Tanzania hosts 20,000 Rwandans in Kigoma, Kagera, Ngara etc alone

Tanzania hosts 20,000 Rwandans in Kigoma, Kagera, Ngara etc alone

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2008
Posts
2,502
Reaction score
741
Nilikuwa siamini, lakini nimesoma maeneo mengi ya kimataifa, inasemakana Tanzania hosts not less than 20,000 twenty thousand Rwandans/Rwandese only in NGARA,KIBONGO (KIGOMA REGION) AND KAGERA REGION, wengi wao wakiwa ni wafugaji tu. hivi, hao wahamiaji alfu ishirini, wakizaliana kwa muda wa miaka kama 20 ijayo, si watakuwa M23 kwa tanzania wakitaka kujiunga na wenzao wa Rwanda wamege hiyo mikoa iwe yao jamani?

Did you know kwamba, M23 ni wakimbizi wa kitusi waliokimbia genocide Rwanda miaka ya 1950s wakapokelwa na Congo kwa huruma, wakatunzwa, walipozaliana leo hii kimekuwa kimeo cha congo hawalali hata usingizi....wamesahau kwamba congo waliwapokea wao kama wakimbizi kukimbia kuuawa...leo hii kagame ndio amekuwa akitumia m23 kama chambo cha kuiba madini ya congo ambyao iliwasaidia watusi walioko congo wasife maiaka ile....Tanzania amkeni, tumevamiwa..nchi hii si ya kwetu tena.

Kama walipokelewa congo, leo wamekuwa m23 wanaotaka kuimega Goma iwe part of Rwanda kwa wanyarwanda wenzao, watashindwa nini hawa watu kuimega kagera na kigoma iwe rwanda in the next 50 years?, juzi tu hapa tulikamata contena la madini toka Rwanda, Rwanda ina machimbo hata moja tu? wanapata wapi madini kupitishia dsm port?

Hao watu wote alfu ishirini 20,000 wahamiaji kwenye mikoa miwili tu hiyo, wametoka wapi, wameingiaje? ndio maana ukienda kagera na kigoma kumejaa mang'ombe ya ankole yale yenye mipembe mirefu, mi nilikuwa najua ni ya watz, kumbe ni ya wahamiaji. NAOMBA JWTZ fukuza wote, zile 14 days zimeisha, naomba fukuzeni wote na ng'ombe wao waende Rwanda. kama Rwanda ni ndogo hawataki mifugo, kwanini mifugo ije tz, kama wangekuwa wanakuja tz na kukaa dodoma hapa katikati tungekuwa na imani kidogo, lakini iyo tabia ya kukaa mpakani na rwanda, tunaogopa msijekuwa m23 wa miaka ijayo.

NENDENI KWETU ENYI WAHAMIAJI MTUACHE TUJENGE TANZANIA YETU.
 
Huu ni ukweli, hawa wenzetu ni kama wahindi au machina bora hata machina yanajimiksi na tunazaa nayo kamwe hawaachi asili ukioa mtutsi utalea tu watoto wa wenzio halafu waje wakuue bure kama baba mlishi laurent kabila hata kama amezaliwa hapa pk akipiga baragumu hata myarwanda aliye dar ataitika tu hasa watutsi

Mbona sie tulicheza nao vidudu Tukaaenda nao shule loan board na NORAD wakavuta mshiko university tulipomaliza tu wakaitwa nyumbani wakatumike chezea watutsi wewe
 
Warudi kwao wakaendeleze nchi yao
Wabaki wale ambao sio haramu wenye vibali halali
JK kasema sawa, let them go

Baadae watakuja kututawala hawa na kutuangamaiza
Kama walikatana mapanga na kuuwa wao kwa wao watashindwaje kuipanda hiyo mbegu hapa kwetu???
Warudi kwao hakuna kubembelezana hapa tumechoka sisi.
 
nawahurumia, kwasababu ile deadline ni kesho tarehe kumi na mbili, sijui JWTZ na mapolisi watafanya nini huko na yale mang'ombe ya ankole waliyokuwa wanamiliki...laiti kama wangepata nafasi ya kusafiri nayo wasile hasara.
 
nawahurumia, kwasababu ile deadline ni kesho tarehe kumi na mbili, sijui JWTZ na mapolisi watafanya nini huko na yale mang'ombe ya ankole waliyokuwa wanamiliki...laiti kama wangepata nafasi ya kusafiri nayo wasile hasara.

