataifa mengine yaliyopokea misaada hiyo pamoja na kufuata masharti yake jinsi ambavyo watu wake walivyotabika, na bado tumeendelea kujifunza tena Kwa mataifa ambayo yaliyoanza kupokea chanjo,

Kwa hiyo Sisi kama nchi, tusiishie tu kupata somo kutoka Kwa mataifa mengine na somo Hilo lisitusaidie na kufanya tena kama walivyofanya wao. Itakuwa ni ujinga

Tunahitaji kufanya tofauti na wao

Mungu ibariki na kuilinda nchi yetu Tanzania
Unaposema Tanzania hatujawai kulala njaa kwakukosa mkopo wa covid 19 nakupinga wewe jisemee wewe kama wewe mimi nishalala njaa malakibao kwakukosa mkopo wa covid 19, Gharama zilizotumika kwenda Madagasika na kuchukua muarobaini tungegawiwa wanyonge tuongeongeza mtaji wa biashara zetu kwenye kipindi kigumu cha covid 19
 
Mtego wa corona upo kwenye idadi ya wagonjwa,maana wanajua wakikubana utangaze visa vitaongezeka tu kupitia vipimo feki,mask feki na chanjo feki.
lockdown utaifanya tu upende usipende.
Litakapo fika swala la lockdon,lawama atakazo zipata mama yetu zitakuwa mbaya sana kuwahi tokea,nafuu kama angeachana na huo mkopo.
Hizo data zinasaidia nini wananchi?
Wanakotangaza visa vimewasaidia kumaliza visa?
Au imekuwa tu ni njia ya mabeberu kumonitor tu kuzilazimisha nchi zijifungie Ili uchumi uendelee kuharibika ili watoe mikopo zaidi wale faida?.
Viongozi amueni tu mnavyo jisikia sasa,ila madhara ya kutangaza visa ni makubwa sana.
 
IMF imeitega Tz Kwa kutaka kuipa mkopo wa kupambana na C - 19 na kuielekeza jinsi inapaswa ifanye ili ipewe huo mkopo

Ok, pale mwenye nacho anapotaka kumyang'anya zaidi mwenye kidogo, na Masikini

Mtu jasiri akitaka kurogwa na Mchawi huanza kwa kutishiwa tishiwa, mara sijui kesho hutaiona, mara sijui nitakufanya hiki na kile ili tu amwondolee ujasiri wake, amtie hofu na iwe vyepesi kwake kurogeka.

Maneno meeengi, na kikawaida, mtu hurogeka pindi anapokuwa amejawa na hofu ya kurogwa, hofu ya maisha ya itakuwaje sasa, mtu huyo ni rahisi saana kurogeka

Kukubali mkopo wa IMF na masharti yake, kisa tu tukabiriane na ugonjwa hewa wa Corona nchini, ni kumruhusu shetani mla watu kwamba, tuko tayari afanye atakavyo kufanya, kwani tnaona huko Kwa wenzetu mambo yalivyo, baada tu ya kutiwa hofu na wakakubali kupewa mikopo hii

Jambo la kujiuliza, Je, mpaka sasa, ni Kweli Tanzania tumeathirika mno kiasi cha kuhitaji msaada wa kifedha za masharti ambayo ndiyo yanayoambatana na maambukizi ya Corona kwa kasi kubwa?

Tanzania hatujawahi kufa njaa kwa sababu ya kutokukopa fedha za IMF ili kukabiliana na ugonjwa wa Corona.

Ila nina uhakika, endapo tukikubali kuingia huu mtego wa fedha hizo, Corona itasambaa kwa kasi ya ajabu!

Kwanza, tutakuwa tumefanya uongo Mbele za Mungu kusema, tumeathirika mno na tunahitaji msaada huo na wakati kila kitu Kinafanyika bila zingatio lolote!

Tanzania, Tumepewa nafasi nzuri Sana na Mwenyezi Mungu wa kujifunza kutoka mataifa mengine yaliyopokea misaada hiyo pamoja na kufuata masharti yake jinsi ambavyo watu wake walivyotabika, na bado tumeendelea kujifunza tena Kwa mataifa ambayo yaliyoanza kupokea chanjo,

Kwa hiyo Sisi kama nchi, tusiishie tu kupata somo kutoka Kwa mataifa mengine na somo Hilo lisitusaidie na kufanya tena kama walivyofanya wao. Itakuwa ni ujinga

Tunahitaji kufanya tofauti na wao

Mungu ibariki na kuilinda nchi yetu Tanzania
Your head need to be examined
 
Tunafungua Duka wakat wenzetu wanakaribia kufunga maduka

Nilisema hapa kuwa hayo barakoa wanayovaa kuna kitu nyuma yake tuendelee kula mtori nyama zipo chini leo wavuja jasho watakuja kulipa deni la mikopo ya Corona ambao hauexit ktk maisha yetu, Tanzania yapo magonjwa ambayo yanasumbua kama Maralia,Kansa na mengine si Corona

Inasikitisha sana kufanya kazi na mtu ambae yupo pale kwa mshahara na cheo lakini Ideology yako haiamini naona umuhimu wa katiba mpya na baadhi ya vyeo vitolewe tu coz baadae vinaweza kuleta hatari ikitokea mtu ambae si mwaminifu na mroho wa madaraka
Dikteta aligoma kuvaa barakoa, Covid19 ikalalanae mbele!!!
 
