Tanzania hatuna wachambuzi

Football analysis ni course kama course nyingine tatizo Kibongobongo watu wanaichukulia poa..

Nikishakuwa na bando langu, Smartphone na kujua baadhi ya istilahi mfano Low block, double pivot, Pressing, formation n.k basi naweza kujiita mchambuzi

SMH!
 
Kwangu mchambuzi wangu makini ni Tembele Ally mwana wa Mayai.
 
Dah.mwanangu umeongea kitu ambacho kila siku naona tabu hawa waandishi wakiwahoji wageni ni aibu tupu.mpaka aibu naona mimi ninae angalia tv kumuona mtangazaji kabisa anahoji kwa lugha za kuunga unga hawajui kama wanatutia aibu watanzania .tena kuna hizi youtube channel ndio hamna kitu kabisa .yule mtangazaji wa baraka mpenja ndio hamnazo ana swali lake moja hilo hilo la kiingireza anamuuliza kila mtu.Aiseee ni aibu.na kule yule mtangazaji wa shafih dauda mweusi hivi aiseee ni hovyo alafu sijui wenyewe hawajion
 
Tatizo ni kwamba watu bright na wenye uelewa mkubwa hawapati nafasi za kuonesha uwezo wao. Badala yake watu wajanja wajanja na wasio na uwezi ndio wanapata hizo fursa. Sasa mwishowe kama taifa tunaonekana watu wa ovyo kwasababu wachache wasio na weledi wala uwezo ndio wamepata fursa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…