Polisi wapi unaozungumzia? Hawa wa mbaya sorry Mwewe sijui Mwema? Zoezi hili ni bonge la dili kwa sasa. Unajua wanavyopigana vikumbo kuingizwa kwenye operations ili wafaidi? Full usanii. Wanageuzia poli la Rusumo mpendwa na baada ya mambo kupoa, mwezi mmoja tu usishangae kuwaona tena polini na kwenye vibanda vyao vya maziwa!
 
Polisi wapi unaozungumzia? Hawa wa mbaya sorry Mwewe sijui Mwema? Zoezi hili ni bonge la dili kwa sasa. Unajua wanavyopigana vikumbo kuingizwa kwenye operations ili wafaidi? Full usanii. Wanageuzia poli la Rusumo mpendwa na baada ya mambo kupoa, mwezi mmoja tu usishangae kuwaona tena polini na kwenye vibanda vyao vya maziwa!
hahahaha
 
Kwa wale mliosoma na watu wa Kagera Kagera, hasa wa nyambo ( watu wanawaitaga wahaya kutokana na kufanana nao lafudhi) au wasubi... hawa jamaa ukija ukifuatilia unakuta wanajua sana kinyarwanda, na wanapenda mambo ya rwanda na wana ndugu wengi sana rwanda..hata vyuoni wapo, hawa jamaa ni hatari sana kwa nchi.. kila mtu awaangalie vizuri, kwa umakini mienendo yao..
 
Warudi kwao wote na wasikanyage tena TZ ikiwezekana na wao wawafukuze waTZ walioko kwao.
Hawa wanyarwanda ni hopeless people, ni majitu ya porini, visasi visivyoisha, masikini wa akili. Wao ni kupigana uvamizi kila kukicha ukiwauliza uvamizi wanaoufanya wataweza kujilinda for the rest of their lives??
Yaende kwao na wasirudi hata.
 
Wakubwa mmeongea sana mi ngoja nimalize kwa hili ,nilikua naish na biti wa kitusi kwa bahat akapata uja uzito na akaamua kwenda kwao kujifungu lakini baada ya kujifungua nilipewa taarifa kua mtoto amefariki na wamemzika huko kwakua nilikua sijawai kufika nchini rwanda sikuweza kwenda, huu ni mwaka wa tatu mke hajarud, na taarifa nilizo za kuthibitika ni kwamba mtoto yupo ila ni wa kituts na baba yake ni mtu aliyekuja kwangu mwaka flan kwa kutambulishwa kua ni kaka yake mke wangu wa tumbo moja na alikuja kwa gia ya kua katumwa na wazazi ili aje kufuatilia taratibu za ndoa na alikaa kwangu miezi miwili na alipondoka nilipewa taarifa na mke wangu kua ana uja uzito ulio kua na wiki nne , nawashauri watanzania wenzangu kama hujaoa usirogwe kuoa hili kabila kama umeoa mtusi jihadhali sana na ugeni wa jinsia yako wenye asili ya kitus kwani hawashindwi ha kuzaa na rafiki yako ,TUTSI SIO ni nyoka anaekuala huku akitia sumu ya kukumaliza taratibu THEY HAVE TO GO BACK HOME ikiwezekana hii kitu ingefanywa nch nzima
 
warudi kwao wakaendeleze nchi yao
wabaki wale ambao sio haramu wenye vibali halali
JK kasema sawa, let them gooo
baadae watakuja kututawala hawa na kutuangamaiza
kama walikatana mapanga na kuuwa wao kwa wao watashindwaje kuipanda hiyo mbegu hapa kwetu???
warudi kwao hakuna kubembelezana hapa tumechoka sisi.

Wasifukuzwe kama mbwa coz they are human being like us
 
Warudi kwao. Kama Uraia tuliwapa wengi sana wale ndugu zao waliokuwa pia hapa TZ.
Sasa inatosha jamani, warudi kwa Kagame hakaangaike nao mwenyewe.
KAMA WEMA TUMESHAFANYA SANA SASA INATOSHA.
 
hili jambo linaleta mtafaruku sana, nimesikia hata reli ya dar kigali imefutiliwa mbali, ila ile ya kigali mombasa through uganda. tumeshapoteza madili hapo, wateja wetu wa bandari ya dsm. ugomvi siku zote huwa na hasara zake, tupatane tu ili tuendelee kushirikiana katika east africa kiuchumi.
 
