Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu


Unfortunately, political noises are the loudest kind and so infectious that nothing remains pure! Nothing!
 
Unfortunately, political noises are the loudest kind and so infectious that nothing remains pure! Nothing!
you are right , but they are also misleading and un-reliable.
in my own view we should listen to specific kind of noise.. on that politician dont pay attention to.
i think the truth its always in that 1% of voices, just it comes in pieces called rumors.
 
Reactions: BRB
Dini zetu zilikuja na wakoloni, wakoloni walikuwa wanakula, kunywa na kusali pamoja na wamisionari bila kukemeana, waliondoka wakoloni wakabaki wamissionari. Basi kama A =b na b = c basi a = c pia.
 
Reactions: BRB
nafikir una miss the point hapo. sijaandika jinsi alivyo zikwa.
how the mission was carried ndio nilicho fafanua.

hiyo habari sijui lazikwa baharini sijui mbinguni.. mm sitaki kujua or kuwa interested.
Ile Ni movie hamna misheni pale bro ndio maana nikafananisha na waliouliwa na USA kiukweli waliuawa mubashara.
 
Ikulu mliijaza watu wasio na iwezo bali wenye akili za kulinda matakwa ya Makomeo wala haishangazi ku diffuse maadui hadi Ikulu tamaa za madaraka na umimi ndio zimepelekea hayo
 
Ile Ni movie hamna misheni pale bro ndio maana nikafananisha na waliouliwa na USA kiukweli waliuawa mubashara.
narudia tena. i dont care ni movie or makorokocho gani . i am not a conspiracy theorist .. not a fan.

Nime state key players .. tactical field teams & decision makers.
 

Chief, Rumors are uncertain, unverified or doubtful Truth!

Politics are the back bone of any State or Nation, nothing can be achieved without it! The only problem is the Filthiest kind of politics that Africa and its people have developed!

Side note; the Military & Security histories are bound with politics and politicians!

Siasa haikwepeki popote pale, inatumikaje ndipo maumivu yalipo!
 
Nilishangaa taarifa “sensitive” kama zile zimezagaa mitandaoni, VP alifanya hitimisho tu usiku ule.
TISS ipo compromised sana.
 
Kazi ya kwanza na kubwa kwa Raisi wetu mpya Mama Samia Hassan, ni kuhakikisha anauvunja hule MTANDAO wa KKGOGO 2014.

Mengine yatafuata baadae...
 
Taarifa za siri zipi? Hizi za watu kutaka kuiba bilioni 189? Taarifa za siri za vyombo kushirikiana na chama kudhulum demokrasia na haki za wananchi? Ndio unazoita za siri?
 
Hizo hisia zako. Kama unawajua na ni akina nani kwanini usiwaambie TISS wakawa-nutralize kabla ya kuleta madhara makubwa kama kweli wapo na si ndoto zako mwanangu?
 
Tiss ishakuwa ni ccm. Haishangazi hata kidogo.
 
Na Hao ndio walio changia kifo chake
 
Waiting in vain. Magufuli mna mu-over rate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…