Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muacheni apumzike huyo Jamaa huku mkimuombeaNchi yetu iliwahi kuwa na kiongozi mahiri kweli kweli.
Walikuwepo kabla yake, wakaja baada yake, na huenda watakuja na wengine, lakini itatuchukua muda mrefu sana kumpata kiongozi mwenye kaliba ya Hayati JPM.
View attachment 2782568
Kwa yanayoendelea sasa tutaachaje kumkumbuka Mkuu?!Muacheni apumzike huyo Jamaa huku mkimuombea
Jpm hakua kiongozi shupavu ila alikua kiongozi limbukeni tu, kutumia udikiteta wa zamani.Nchi yetu iliwahi kuwa na kiongozi mahiri kweli kweli.
Walikuwepo kabla yake, wakaja baada yake, na huenda watakuja na wengine, lakini itatuchukua muda mrefu sana kumpata kiongozi mwenye kaliba ya Hayati JPM.
View attachment 2782568
Hauko Sawa kichwani, usipojitibu haraka hivi punde utakuwa chiziJpm hakua kiongozi shupavu ila alikua kiongozi limbukeni tu, kutumia udikiteta wa zamani.
Yuko sawa kabisa kichwani...issue ni kwamba ni MNUFAIKA wa hii serikali mbovu ya Hangaya.Hauko Sawa kichwani, usipojitibu haraka hivi punde utakuwa chizi
Hebu utuambie toka ametutoka hadi sasa deni la Taifa limefikia kiasi gani?Alikuwa mwongo kuliko uongo wenyewe...
Angekuwa rais by now nchi isingeweza hata kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali...
Kauli za kibabe ni ushamba.
Alikuwa mwongo kuliko uongo wenyewe...
Angekuwa rais by now nchi isingeweza hata kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali...
Kauli za kibabe ni ushamba.
View attachment 2782584Alikuwa mwongo kuliko uongo wenyewe...
Angekuwa rais by now nchi isingeweza hata kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali...
Kauli za kibabe ni ushamba.
View attachment 2782584Alikuwa mwongo kuliko uongo wenyewe...
Angekuwa rais by now nchi isingeweza hata kulipa mishahara ya wafanyakazi wa serikali...
Kauli za kibabe ni ushamba.
Huo ni ugomvi wa ndugu Mkuu, hautuhusu sisi.
Inawezekana kinyume cha kauli yako hii ikawa kweli!Hauko Sawa kichwani, usipojitibu haraka hivi punde utakuwa chizi