Kwahakika humu jamvini nimepitia comments nyingi nimegundua kuna tatizo la kuelewa historia ya maziwa makuu,hasa hasa kuhusu wanyarwanda katika nchi za maziwa makuu,nakubali kwamba wengi wa wanyarwanda tanzania ni wahamiaji wajuzijuzi na wengine ni wakarine zaidi yatano zilizo pita ambao hivi niwatanzania,lakini kuhusu congo eneo la kivu kaskazini lilikua chini ya himaya ya ufalme wa rwanda kabla ya kukatwa kwa mipaka ya afrika na wanyarwanda wengi waligeuka kua wakongoman,

Nakubali kuna wakimbizi wa juzi kuanzia 1959 na kwenda 1994 wengi wao wamerudi rwanda, mimi sikubaliani na usemi kwamba niwakimbizi walio shika silaha kupambana na congo, hawa ni wakongoman wenye asili ya rwanda wanao pinga ubaguzi na unyanyaswaji wanao fanyiwa na wanaojiita origional wakongoman, sasa msitake kufananisha ya wanyarwanda wa kongo na tanzania, nafikiri mmeishi nao kwamuda murefu na wamekua raia watiifu kwa serikali ya tanzania, ila tatizo ni kwamba kuna watu ambao wameisha jichanganya katika siasa za tanzania na kuanza kuleta uchonganishi dhidi ya wanyarwanda waishio tanzania wakifananisha mambo yanayotokea congo na kinachotarajiwa kutokea tanzania,na hilizoezi la kufukuza wahamiaji kutoka rwanda naona limefanywa kwa uoga wa bure kabisa,hakunahaja ya watanzania kua na uoga na wahamiaji wa kinyarwanda,

Hivi ujambazi unaofanywa tanzania nzima unafanywa na wahamiaji? halafu ili jina haramu mimi sikulitumia kwasababu kama mwanadini ni jina linalo tafsiri kitukisicho kua na thamani na kutumika kwa jina haramu linashusha hadhi ya utu wabinadamu na mwishowe watu watajichukulia sheria mikononi waanze kuwafanyia vitu vibaya hao wanadamu kwasababu wameisha nyimwa hadhi ya ubinadamu,nakubaliana kwamba watu wasiokua na vibali vyakuishi tanzania waondoke lakini kwaheshima,

Siku 14 nikidogo sana,fikiria mtu ameishi miaka zaidi ya 50 hii ni sehemu kubwa ya uzima wake ameisha invest kiasi kikubwa nchini tanzania sasa unampa siku 14 aondoke unaona hiyo ni haki? kwanini usimpe muda auze vyake kwa beinzuri, unamkimbiza ili aviache au aviuze kwa bei yakutupa, wengi wao hawa familia rwanda kwani wengi wandugu zao waliuwawa wakati wa genocide, sasa unataka mtu huyo aishi vipi? mambo ya siasa yanamuhusu nini? kama viongozi wa nchi mbili hawakuelewana muhamiaji anashiriki kivipi katika hilo sakata? mimi kwa maoni yangu siasa za tanzania zimeisha ingiliwa na watu wasio heshimu haki zabinadamu na ndio wengi humu jamvini wanashabikia vita na kufukuzwa kwa hao watu bila kufikiria madhara ya hii operation kwa watu kama wao.
 
