Hilo tumeshalisema sana hapa, sehemu kubwa ya Tanzania (naamini 85%) biashara haitambuliki. Unga, chumvi, maharage , mahindi, nyama n.k vinapimwa kwa kibaba, serikali hata haina habari kama kuna biashara imefanyika. Tena hiyo $279 mil ni kadirio la chini.Tanzania is among of the countries with the largest informal sector compared to the informal ones, if they will include the informal sector their country economy will be tripple and one of the biggest and healthy economy
Wacheni maneno mengi sio Tanzania pekee nchi zote za sub Saharan Africa apart from South Africa informal sector ina account for 80% ya gdp but huwa hazihesabiwi.Hilo tumeshalisema sana hapa, sehemu kubwa ya Tanzania (naamini 85%) biashara haitambuliki. Unga, chumvi, maharage , mahindi, nyama n.k vinapimwa kwa kibaba serikali hata haina habari kama kuna biashara imefanyika. Tena hiyo $279 mil ni kadirio la chini.
Katika kitu ambacho ningemshauri Rais kwenye kodi ni kutengneza mfumo rafiki wa kuruhusu rekodi hizi za kibiashara zina nakiliwa.
Siyo zote, Kenya, Zimbabwe, Botswana, Namibia n.k bidhaa zao nyingi za vyakula nchi hizo zipo kwenye packages, hivyo serikali zao zinajua kiasi kikubwa cha biashara inayofanyika.Wacheni maneno mengi sio Tanzania pekee nchi zote za sub Saharan Africa apart from South Africa informal sector ina account for 80% ya gdp but huwa hazihesabiwi.
Leta ushahidi juu sitaki tubishane vitu vya kipuuzi....Siyo zote, Kenya, Zimbabwe, Botswana, Namibia n.k bidhaa zao nyingi za vyakula nchi hizo zipo kwenye packages, hivyo serikali zao zinajua kiasi kikubwa cha biashara inayofanyika.
Matusi ya nini? Huwezi kuhoji kwa staha?Leta ushahidi juu sitaki tubishane vitu vya kipuuzi....
Uko sawa mkuu, wakenya juzi wamepitishiwa sheria ya kutouza maziwa kama huku bongo yanavyouzwaMatusi ya nini? Huwezi kuhoji kwa staha?
Botswana na Namibia chumi zao zina mfumo kama wa SA wao hawanunui bidhaa za magengeni kama Tanzania.
Zimbabwe, walowezi akina Ian Smith waliweka mfumo wa kuwa na wakulima wakubwa wachache ambao wanauza mazao kwenye viwanda ambavyo vinaongeza thamani na kuweka kwenye mifuko/maboksi/makopo na kuuza kwenye supermarket. Ndiyo maana ilikuwa rahisi kum-fix Mugabe alipowanyang'anya walowezi mashamba.
Kenya kwa kiasi kuna mfumo huo huo ambao mwanzo uliwekwa na waingereza na baada ya uhuru ukaendelezwa. Mfano biashara ya maziwa hakuna mkenya anayeweza shindana na familia ya Kenyatta.
Tanzania biashara ya maziwa kwa kiasi kikubwa inaendeshwa na mtu mmoja mmoja, huku maziwa yakiuzwa bila ya kuongezewa thamani. Hivyo kuacha kiasi kikubwa cha uchumi kutokurekodiwa na hivyo kushusha kiwango cha GDP.
kenya ni yao ila hawaijui.Matusi ya nini? Huwezi kuhoji kwa staha?
Botswana na Namibia chumi zao zina mfumo kama wa SA wao hawanunui bidhaa za magengeni kama Tanzania.
Zimbabwe, walowezi akina Ian Smith waliweka mfumo wa kuwa na wakulima wakubwa wachache ambao wanauza mazao kwenye viwanda ambavyo vinaongeza thamani na kuweka kwenye mifuko/maboksi/makopo na kuuza kwenye supermarket. Ndiyo maana ilikuwa rahisi kum-fix Mugabe alipowanyang'anya walowezi mashamba.
Kenya kwa kiasi kuna mfumo huo huo ambao mwanzo uliwekwa na waingereza na baada ya uhuru ukaendelezwa. Mfano biashara ya maziwa hakuna mkenya anayeweza shindana na familia ya Kenyatta.
