Tanzania hosts 20,000 Rwandans in Kigoma, Kagera, Ngara etc alone


ACHA UNAFIKI NDUGU.... unaongea pumba nyingi halafu hata hujishangai hamna anaekusapot.. nahisi hata wew si mwenzetu... KWENU LAZMA MRUDI NYAU WEW.... eti hawana shida na mtu,,, tunawajua vizuri hawa watu,,, ACHA KUTUANDIKIA RIWAYA ZAKO
 

Well,well,well,nafikiri wanajamvi huyu ndiye ninamsema,huyu hata ajifanye mtanzania roho yake inaonyesha wazi ni muhutu wa rwanda tena interahamwe,kwani ana zile itikadi za siasa kali zidi ya watusi,nitawaonyesha wengi waliondani ya hilijamvi,sasa kama tutarejea kwa historia jinsi ya watu walivyo immigrate kutoka sehemu zingine nakwenda sehemu zingine basi ni watanzania wachache walio halali sawa na rwanda,wana sema wahutu walitokea gabon,watutsi ethiopia sasa nani mwenye nchi,sasa hao watusi walifika rwanda bila kufika congo na tanzania sehemu zenye nyasi nzuri za kuwalisha ng'ombe wao? nitashangaa eti congo hapakua watusi nazile nyasi nzuri,kingine sikukataa kama kuna wahutu congo,wapo wengi sana,lakini wanao nyanyaswa sana ni watutsi,lakini nikawaida ya wafugaji kua na migogoro na majirani hata tanzania nasikia migogoro ya wasukuma,wamasai nk,kingine punguza munkali,kwani matusi hayawezi kuondoa ukweli,hii mipaka iliwekwa na wazungu na walikuta watu wakishi katika maeneo hayo,unacho jidanganya nikwamba rwanda ni ya wahutu! sio kweli ni ya wanyarwanda wote muhutu,mtwa na mtusi,tukilejea katika historia mtwa ndiye mtu wa kwanza kuingia rwanda,sasa hiyo ya muhutu ndiye mwenye nchi yametoka wapi?sasa wanajamvi kama nilivyo wambia humu jamvini tunawatu wameingia kufanya uchochezi tu,kabla mauaji ya kuangamiza watutsi rwanda walianza kuelimisha watu jinsi watusi walivyo wabaya na kuwafananisha na nyoka ili watu waweze kujenga fikra ya chuki kwao nadhani hata huyu ni mmoja wao.
 
ACHA UNAFIKI NDUGU.... unaongea pumba nyingi halafu hata hujishangai hamna anaekusapot.. nahisi hata wew si mwenzetu... KWENU LAZMA MRUDI NYAU WEW.... eti hawana shida na mtu,,, tunawajua vizuri hawa watu,,, ACHA KUTUANDIKIA RIWAYA ZAKO

Sikiliza ndugu yangu sikuja jamvini kuuza pumba nimekuja kusema ukweli wa mambo,sasa kuni support usini support hilo halinisaidii lolote mimi daima nitasema ukweli wa mambo,wewe unataka watu wanao ongea kama unavyofikiria?halafu hilo la mwenzetu una maanisha nini? mimi ni mwenzako kama binadamu na natofautiana na wewe kifikira na maono upo hapo mkubwa?daima mtu mwenye kutoa matusi anakua ameishiwa hoja,na rudia watusi kama ni kuolewa ni wengi sana wameolewa na watanzania tena wanaishi vizuri na bwana zao wakitanzania,wewe umekalia kusema wanawake wakitusi sio waaminifu? kama yamekutokea wewe sio ajabu kwani comment zako zenyewe zinaonyesha tatizo ulilo nalo,sasa kama huyo alikushinda tafuta mwingine inaweza kua sio ubavu wako,samahani kutofautiana na wewe sana.
 

Ili tuendelee na mjadala naomba tukubaliane kuwa wewe sio Mtanzania, sema ukweli tu ndugu.
 
ndio maana nilisema wewe ni mnyarwanda, organise watu wako muondoke hapa tz, kimyakimya kabla hamjapigwa ambush mkanyang'anywa na mlivyo navyo. huo ni ushauri tu, you never know what's coming up for you....stay tuned!
 
wale m23 kwa congo, walikuwa jirani, congo wakasema jirani yako ni jirani tu, wameongezeka kwa kuzaliana ndani ya nchi ya congo, wamepata uraia wa congo, pamoja na kwamba wanaongea kinyarwanda, imefikia kipindi wanataka kujiunga na wanyarwanda wenzao, wanataka kuimega goma na eastern congo ili wakijitenga na congo kuwa independent tu, waungane na rwanda kwa wanyarwanda wenzao. expansionism, hapa tz kuna uwezekano mkubwa sana western tz kuja kuwa m23 ya baadaye, tumejifunza kutokana na makosa.
 

kwanini waliingia kinyemela? kama walikimbia genocide si wangeingia kwa taratibu za ukimbizi, wangeenda kukaa kambini? sasa leo nani atawaamini kuwa walikimbia genocide or whatever na sio vinginevyo.
 

samahan kaka.. siku ile nlikua nimekunywa ZANZI..
 
mwanamke wa kitutsi ni lazima azae na mtutsi mwenzie ili kizazi chao kisipotee ......wako radhi hata kuzaaa na ndugu zao ili mradi tu damu ya kitutsi idumu
nb. Kama wewe sio mtutsi na umeoa mtutsi kuna uwezekano mkubwa sana watoto sio wako........hutaki unaaacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…