Tanzania ilikuwaje Miaka 1,500 iliyopita

Tanzania ilikuwaje Miaka 1,500 iliyopita

Wakuu stori inayotrend saivi ni tamko la mamlaka za Uturuki kubadili matumizi ya jengo la kale la Hagia Sophia lililojengwa mwaka 537 (yapata miaka 1,500 iliyopita) kutoka kuwa makumbusho na sasa kuwa eneo lakuabudia.

Miaka 1,500 ni mingi sana kwa historia ya mwanadamu.

Nimejiuliza sana hawa wenzetu walifanya haya yote miaka 1,500 iliyopita. Hivi wakati huo sisi tulikuwa tunafanya nini au nini kilikuwa kinaendelea huku kwetu?
Kijana soma histori ya mashariki mwa afrika.
Toka kuja kwa Waajemi, Wachina miaka ya 1000s, kuja kwa Wareno 1400s na kuja kwa waarabu 1600-1800s, na wote hao waliwakuta Wabantu.

Miji ya kibiashara ya Mombasa, Lamu,Sofala,Lindi na Mafia hata Mzizima na huko Unguja ni matokeo ya ujio wa wageni hao waliofuata biashara. Walioingiza ukoloni mamboleo ni wazungu, baada ya 1884.
 
Kijana soma histori ya mashariki mwa afrika.
Toka kuja kwa Waajemi, Wachina miaka ya 1000s, kuja kwa Wareno 1400s na kuja kwa waarabu 1600-1800s, na wote hao waliwakuta Wabantu.

Miji ya kibiashara ya Mombasa, Lamu,Sofala,Lindi na Mafia hata Mzizima na huko Unguja ni matokeo ya ujio wa wageni hao waliofuata biashara.
Walioingiza ukoloni mamboleo ni wazungu, baada ya 1184.

Asante,kawaelimishe watanzania wenzako.
 
Hii ni miaka ya Dark Continent, Mali empire
Wakuu stori inayotrend saivi ni tamko la mamlaka za Uturuki kubadili matumizi ya jengo la kale la Hagia Sophia lililojengwa mwaka 537 (yapata miaka 1,500 iliyopita) kutoka kuwa makumbusho na sasa kuwa eneo lakuabudia.

Miaka 1,500 ni mingi sana kwa historia ya mwanadamu.

Nimejiuliza sana hawa wenzetu walifanya haya yote miaka 1,500 iliyopita. Hivi wakati huo sisi tulikuwa tunafanya nini au nini kilikuwa kinaendelea huku kwetu?
 
Mimi naamini hizo early years hapa kwetu Tanzania palikuwa ni "No man's Land".

Sisi tulikuwa Kongo huko au Central Africa migrating from the Desert.

Sehemu kama Raptah,Azania,Zanzibar,Kilwa zilikuwa kama vijiwe vya mabaharia kukutana ili kufanya biashara,na kupumzika(kupata maji fresh na kadhalika.Baadae waliamua ku-explore ndani--na sisi tukitokea humo ndani tukakutania katikati.

Intermarriages zikatokea,wengine ndio wakabaki humohumo.

Ni mtazamo tu!
Nimekuelewa, nimeongeza kitu
 
Nimetafakari na nimepata jibu ambalo sio sahihi kwa asilimia 100 kutokana na facts kwamba nimeamua kutumia njia za kawaida ambazo sio scientific.

Iwapo Tanganyika ilipokua inapata Uhuru 1961 ilikua na watu Milioni 9 na swala hapa tunajaribu ku backdate kujua Tanzania miaka 1500 iliyopita ilikuaje? Sasa tutafanya hesabu ndogo

Kuna miaka 59 mingapi katika 1500 tunapata mafungu 25.4

Kisha tunaigawanya Milioni 9 kwa 25.4 unapata watu 354,330/- Tanganyika mainland inauku wa wa hekta za mraba takriban 900,000km2 ukitoa zile za Zanzibar.

Utakuja kugundua rafly ni Kama watu wote tulikua hatuwezi kuijaza Wilaya ya ilala yenye population ya watu laki 6 na 273km2.

Jumuisho
Tanganyika miaka 1500 iliyopita ilikua na watu wasioweza hata kujaza Buguruni na Vitongoji vyake.

TULIKUA TUNAFANYA NINI?
Tulikua tukiishi katika community ndogo ndogo sana na kwa zana duni na hafifu kweli kweli.
 
Bado sijapata radha kabisa kulikuwaje huku mika ya 500 W.K Huenda nchi nzima hatukufika hata laki 5.
 
Bado sijapata radha kabisa kulikuwaje huku mika ya 500 W.K Huenda nchi nzima hatukufika hata laki 5.
Yeah wkt mwngne inapendeza kuzipa changamoto bongo zetu kufikilia mambo ya mbali km hayo. Hatutakiw kuishi tu km ng'ombe.
 
Back
Top Bottom