Tanzania hatupo salama, Maadui wamepenya hadi Ikulu

Watoa siri 14...wako team awamu ya 4.. wameweka hujuma pembeni kwakuwa wana matumaini ya mama...
 
Mtu akiukueleza kifo Cha Magufuli 'aforetime, anaihatarisha vipi nchi?
 
Unajua adui wa nchi siku zote yupo humo humo ndani!

Kutakuwa na watu TISS na baadhi ya wastaafu ambao kazi yao ni kuizomea, kuifanya serikali ionekane sio ya maana!

Kama vyombo husika wakitaka kufuatilia hili swala, wasiende mbali.
 
Kwani Ikulu mali ya mtu binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…