Ligi yenu mbovu
Juzi nilikuwa natizama game ya simba vs yanga ,mpira ulikuwa mbovu ,butua butua hamna ladha
Tanzania bado sana labda miaka 50 ijayo kizazi kijacho kikijielewa ..
Uganda ya akina okwi nimewatizama Qualifier za afcon majamaa wanajuwa na ndio maana wameingia Afcon..okwi anakula mkeka Uganda lakini Tz anaonekana fundi sana
Cape Verde wamempiga ureno magoli 2 wamebadilika sana na wachezaji wao wanacheza nje saizi
Kwa game ya juzi ya yanga&Simba haki ya Mungu hatutoboi ,naweza kuweka dau kabisa
NB:Taifa stars hujengwa na yanga&Simba .