jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Wasalaamu kwa wanaJF wote!
Nimepata fursa ya kuhudhuria mkutano mkuu wa madaktari viongozi katika sekta afya jijini Dodoma ulioanza leo tarehe 20 mwezi agosti 2019.
Pamoja na ukweli kuwa madaktari sio watu wa kujikweza lakini ni vyema tukatambua kuwa ipo kazi iliyotukuka inayofanywa na Serikali katika sekta ya afya kupitia madaktari au niseme uongozi wa kiutawala eneo la madaktari viongozi.
Ndani ya miezi sita madaktari waliopata fursa ya kuwa viongozi wameweza kifanikisha mambo mazito na ya kuacha alama katika jamii!
madaktari hawa viongozi wameweza kufanikisha ukamilishwaji wa ujenzi wa wa hospitali za wilaya 67 hili sio jambo la kubezwa na credits zitawaendea wote haswa madaktari viongozi waliopo wizara ya Afya na Ofisi ya Rais Tamisemi dawati la Afya.This is signficant change and outcome! Mungu awape nini zaidi ya baraka?
Ninaiona future nzuri ya Tanzania yenye afya kupitia uongozi huu mzuri wa sekta ya afya unayojengwa na ofisi ya Rais Tamisemi na wizara ya afya.
Katika mafanikio haya makubwa katika sekta ya afya ambayo kwa namna fulani hayajatajwa sana ni muhimu kuwataja wanaume na wanawake wa kazi wanaoendelea kuyasimamia mabadiliko haya ya kihistoria katika sekta ya Afya.
Kwa fursa hii napenda kuwataja wachache ili jamii iwatambue katika mabadiliko chanya ya sekta ya afya !
1-Waziri wa Nchi Tawala za mikoa na Serikali za mitaa-Mh Jafo
2-Waziri wa Afya -Ummy Mwalimu
3-Makatibu wakuu wa wizara ya afya na Tamisemi haswa Dr Chaula
4-Naibu katibu mkuu Tamisemi anayedeal na afya..Dr Dorothy Gwajima
5-Mganga mkuu wa Serikali-Dr Bakari(mwalimu wangu)
6-Director of Health Services Dr Ntuli Kapologwe(very humble and understanding(
7-Waganga wakuu katika mikoa na Halmashauri zote.
8-Mkurugenzi wa MNH na JKCI
8-Watumishi wote wa Sekta ya Afya.
Hao niliowataja pamoja na Think Tanks wote katika tasnia ya afya.
..
Nimepata fursa ya kuhudhuria mkutano mkuu wa madaktari viongozi katika sekta afya jijini Dodoma ulioanza leo tarehe 20 mwezi agosti 2019.
Pamoja na ukweli kuwa madaktari sio watu wa kujikweza lakini ni vyema tukatambua kuwa ipo kazi iliyotukuka inayofanywa na Serikali katika sekta ya afya kupitia madaktari au niseme uongozi wa kiutawala eneo la madaktari viongozi.
Ndani ya miezi sita madaktari waliopata fursa ya kuwa viongozi wameweza kifanikisha mambo mazito na ya kuacha alama katika jamii!
madaktari hawa viongozi wameweza kufanikisha ukamilishwaji wa ujenzi wa wa hospitali za wilaya 67 hili sio jambo la kubezwa na credits zitawaendea wote haswa madaktari viongozi waliopo wizara ya Afya na Ofisi ya Rais Tamisemi dawati la Afya.This is signficant change and outcome! Mungu awape nini zaidi ya baraka?
Ninaiona future nzuri ya Tanzania yenye afya kupitia uongozi huu mzuri wa sekta ya afya unayojengwa na ofisi ya Rais Tamisemi na wizara ya afya.
Katika mafanikio haya makubwa katika sekta ya afya ambayo kwa namna fulani hayajatajwa sana ni muhimu kuwataja wanaume na wanawake wa kazi wanaoendelea kuyasimamia mabadiliko haya ya kihistoria katika sekta ya Afya.
Kwa fursa hii napenda kuwataja wachache ili jamii iwatambue katika mabadiliko chanya ya sekta ya afya !
1-Waziri wa Nchi Tawala za mikoa na Serikali za mitaa-Mh Jafo
2-Waziri wa Afya -Ummy Mwalimu
3-Makatibu wakuu wa wizara ya afya na Tamisemi haswa Dr Chaula
4-Naibu katibu mkuu Tamisemi anayedeal na afya..Dr Dorothy Gwajima
5-Mganga mkuu wa Serikali-Dr Bakari(mwalimu wangu)
6-Director of Health Services Dr Ntuli Kapologwe(very humble and understanding(
7-Waganga wakuu katika mikoa na Halmashauri zote.
8-Mkurugenzi wa MNH na JKCI
8-Watumishi wote wa Sekta ya Afya.
Hao niliowataja pamoja na Think Tanks wote katika tasnia ya afya.
..