Mtego wa corona upo kwenye idadi ya wagonjwa,maana wanajua wakikubana utangaze visa vitaongezeka tu kupitia vipimo feki,mask feki na chanjo feki.
lockdown utaifanya tu upende usipende.
Litakapo fika swala la lockdon,lawama atakazo zipata mama yetu zitakuwa mbaya sana kuwahi tokea,nafuu kama angeachana na huo mkopo.
Hizo data zinasaidia nini wananchi?
Wanakotangaza visa vimewasaidia kumaliza visa?
Au imekuwa tu ni njia ya mabeberu kumonitor tu kuzilazimisha nchi zijifungie Ili uchumi uendelee kuharibika ili watoe mikopo zaidi wale faida?.
Viongozi amueni tu mnavyo jisikia sasa,ila madhara ya kutangaza visa ni makubwa sana.
Nakuona mkuu ulivyo na uchungu wa nchi yako, aisee Ubarikiwe sana
 
IMF imeitega Tz Kwa kutaka kuipa mkopo wa kupambana na C - 19 na kuielekeza jinsi inapaswa ifanye ili ipewe huo mkopo

Ok, pale mwenye nacho anapotaka kumyang'anya zaidi mwenye kidogo, na Masikini

Mtu jasiri akitaka kurogwa na Mchawi huanza kwa kutishiwa tishiwa, mara sijui kesho hutaiona, mara sijui nitakufanya hiki na kile ili tu amwondolee ujasiri wake, amtie hofu na iwe vyepesi kwake kurogeka.

Maneno meeengi, na kikawaida, mtu hurogeka pindi anapokuwa amejawa na hofu ya kurogwa, hofu ya maisha ya itakuwaje sasa, mtu huyo ni rahisi saana kurogeka

Kukubali mkopo wa IMF na masharti yake, kisa tu tukabiriane na ugonjwa hewa wa Corona nchini, ni kumruhusu shetani mla watu kwamba, tuko tayari afanye atakavyo kufanya, kwani tnaona huko Kwa wenzetu mambo yalivyo, baada tu ya kutiwa hofu na wakakubali kupewa mikopo hii

Jambo la kujiuliza, Je, mpaka sasa, ni Kweli Tanzania tumeathirika mno kiasi cha kuhitaji msaada wa kifedha za masharti ambayo ndiyo yanayoambatana na maambukizi ya Corona kwa kasi kubwa?

Tanzania hatujawahi kufa njaa kwa sababu ya kutokukopa fedha za IMF ili kukabiliana na ugonjwa wa Corona.

Ila nina uhakika, endapo tukikubali kuingia huu mtego wa fedha hizo, Corona itasambaa kwa kasi ya ajabu!

Kwanza, tutakuwa tumefanya uongo Mbele za Mungu kusema, tumeathirika mno na tunahitaji msaada huo na wakati kila kitu Kinafanyika bila zingatio lolote!

Tanzania, Tumepewa nafasi nzuri Sana na Mwenyezi Mungu wa kujifunza kutoka mataifa mengine yaliyopokea misaada hiyo pamoja na kufuata masharti yake jinsi ambavyo watu wake walivyotabika, na bado tumeendelea kujifunza tena Kwa mataifa ambayo yaliyoanza kupokea chanjo,

Kwa hiyo Sisi kama nchi, tusiishie tu kupata somo kutoka Kwa mataifa mengine na somo Hilo lisitusaidie na kufanya tena kama walivyofanya wao. Itakuwa ni ujinga

Tunahitaji kufanya tofauti na wao

Mungu ibariki na kuilinda nchi yetu Tanzania
Tukiendekeza ujinga huu, yatatukuta ya India ambao walishaanza kujimwambafy kuwa wameimaliza Covid
 
Hii inaitwa, tawala mawazo yako! Unachokiamini kishike, Ila ukweli tusiukwepe, Hatujaathirika kiasi cha kuhitaji mikopo inayofuatana na covd ndani yake
Dikteta aliivimbia Covid19 ,mwisho wa siku ikalalanae mbele
 
Dikteta aligoma kuvaa barakoa, Covid19 ikalalanae mbele!!!
Furahia basi, na au ufanye sherehe kabisa, tuone kama Mungu itamfanya abadili mawazo yake pindi atakapotaka kukuchukua na wewe!!
 
Uganda, Kenya wamechukua na 80% imeishia kwa ofisi ya Rais, posho za wabunge nk.

Bora tukope pesa kama hizo tuzipeleke kwenye Kilimo cha kisasa ( umwagiaji, mbegu bora, tractors, mbolea,
😁😁Mkopo wa posho 🤪🤪.

Hongera mkuu,kweli huu mkopo kwanza sio wa lazima,wakitaka watupe msaada na sio mkopo
 
Back
Top Bottom