kwahakika humu jamvini nimepitia comments nyingi nimegundua kuna tatizo la kuelewa historia ya maziwa makuu,hasa hasa kuhusu wanyarwanda katika nchi za maziwa makuu,nakubali kwamba wengi wa wanyarwanda tanzania ni wahamiaji wajuzijuzi na wengine ni wakarine zaidi yatano zilizo pita ambao hivi niwatanzania,lakini kuhusu congo eneo la kivu kaskazini lilikua chini ya himaya ya ufalme wa rwanda kabla ya kukatwa kwa mipaka ya afrika na wanyarwanda wengi waligeuka kua wakongoman,nakubali kuna wakimbizi wa juzi kuanzia 1959 na kwenda 1994 wengi wao wamerudi rwanda,mimi sikubaliani na usemi kwamba niwakimbizi walio shika silaha kupambana na congo,hawa ni wakongoman wenye asili ya rwanda wanao pinga ubaguzi na unyanyaswaji wanao fanyiwa na wanaojiita origional wakongoman,sasa msitake kufananisha ya wanyarwanda wa kongo na tanzania,nafikiri mmeishi nao kwamuda murefu na wamekua raia watiifu kwa serikali ya tanzania,ila tatizo ni kwamba kuna watu ambao wameisha jichanganya katika siasa za tanzania na kuanza kuleta uchonganishi dhidi ya wanyarwanda waishio tanzania wakifananisha mambo yanayotokea congo na kinachotarajiwa kutokea tanzania,na hilizoezi la kufukuza wahamiaji kutoka rwanda naona limefanywa kwa uoga wa bure kabisa,hakunahaja ya watanzania kua na uoga na wahamiaji wa kinyarwanda,hivi ujambazi unaofanywa tanzania nzima unafanywa na wahamiaji? halafu ili jina haramu mimi sikulitumia kwasababu kama mwanadini ni jina linalo tafsiri kitukisicho kua na thamani na kutumika kwa jina haramu linashusha hadhi ya utu wabinadamu na mwishowe watu watajichukulia sheria mikononi waanze kuwafanyia vitu vibaya hao wanadamu kwasababu wameisha nyimwa hadhi ya ubinadamu,nakubaliana kwamba watu wasiokua na vibali vyakuishi tanzania waondoke lakini kwaheshima,siku 14 nikidogo sana,fikiria mtu ameishi miaka zaidi ya 50 hii ni sehemu kubwa ya uzima wake ameisha invest kiasi kikubwa nchini tanzania sasa unampa siku 14 aondoke unaona hiyo ni haki? kwanini usimpe muda auze vyake kwa beinzuri,unamkimbiza ili aviache au aviuze kwa bei yakutupa,wengi wao hawa familia rwanda kwani wengi wandugu zao waliuwawa wakati wa genocide,sasa unataka mtu huyo aishi vipi? mambo ya siasa yanamuhusu nini? kama viongozi wa nchi mbili hawakuelewana muhamiaji anashiriki kivipi katika hilo sakata? mimi kwa maoni yangu siasa za tanzania zimeisha ingiliwa na watu wasio heshimu haki zabinadamu na ndio wengi humu jamvini wanashabikia vita na kufukuzwa kwa hao watu bila kufikiria madhara ya hii operation kwa watu kama wao.

Kama waliweza kuishi Tanzania kwa miaka yote hiyo bila kufuata taratibu, nani anamakosa? Hawakujua lolote lingeweza kutokea wakati wowote? Watajijua.
 
Kwa sasa hawa jamaa ni tatizo kwa hayo maeneo, wanateka mabasi na kuvizia wasafiri wa aina mbalimbali,
so kama m23 tayari tushawafuga bado tu hawajajipa jina rasmi.
 
Kwa sasa hawa jamaa ni tatizo kwa hayo maeneo, wanateka mabasi na kuvizia wasafiri wa aina mbalimbali,
so kama m23 tayari tushawafuga bado tu hawajajipa jina rasmi.


Nakubali kwamba palitolewa uraia kwa wakimbizi wa myaka ya 1959 lakini sio wote waliopewa,na mpaka leo wanaomba uraia,lakini mimi ninacho ona kifanywe silazimishi kupewa uraia,ila naona ingekua vizuri wakapewa muda mrefu wakujiandaa na kuondoka kwa amani bila kinyongo na mtu yeyote,kwajinsi wanavyofukuzwa nikama uporaji wa mali zao walizo hangaikia kwa muda murefu,kingine hata watoto wakitanzania walio na damu yakinyarwanda hamuaeshimu? shida nikwasababu anadamu ya munyarwanda? hivi kuna watoto wakitanzania wako wanapokelewa rwanda kisa mama zao ni wanyarwanda na baba zao wakitanzania walifariki kabla ya kufukuzwa ili watu wengine waone kupora mali zao inasikitisha,najiuliza watanzania hii roho yakutu mmeitoa wapi?mbona naona si muda mrefu hata hao wenye uraia mtawaingilia na kuanaza kuwafukuza?Genocide ya rwanda ilianza kama hivi,kwani ilifika wakati mzazi(baba) anaua mke wake na watoto aliozaa kwasababu wanadamu ya kitusi tu,sasa kama unaweza kufukuza mtoto wa kitanzania kwa sababu kazaliwa na mzazi mmoja asiye mtanzania,imagine mjomba anafukuza mpwa wake eti ni haramu,miaka 50 sio kidogo na sio mchezo na ikumbukwe wengi wahawa wanaofukuzwa walikua wakimbizi enzi hizo za 1959 kipindi hiki chote tanzania iliwatunza,iliwasomesha,wakaifanyia kazi,wameshiriki katika shughuli nyingi za ugenzi wa tanzania,iweje leo mnawafukuza kama wanyama,na kuhusu ujambazi nafikiri police ifanye kazi yake,huwezi niambia mtu aliyeishi 95% ya uzima wake tanzania eti ni jambazi? acheni kupotosha ukweli,hapa kuna kamchezo ka watu wachache wanao takakuleta vurugu na kupora mali za wanyarwada tu,mbona wahamiaji wasiokua na vibali wengi tu kutoka nchi mbalimbali? wanyasa niwangapi?wazambia ni wangapi? etc huu ni unyanyasaji wa binadamu huu udongo tutakufa tutauacha,kwanini tuuane?hii mipaka iliyowekwa na wazungu kwanini ituchonganishe?zamani hata kabla ya wazungu watu walikua waki move bila mpaka haikua tabu,sasa watu wamezua ya M23,M23 sio watusi wa rwanda,niwatusi wa congo wao wanahaki ya kupigania haki yao,lakini watusi wa tanzania watataka kupigania nini? hayo yote ni maneno yakutaka kuchafua wahamiaji wakinyarwanda ili walio na agenda zao waweze kufikia lengo lao la kupandikiza chuki dhidi ya watusi,inabidi watanzania kua makini kwani huu ni mwendelezo wa yaliotokea rwanda 1994,na nina imani wengi wanao shibikia upuuzi huu ni walewale wanye itikadi za mauaji ya kimbari walio jigeuza watanzania na kuanza kuchemsha akili za watanzania.
 
