Tanzania huru
Tanzania tuitakayo ni ile itakayo mupa uhuru wa kutoa maoni kuhusu selikali yetu ,
Siasa huru. Siasa huru ni ile inayo mpa mwanachama au mfuasi wa hicho chama kutoa maoni yatakayo isaidkia selikali kujua niwapi wanatakiwa kuongeza kuvu katika utendaji Kaz
View: https://www.youtube.com/live/2HmdDHgiqfc?si=PfH5cqi3h0Vu1djc
Shule ya uongozi
Uhuru wa wanaichi katika lasilimali zetu
Selikali inapaswa kutengeneza mikakati itakayo tupa uhulu wa kufanya jambo katika uhalisia tuongelee upande wa cinema kwanini cinema kwasababu ni Moja Kati ya njia nzuli ya kutangaza lasilimali, utamaduni ,vivutio vya utalii na kufikisha ujumbe kwa wanaichi tunaona selikali inajitahidi kukutanisa waingizaji kutoka nchi Korean ili kutengeneza Wigo mpana upande wa cinema
View: https://youtu.be/wjIdM006TXs?feature=shared
The light tv
je kwa upande siasa, cinema na upande wa jeshi kwanini selikali haiwapi uhulu wa kuzungumzia au kutengeneza cinema ambazo zitazungumzia nyanja hizo je selikali imejipangaje kubolesha shelia itakayo wapa uhulu wanaichi kufanya Mambo yatakayo eleza kwa kina kuhusu pande hizo tatu(3)
ili tupate kitu halisia ni lazima selikali yetu impe uhuru mwanaichi kufanya jambo litakalo onyesha makosa yanayo fanywa na viongozi wetu na kudadavua kwa kina nini kifanyike
Ili tufike katika Tanzania tuitakayo viongozi wanapaswa kujua wanaichi wanapotoa kelo kuhusu viongozi, sio kwamba tunawakashifu bali tuna wakumbusha ni nini kilicho tufanya tuwachangue na tuliwachagua ili wakatatue Yale tunayo yazungumzia
Tanzania tuitakayo ni ile itakayo mupa uhuru wa kutoa maoni kuhusu selikali yetu ,
Siasa huru. Siasa huru ni ile inayo mpa mwanachama au mfuasi wa hicho chama kutoa maoni yatakayo isaidkia selikali kujua niwapi wanatakiwa kuongeza kuvu katika utendaji Kaz
View: https://www.youtube.com/live/2HmdDHgiqfc?si=PfH5cqi3h0Vu1djc
Shule ya uongozi
Uhuru wa wanaichi katika lasilimali zetu
Selikali inapaswa kutengeneza mikakati itakayo tupa uhulu wa kufanya jambo katika uhalisia tuongelee upande wa cinema kwanini cinema kwasababu ni Moja Kati ya njia nzuli ya kutangaza lasilimali, utamaduni ,vivutio vya utalii na kufikisha ujumbe kwa wanaichi tunaona selikali inajitahidi kukutanisa waingizaji kutoka nchi Korean ili kutengeneza Wigo mpana upande wa cinema
View: https://youtu.be/wjIdM006TXs?feature=shared
The light tv
je kwa upande siasa, cinema na upande wa jeshi kwanini selikali haiwapi uhulu wa kuzungumzia au kutengeneza cinema ambazo zitazungumzia nyanja hizo je selikali imejipangaje kubolesha shelia itakayo wapa uhulu wanaichi kufanya Mambo yatakayo eleza kwa kina kuhusu pande hizo tatu(3)
ili tupate kitu halisia ni lazima selikali yetu impe uhuru mwanaichi kufanya jambo litakalo onyesha makosa yanayo fanywa na viongozi wetu na kudadavua kwa kina nini kifanyike
Ili tufike katika Tanzania tuitakayo viongozi wanapaswa kujua wanaichi wanapotoa kelo kuhusu viongozi, sio kwamba tunawakashifu bali tuna wakumbusha ni nini kilicho tufanya tuwachangue na tuliwachagua ili wakatatue Yale tunayo yazungumzia
Upvote
1