Tanzania biashara ya maziwa kwa kiasi kikubwa inaendeshwa na mtu mmoja mmoja, huku maziwa yakiuzwa bila ya kuongezewa thamani. Hivyo kuacha kiasi kikubwa cha uchumi kutokurekodiwa na hivyo kushusha kiwango cha GDP.
Hah nothing like that,Matusi ya nini? Huwezi kuhoji kwa staha?
Botswana na Namibia chumi zao zina mfumo kama wa SA wao hawanunui bidhaa za magengeni kama Tanzania.
Zimbabwe, walowezi akina Ian Smith waliweka mfumo wa kuwa na wakulima wakubwa wachache ambao wanauza mazao kwenye viwanda ambavyo vinaongeza thamani na kuweka kwenye mifuko/maboksi/makopo na kuuza kwenye supermarket. Ndiyo maana ilikuwa rahisi kum-fix Mugabe alipowanyang'anya walowezi mashamba.
Kenya kwa kiasi kuna mfumo huo huo ambao mwanzo uliwekwa na waingereza na baada ya uhuru ukaendelezwa. Mfano biashara ya maziwa hakuna mkenya anayeweza shindana na familia ya Kenyatta.
Tanzania biashara ya maziwa kwa kiasi kikubwa inaendeshwa na mtu mmoja mmoja, huku maziwa yakiuzwa bila ya kuongezewa thamani. Hivyo kuacha kiasi kikubwa cha uchumi kutokurekodiwa na hivyo kushusha kiwango cha GDP.
Ni kwasababu pesa chafu zimeondolewa kwenye mzunguko katika awamu hii.Hah nothing like that,
Na mbona hakuna mzunguko wa pesa ya maana Tanzania...
Ni kwasababu pesa chafu zimeondolewa kwenye mzunguko katika awamu hii.
kipindi cha Mwinyi (1991-1995) kulikuwa na mzunguko mkubwa sana kwasababu serikali ilichapisha sarafu nyingi. Watu waliacha kufanya kazi kwa kuwa pesa zilikuwepo nyingi mitaani, japokuwa hazikuakisi uchumi. Pesa hizo zilizozunguka hazikutokana na uzalishaji, hivyo hoja ya pesa nyingi mitaani siyo kigezo cha uchumi imara.
Sometimes ni vizuri kukubali ukweli ata kama unalipwa kutetea serikali,ati uzalendo.Ni kwasababu pesa chafu zimeondolewa kwenye mzunguko katika awamu hii.
kipindi cha Mwinyi (1991-1995) kulikuwa na mzunguko mkubwa sana kwasababu serikali ilichapisha sarafu nyingi. Watu waliacha kufanya kazi kwa kuwa pesa zilikuwepo nyingi mitaani, japokuwa hazikuakisi uchumi. Pesa hizo zilizozunguka hazikutokana na uzalishaji, hivyo hoja ya pesa nyingi mitaani siyo kigezo cha uchumi imara.
ukweli ni ule unaousema wewe tu[emoji16][emoji16][emoji16].Sometimes ni vizuri kukubali ukweli ata kama unalipwa kutetea serikali,ati uzalendo.
Hata mimi nimeshangaa sana.halafu kumbe nyinyi kuongea mazuri ya nchi yenu mpaka mlipwe!!!!!heeeeee.
Sema hivyo tena na tena mkuu. Halafu wanapenda sana kusema "Dar is the largest city in EA" lakini its just in population sio kiuchumi wala kimaendeleo.Wabongo bana na porojo zao. Huwa wanaiponda GDP ya Kenya ila na wao pia wanatamani wangekuwa na GDP kubwa zaidi. Usidhubutu kuwauliza kwanini wanatamani 'GDP kubwa ya makaratasi', watakuroga bure.
Sasa wewe kama hauwezi kuandika sentensi na sarufi timamu pekee utaweza mambo mazito ya kiuchumi?Tanzania is among of the countries with the largest informal sector compared to the informal ones, if they will include the informal sector their country economy will be tripple and one of the biggest and healthy economy