wakubwa mmeongea sana mi ngoja nimalize kwa hili ,nilikua naish na biti wa kitusi kwa bahat akapata uja uzito na akaamua kwenda kwao kujifungu lakini baada ya kujifungua nilipewa taarifa kua mtoto amefariki na wamemzika huko kwakua nilikua sijawai kufika nchini rwanda sikuweza kwenda , huu ni mwaka wa tatu mke hajarud, na taarifa nilizo za kuthibitika ni kwamba mtoto yupo ila ni wa kituts na baba yake ni mtu aliyekuja kwangu mwaka flan kwa kutambulishwa kua ni kaka yake mke wangu wa tumbo moja na alikuja kwa gia ya kua katumwa na wazazi ili aje kufuatilia taratibu za ndoa na alikaa kwangu miezi miwili na alipondoka nilipewa taarifa na mke wangu kua ana uja uzito ulio kua na wiki nne , nawashauri watanzania wenzangu kama hujaoa usirogwe kuoa hili kabila kama umeoa mtusi jihadhali sana na ugeni wa jinsia yako wenye asili ya kitus kwani hawashindwi ha kuzaa na rafiki yako ,TUTSI SIO ni nyoka anaekuala huku akitia sumu ya kukumaliza taratibu THEY HAVE TO GO BACK HOME ikiwezekana hii kitu ingefanywa nch nzima

Nafikiri kwa hilo watu wengi watakucheka,kama hiyo issue ilikutokea wewe sio wote,je unajua ni watanzania wangapi tena vigogo wenye wake wakitusi? mbona wanaishi vizuri na bwanazao wakitanzania,wewe ndio walewale nilio sema wanaotaka kuchafua kabila la watusi mbele ya watanzania,kwani huwezi kufanyia mtu unyama mpaka aonekane mbaya kwako au haramu,sasa wewe ndicho unataka kiwe,kumbuka manano unayo ongea ni sumu ambayo inaweza kuangamiza watu wengi,hata rwanda ilianza hivyo wakiwafananisha watusi kama nyoka,kwahiyo nirahisi kuua nyoka kuliko binadamu,mungu akuhurumie.
 
Warudi kwao wote na wasikanyage tena TZ ikiwezekana na wao wawafukuze waTZ walioko kwao.
Hawa wanyarwanda ni hopeless people, ni majitu ya porini, visasi visivyoisha, masikini wa akili. Wao ni kupigana uvamizi kila kukicha ukiwauliza uvamizi wanaoufanya wataweza kujilinda for the rest of their lives??
Yaende kwao na wasirudi hata.

Mimi nashangaa sana humu watuwengi ukija kuangalia utakuta ni wakongoman,wanyarwanda na warundi wanao ongea maneno ya sumu dhidi ya watusi,masikini watanzania wanachanganywa na maneno ya wauaji walio jifanya watazania,mimi naamini mtanzania halisi hana kinyongo na mnyarwanda au mtusi na hana roho mbaya kabisa,watanzania muwemakini sana kama mtaruhusu hawa watu kuingilia siasa zenu mjue ndio utakua mwanzo wa kuporomoka kwa nchi ya tanzania na kua nchi yenye mgawanyiko wa kikabila,na mwisho wake kujikuta katika vita zawenyewe.
 
Back
Top Bottom