Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
Upande wa pwani walikuwa wanaishi waarabu wa Yemen. washihiri.Kwa miaka hiyo tanzania ilikuwa haipo wala kujulikan
Kipindi hicho waingerezaUpande wa pwani walikuwa wanaishi waarabu wa Yemen. washihiri.
Hapana, kabla ya Bantu invsion Africa mashariki ilikuwa inakaliwa na Afro-asin yaani watu kama waarabu weusi.Kipindi hicho waingereza
Ahaa kumbeeHapana, kabla ya Bantu invsion Africa mashariki ilikuwa inakaliwa na Afro-asin yaani watu kama waarabu weusi.
Mkuu unamaanisha nasisi tulikuwa wanyama au?Nahisi kulikuwa na wanyama pekee
Labda tulikuwa bara lingineMkuu unamaanisha nasisi tulikuwa wanyama au?
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu nirejeshee mbavu zanguPicha za kariako za 1920's palikua ni kijiji full nyumba za udongo hapo.
Nadhani miaka 1500 iliyopita nilikua nashinda juu ya miti nikiwa nakula matunda na asali huku nikicheza cheza na wadogo zenu huko mitini.
[emoji23][emoji23]Unaeza kusema, "habari inayopamba" (kenya), "habari kuu", "habari ya mujini", gumzo (bongo)Hivi hili neno "Trend" halina kiswahili kweli au ni kujiendekeza tu!!
Mkuu hawa jamaa sio wamekuja kwenye karne ya 13-14 hapo? Hilo jengo ni la karne ya 5-6 huko.Upande wa pwani walikuwa wanaishi waarabu wa Yemen. washihiri.
Asante kwa hiki chanzo mkuu nitakipitiaNchi ilikuwa imeendelea sana na watu walikuwa wanapiga biashara za masafa marefu kawaida. Pitia link hapa chini..
2,000-Year-Old Lost City of Rhapta May Have Been Found in Tanzania